Dr Slaa Avunja rekodi Afrika

Dr Slaa Avunja rekodi Afrika

Yaani huyo mzee anafanya kazi pale CCBrt kwa kutumia fani gani !? Hana utaalamu wa uongozi. Wala sio mhasibu pale ... sasa yeye pale ni political figure tu. Sasa ni kweli hizo sifa anazistahiki kweli. Ila mbona anashindwa kuing'oa CCM ?!
Mkuu kilimo kwanza imempa JK PhD, pale China.
 
Kumbe Ndio Maana uchaguzi wa Serikali Za Mitaa Chadema kilipata 86% na kuvibwaga vyama vingine kama CCM.

Safi Sana CHADEMA Kwa kuwa na wanachama wa nadharia
 
Kwa "data" hizi unaonekana wewe ndiye mbeba condoms

Dr Slaa, babu yangu takwimu hizi umezitoa wapi? Vijana wa Bavicha ndio maana wamelala usingizi maana hizi takwimu ni balaa

Kujipa matumaini Ni jambo Zuri sana katika maisha, no research no right to speak"
 
Nikupe pole sana kwa maumivu unayoyapata kutokana na taarifa hii. Mimi binafsi sina chama. Nilikuwa mwanachama wa TANU zamani lakini baada ya Nyerere kufariki, nikaona ccm imeivamiwa na uzimwi, nikachoma kadi yangu mimi mwenyewe. Lakini sasa ninadhani kuna haja ya kujiunga na chama cha siasa ila si ccm ili tulikomboe taifa kwa maslahi ya ninyi vijana na vizazi vyetu.

Kwa kukusaidia, rudi nyuma hatua moja, vuta pumzi nyingi kwa nguvu na iitunze kwenye mapafu na kuitoa mara tano. Sasa urudi kwenye hoja:-

1. Wewe unaongelea takwimu ulizozitoa kwenye database ya mwaka gani na pia ujua mtoa taarifa anatumia database ya lini.

2. Tangu ulipo update takwimu zako kwa mara ya mwisho, ni mambo gani yametokea katika jamii na ndani ya ccm na chadema ambayo yamekifanya ccm kiendelee kuwa imara na wanachama wake ama kukidhoofisha kikimbiwe na watu.

3. Sambamba na 2 hapo juu, fikiria ni ninin kinaendelea kwa CHADEMA ambacho unaona kinasababisha CHADEMA isiongeze wanachama ama ikue na kusambaa sana.

4. Unapoongelea kura za uraisi wa 2010, ni vizuri pia ukawa na majibu ni namna gani tume ya uchaguzi ilirekebisha tatizo la majumuisho ya kura za uraisi. Na kwa sababu gani hata kwenye website kuna sehemu nyingi tu ambazo kura zake hazijawa posted hadi leo. Unawezaje kusema kwa ujasiri kwamba CHADEMA ilishindwa katika mazingira tata naman hiyo? Ikiwa hata chief malenga ( nje ya record) amewahi kukiri kwamba 2010 hakushinda kwa wingi wa kura bali alishinda kwa mamlaka aliyopewa na katiba?

5. Ninaomba utafakari na uukubali ukweli ili ukweli ukuweke huru. Huwezi kubisha kwa kutumia outdated data wakti wenzako wanatumia za leo!. lAKINI ALL IN ALL CCM HAIPO TENA, HILI LIFAHAMU NA ULIKUBALI.




Cdm ni mabigwa wa uongo . uwe na wanachama ml 10 ukose kula ml 7 ili kutangazwa rais? Sasa maana ya kapeni nini?
 
Nilijua tu utashindwa kunielewa,kwa mujibu wa taarifa rasmi CCM ndi chama chenye wanachama wengi TZ,sasa wenyewe wako mil 4 huyu DJ msaidizi wa Mbowe anatuambia Chadema ina wanachama mil 10,unawanachama mil 10 uchaguzi unapata kura mil 2 hao mil 8 ni wasaliti fukuza.

Mbona hayo ni ya miaka minne iliyopita? Kwa chama kinachokua kupita wanachama milioni 5 kwa mwaka ni kitu cha kawaida na kwa chama kinachokufa kupoteza wanachama mil nne kwa siku moja ni dhahiri. Hivyo juzi inawezekana ulikuwa na wanachama mil moja leo ukawa na kumi na pia juzi ulikuwa au ulikuwa na kumi leo ukawa na moja.
 
Mbona hayo ni ya miaka minne iliyopita? Kwa chama kinachokua kupita wanachama milioni 5 kwa mwaka ni kitu cha kawaida na kwa chama kinachokufa kupoteza wanachama mil nne kwa siku moja ni dhahiri. Hivyo juzi inawezekana ulikuwa na wanachama mil moja leo ukawa na kumi na pia juzi ulikuwa au ulikuwa na kumi leo ukawa na moja.
Ndugu unaongea vitu very basic yani ambavyo hata mtoto wa kindergarten anavijua,ila ukweli utabaki palepale There is no way Chadema ikawa na wanachama mil 10 kwa sasa,japo after years wakiwa na mikakati mizuri inawezekana.
 
kashindwa kusimamia familia yake ya watu 5,na mke wake kamshtaki mahamani!,ataweza nini?CDM na CCM wanahati chafu,muwadanganye wajinga!!!
 
Nilijua tu utashindwa kunielewa,kwa mujibu wa taarifa rasmi CCM ndi chama chenye wanachama wengi TZ,sasa wenyewe wako mil 4 huyu DJ msaidizi wa Mbowe anatuambia Chadema ina wanachama mil 10,unawanachama mil 10 uchaguzi unapata kura mil 2 hao mil 8 ni wasaliti fukuza.
mkuu akijibu nahamia chadema maana hata serikali za mitaa walioipigia wagombea wa chadema hawafiki hata millioni nne. nchi imejaa vilaza hatari, "CCM wameingiza Container futi 40 lenye kura feki" Babu. Slaa
 
DUUUHHHH...
HAHAHAHAHAHAAAAAAAA BAVICHA kwa kujitekenya!!!
halaf hapo wataanza kucheeeka kutokana na bangi kumbe wamejitekenya wenyewe.
mimi nawadharaaaaaauuuuuuuu
 
Back
Top Bottom