Watanzania bana!!! Kwa hiyo ulitaka katika hii habari cheo chake cha uongozi chama cha upinzani kisitajwe!!! Tubadilike!!
Usimamizi wa fedha za CCBRT haziusiani na Chadema Mkuu
Hahahahahahahhahahahahahahhahahaa
Mzee wa kujikopesha...
Angekuwa Muwazi wangejikopesha pea za Chama!!!Mchumba wake juzi alipokuwa USA,alinunua POCHI ya dola 500.Hawajapata nafasi tu, hawa mafisadi tu kama CCM.
Ok.Hapo sawa.Maana kwenye CCBRT Dr Slaa sio mtendaji wa kila siku kama ilivyo akiwa Chadema,na chakula yake anaitegemea chakula,hivyo ukitaka kumjua Dr Slaa kwenye uadilifu wake kwenye pesa itazame Chadema.
ni dr slaa ni kiongozi wa kuigwa ndani ya nchi yetu
Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi.[/QUOTE
Hamna lolote hapo, huyo mzinzi dr. slaa kashindwa hata kusimamia matumizi ya fedha ndani ya CDM na amefanya ufisadi mkubwa yeye na mzinzi mwenzie mbowe alienunua jumba la kifahari huko Oman. Na Zitto alipohoji wamempokonya nyazifa zake Chamani. Leo hii asimamie vizuri matumizi ya fedha za CCBRT. HIZI NI PROPAGANDA ZA KIJUHA.
Angekuwa Muwazi wangejikopesha pea za Chama!!!Mchumba wake juzi alipokuwa USA,alinunua POCHI ya dola 500.Hawajapata nafasi tu, hawa mafisadi tu kama CCM.
Ni wa kuiga kabisa , hasa kwa kuiba wake za watu, kuzaa uzeeni, kutelekeza mke wa ndoa, kutelekeza watoto, kupinga ufisadi wakati ukijikopesha vyama, mi nasema aigwe tu.
hakuna kiongozi mwadilifu kama Dr Slaa, kiongozi anayeheshimu misimamo na mwenye kusoma alama za nyakati, we trust you Dr![/QUOTE
We MENDE acha kuongea kinyesi.