Dr Slaa Avunja rekodi Afrika

Dr Slaa Avunja rekodi Afrika

Sasa tunaisubiri ofisi ya Rais ipate hati safi kwa matumizi ya pesa za wavuja jasho. Hivi mara ya mwisho ilipata hati safi lini?
 
Ofisi ya Rais wa Tanzania, labda baada ya miaka 50 Ijayo
 
Kiongozi wa chama cha Upinzani na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema)
Amevunja rekodi ya usimamizi katika vyama vya siasa barani Afrika, Dr Slaa ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCBRT, Amevunja rekodi hio baada ya kuongoza *usimamizi wa fedha za wadhamini wa Taasisi
anayoiongoza; Akizungumza na Radio ya taifa mjini adis ababa,Abdil jabir Mkuu wa vyama vya siasa Afrika ya Magharibi alipongeza hatua hio kwa kua ni nadra kwa Nchi za Afrika kuwa na Kiongozi muwazi. Itakumbukwa nafasi hio ilitangazwa kwa mara ya kwanza Mjini Libravile,Gabon, Kukiwa na nchi washirika 43, Maazimio hayo yalifikiwa huku vyama vya siasa barani Afrika vikiwa na wakati mgumu, Hasa linapokutazamiwa suala la Uhuru.

Vipi kuhusu ujio wa CAG kuja kukagua?
 
Fedha za CCBRT ni za umma. Fedha za CHADEMA ni za umma. Kwa wezi wazoefu kama CCM wangeiba kila kitu. Waadilifu wa aina ya Dr. Slaa hawawezi - kama hakuiba za CCBRT hata za CHADEMA hawezi kuziiba.
 
Back
Top Bottom