mwambie aendelee kukupa nyeti zote ila asisahau yafuatayo: kurudisha milioni arobaini ya chama aliyojikopesha ili akarabatie nyumba yake sinza, atoe taarifa ya bastola kule igunga, atoe taarifa ya IPAD iliyohongwa mwamke na makene,asubirie kidogo aone alivyodanganya kuwa yeye ni dr, baada ya hapo utaendelea kuona ubora wake pia ile kadi ya ccm aliyolipia miaka thelathini airudishe asidanganye kuwa ni mali yake