Dr. Slaa awatembelea Majeruhi wa Kijeshi

Dr. Slaa awatembelea Majeruhi wa Kijeshi

Haha..CDM wakupe raha.....kila wakifanyacho Magamba wanakuwa observers tuu..kisha wanshusha punzi wanarudki ktk umbea..sasa itakuwa fashion maCCM kuja chungulia CDM hapa, au kwenda ktk vichochoro kuwasikiliza CDM km vile muumini anayogopa watu ila anaenda mafundisho ya imani aambayo huwa wanaisema vinaya sana.
 
Slaa hatujamuoma kutembelea hospital za wanajeshi wa Tanzania. Anajipendekeza tu huko kutaka kitu kidogo.

Mwigulu na uzalendo hakujua kila nchi ina wazalendo wake..akatafute sifa..au kaishia magheto ya wabongo.....Jk kaenda kule kupewa PHd za bure ila si kutoa hutuba kwa intellectuals,wakati akaiendelea shangaa Dr.Slaa anawaona mashujaa wa nchi......Kila siku Jk atasikia kipya..Im sure mpo breathless hadi hii show iishe..mmetulia km mnaangalia movie fulani ya hitech......Kidgo atamalizia White House awaachie wamarekani na watanzania goli la mwisho na kukumbukwa..Jk atapata wivu as if aliambiwa akiuza nchi basi malipo ni Obama kutoongea na Dr.Slaa....mtoto wa njia ya vumbi anapta barbeque na wazamiaji "km wanyarwanda tunaowakimbiza" haramu ...


Its realy lovely:.......mwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah.C U ktk mazishi ya CCM.
 
Back
Top Bottom