Dr. Slaa awatembelea Majeruhi wa Kijeshi

Dr. Slaa awatembelea Majeruhi wa Kijeshi

Mleta mada jaribu kuwa objective kuhusiana na safari ya Dr. Slaa kama wewe una simama kama ni CHADEMA public relation official otherwise, mapambo yako unayompamba Dr. Slaa yanaonyesha kama ndiyo ameanza kupata International Exposure kwa sasa wakati Dr. Slaa alishawahi kuishi na kusoma katika nchi za magharibi na kikubwa zaidi aliaminiwa na wananchi asilimia zaidi ya 24 kutaka awe Rais wa nchi 2010, kwa maana kuwa walimuona tayari anayo hayo mapambo unayojitahidi kumpamba kwa sasa.

Halafu kwa mawazo yako unafikiri Marekani ni kila kitu kana kwamba sera za Marekani kiuchumi, kisasa na kijamii ndiyo mwarobaini wa maendeleo Tanzania kwa maana kwamba kujifunza sera hizo ni kutibu matatizo ya Tanzania.

'Vision Tanzania' ipatikane Marekani?. Mabandiko yako yanaonyesha uko nje ya reality kuhusiana na siasa za Tanzania.

Unapokuja na maneno kama "Vision for Tanzania, Dr. Slaa Takes America By Storm !" and "Delivers one of the greatest foreign policy yet from any African leader". Inabidi tukushangae wewe na kitengo chako katika safari ya Dr. Slaa.

Spinning zako zinamfanya Dr. Slaa aonekane kwa watu wenye fikra pana kama kibaya chajitembeza wakati ninaamini sivyo hivyo.

Ni angalizo tu na unaweza kukubali kutokubaliana kama unaona Vision for Tanzania inapatikana Marekani peke yake.


Mkuu,

Mwandishi wa maneno hayo ni Josephine Mushumbusi. Upeo wake ni mdogo kuhusu american politics.

Angefuatilia nini kinaendelea angeona article hii Despite shutdown threat, House passes spending bill that delays Obamacare for one year ambapo katika mijadala kuna hii comment iliyopata likes zaidi ya 1000 inayosema "I had a coworker once that was married to a state senator and she told me that she never cooked because they ate out every night on his expense account. He also chose to live 90 miles from the capital so when he had to show up for something he just rented a suite and of course charged it to his expense account. These people have one heck of a good life while a large majority of us are barely getting by. They need to be removed from office and there needs to be term limits. There are senators still in office that have been there for over 30 years in my state. They don't accomplish anything and in fact several of them seem to be getting senile."

Pamoja na comments nyingine kama hii:
"It must be wonderful being a U.S. politician. They get paid very well, they receive a lifetime pension, and have access to the best health care in the country. They get all this for literally getting nothing accomplished. It is truly mind boggling to me how inept each and every one of them are. Garbage in, garbage out. I see long soup lines for this country's future. All America seems to do these days is put a bandage on things, but one day there won't be a bandage big enough."

 
Kwanini aende ubalozi wa kenya hapa.Mtu kwenda kutoa pole ,sio lazima aende muda huo huo.Watu wana programme zao mpaka zikiisha akiwa free ndio anaweka mikakati mingine.Hunafikiri Dr slaa ni kama Vasco da gama wako akisikia mtu kafiwa huko tandale ndani ghafula vasco da gama twende huko.anawapa tabu sana maafisa wa usalama wa taifa.anajifanya ana upendo.huo nasema ni upendo wa mshumaa tu.husiende kwenye msiba kuonyesha upendo.angalia kwa nini huyu mtu alikufa ili tafuta solution wengine wasife.sio kwenda kuuza sura kwake huyo vasco da gama wako.aibu sana huyo mkuu wako.
 
Dr. Slaa songa mbele usirudi nyuma....Huyo gaidi Chemba yeye ameenda kubadilisha mahawara...
 
Slaa hatujamuoma kutembelea hospital za wanajeshi wa Tanzania. Anajipendekeza tu huko kutaka kitu kidogo.

Kuna anayejua kujipendekeza kumshinda JK? Mlipuko wa Bomu kwenye mkutano wa CHADEMA Arusha alikaa kimya lakini juzi kakurupuka kutuma salamu za pole kwa Kenyatta baada ya tukio.la Ughaidi Westgate na kutangaza eti "Rais amemuelezea Rais Kenyatta hasira yake juu tukio hilo".

-Mapro wa kujipendekeza ndiyo hao hao waliomtuma AG ajipeleke kwenye Kesi ya UHURUTO ICC badala ya kupambana kuweka mfumo wetu wa Judiciary in proper Order huku Nyumbani na kuacha tabia ya kuteua majaji feki

-Kiherehere cha kujipendekeza uchaguzi mkuu Kenya kumbeba Kenyatta kinaonekana sawa hata kama jamaa huyu ameungana na Rwanda na Uganda kuitenga Tanzania.

Wivu utawatoa roho maana naona hapo juu kuna baadhi yenu mmeudhika na kuandika maandishi marefu kweli kweli.Mkue sasa ,Ah!
 
Kwanini aende ubalozi wa kenya hapa.Mtu kwenda kutoa pole ,sio lazima aende muda huo huo.Watu wana programme zao mpaka zikiisha akiwa free ndio anaweka mikakati mingine.Hunafikiri Dr slaa ni kama Vasco da gama wako akisikia mtu kafiwa huko tandale ndani ghafula vasco da gama twende huko.anawapa tabu sana maafisa wa usalama wa taifa.anajifanya ana upendo.huo nasema ni upendo wa mshumaa tu.husiende kwenye msiba kuonyesha upendo.angalia kwa nini huyu mtu alikufa ili tafuta solution wengine wasife.sio kwenda kuuza sura kwake huyo vasco da gama wako.aibu sana huyo mkuu wako.


Kwahiyo mpaka ratiba zake zikiisha ndio ataenda kuwa pole wakenya!

Hivi kwanini Slaa alishiriki kampeni za Uchaguzi wa Kenya ili CORD ishinde na ajaenda kushiriki kampeni za Marekani?
 
wewe FAIZAFOXY jitahidi uwe na akili kidogo tu.Sisi chadema washington dc ndio tumempangia ratiba yote yote.kuwa ukifika hapa utaenda pale na pale.Hakupanga yeye aende huko.Kwani Vasco da Gama alivyokwenda Canada kwenda kuchukua PHD feki.Lijipangia au walimpangia aende?????????????????????????.kwanini hataki kuongea na watanzania wanaoishi Washington DC?.Rais wa Nchi anakuja hapa makao makuu ya Dunia na anakwepa kuongea na watanzania kweli inaingia akilini hiyo.Ningefurahi kama ungelisema hilo.
 
wewe FAIZAFOXY jitahidi uwe na akili kidogo tu.Sisi chadema washington dc ndio tumempangia ratiba yote yote.kuwa ukifika hapa utaenda pale na pale.Hakupanga yeye aende huko.Kwani Vasco da Gama alivyokwenda Canada kwenda kuchukua PHD feki.Lijipangia au walimpangia aende?????????????????????????.kwanini hataki kuongea na watanzania wanaoishi Washington DC?.Rais wa Nchi anakuja hapa makao makuu ya Dunia na anakwepa kuongea na watanzania kweli inaingia akilini hiyo.Ningefurahi kama ungelisema hilo.

Acha uongo,

Slaa anasema hiyo ni safari ya CCBRT. Sasa Chadema DC mpange ratiba ya safari ya CCBRT kama nani?

Hizi siasa za kilaghai zina mwisho wake...
 
Siku hizi threads za kuhusu slaa zinakosa wateja,hii maana yake?
 
Tumemwita aje hapa na tumempangia sehemu za kwenda.Na hilo analijua kabla hata ajafika huku.sasa husiingilie prgramme zetu.sisi ndio tuliomwalika na kucover kila kitu.Fikiri kabla ya kuandika kitu hapa.
 
Tumemwita aje hapa na tumempangia sehemu za kwenda.Na hilo analijua kabla hata ajafika huku.sasa husiingilie prgramme zetu.sisi ndio tuliomwalika na kucover kila kitu.Fikiri kabla ya kuandika kitu hapa.

Kwahiyo Slaa amedanganya kusema kuwa ni safari ya CCBRT?

Je, nyinyi Chadema DC ndio mliolipia tiketi ya Business Class? Kwanini hamshiriki kuchangia shughuli za maendeleo, badala yake mnalipia tiketi ya business class?
 
Acha uongo,

Slaa anasema hiyo ni safari ya CCBRT. Sasa Chadema DC mpange ratiba ya safari ya CCBRT kama nani?

Hizi siasa za kilaghai zina mwisho wake...

Wapi Dr. Slaa alipoonyesha alikwenda Hospital ile kwa ajili ya CCBRT?.......

ukishindwa kuelewa maandishi tu utaweza kuwaelewa wanaNchi wa Morogoro unakotaka kwenda kugombea Ubunge?

haya ni matusi kwa wana-Morogoro! njaa tu inakusmbua
 
[/FONT][/SIZE]
Mkuu,

Mwandishi wa maneno hayo ni Josephine Mushumbusi. Upeo wake ni mdogo kuhusu american politics.

Angefuatilia nini kinaendelea angeona article hii Despite shutdown threat, House passes spending bill that delays Obamacare for one year ambapo katika mijadala kuna hii comment iliyopata likes zaidi ya 1000 inayosema "I had a coworker once that was married to a state senator and she told me that she never cooked because they ate out every night on his expense account. He also chose to live 90 miles from the capital so when he had to show up for something he just rented a suite and of course charged it to his expense account. These people have one heck of a good life while a large majority of us are barely getting by. They need to be removed from office and there needs to be term limits. There are senators still in office that have been there for over 30 years in my state. They don't accomplish anything and in fact several of them seem to be getting senile."
Mkuu,

Kwanza hapo kwenye RED inaniwia vigumu kukubaliana na wewe mpaka nitakapo pata uthibitisho zaidi.

Pili, kama nilivyosema, ziara ya Dr. Slaa wasiifanye ionekane kama ni extra special kana kwamba hiki anachokifanya ndiyo anakifanya kwa mara yake ya kwanza akiwa mwanasiasa na Ex-presidential candidate 2010.

Hata chumvi ukizidisha kwenye mboga huwa inakosa radha, vivyo hivyo, wanaweza wakawa wanadhani kuongeza mapambo mengi kwenye ziara yake ni kumpaisha kisiasa kumbe wanachokifanya ni ku-lower political status yake.

Wanatakiwa wauache ukweli uongee na katika ukweli huyo, wananchi wataelewa
 
Mwaka 1978, maelfu ya watanzania walijeruiwa katika vita vya Kagero wakijaribu kuilinda Tanzania. Hawa mashujaa HADI wa leo wengi wao wametelekezwa na serikali ya CCM. Wanaoshiriki kutunza amani chini ya umoja wa mataifa nao udhulimiwa haki zao mafao yao yanapoletwa nchini chini ya usimamizi wa CCM.


Slaa inabidi aone aibu anapowataja mashujaa wa Kagera. Yeye alikuwa na fursa ya kuwa miongoni mwa mashujaa hao. Slaa ameshindwa kujitolea kuipigania nchi yake.

Walimu wa shule mbalimbali walijitolea kwenda vitani. Akinamama walijitolea kwenda kuhudumia wapiganaji na wengine walishika mitutu kupigana. Slaa hakusogea anywhere near the battle field. Leo anataka kutumia jina la mashujaa wa vita vya Kagera kisiasa kwa kuisema vibaya serikali ya Mwalimu Nyerere iliyoendesha vita hiyo kwa utadi wa hali ya juu na kupata mafanikio ya kihistoria.

Slaa hana uhalali wa kuikejeli serikali ya Mwalimu Nyerere, kwa sababu hakujitoa kupigana kwa ajili ya nchi yake. Waliojitoa kupigana wanajua jinsi Mwalimu alivyokuwa karibu na wapiganaji hao hatua kwa hatua.

Nyerere vitani.jpg

Kusema kuwa Mwalimu amewatelekeza mashujaa wa vita ya Uganda ni kutokuijua au kutokuheshimu historia ya nchi yetu.
 
Wapi Dr. Slaa alipoonyesha alikwenda Hospital ile kwa ajili ya CCBRT?.......

ukishindwa kuelewa maandishi tu utaweza kuwaelewa wanaNchi wa Morogoro unakotaka kwenda kugombea Ubunge?

haya ni matusi kwa wana-Morogoro! njaa tu inakusmbua

una maana huyu huyu anayejiita ze macopolo naye ana mpango wa kugombea ubunge huko morogoro! kwa gharama za wananchi tupeleke bungeni watu wanaounga mkono jambo lolote linaloletwa kwa faida ya ccm hata kama lina hasara kwa wananchi? haiwezekani, akitaka akagombee uvccm huko
 
Lina tija kuliko Press Release ya Ikulu iliyosifia Rais Kukumbatiwa kisa aliuza raslimali za nchi kwa mikataba ya siri kwa namna isiyotofautiana na weledi wa kiwango cha Chifu Mangungo wa Msovero na Jasusi la Kikoloni Carl Peters!

Haujui katika nafasi yake Kama Mwenyekiti wa CCRBT kuna correlation gani katika ziara hiyo.Hutaki kufanya research wala kuuliza.Ni ku-punch keyboards tu na kubofya sent button.Really?


Sasa na wewe kweli unaona hii thread ina tija kwa kiongozi wa chama? ????!!!!

Kwa nini asingeweka hiyo isue kuwa pamoja na ziara ya kisiasa pia alitekeleza jukumu lake kama mwenyekiti wa CCBRT? ???!!!!!

Halafu ujue sio kila mtu anajua kila kitu kuhusu hao viongozi watu wengine hawana taarifa ya viongozi kiasi ambacho wewe unaamini inafahamika????!!!

Haya ondoa maneno sasa hapo alienda kama katibu wa chama au mwenyekiti wa CCBRT halafu angalia maudhui ya mleta uzi
 
Wapi Dr. Slaa alipoonyesha alikwenda Hospital ile kwa ajili ya CCBRT?.......

ukishindwa kuelewa maandishi tu utaweza kuwaelewa wanaNchi wa Morogoro unakotaka kwenda kugombea Ubunge?

haya ni matusi kwa wana-Morogoro! njaa tu inakusmbua

Tatizo lako hujui kuwa hii thread imeletwa mara ya pili. Kasome ilipoletwa mara ya kwanza Slaa aliandika nini.
 
Acha Upotoshaji.Juzi Mwenyekiti wa Chama alihudhuria katika Msiba wa Askari wa Tanzania aliyeshambuliwa Huko DRC.

...kwani Dr Slaa ndio Mwenyekiti wa Chama?yaan afunge safari km zoote hizo kwenda kuwatembelea askari majeruhi wa Marekani wakati kwa askari wa Tanzania hakuwa na muda huo,kama sio unafiki ni nini?...
 
Back
Top Bottom