Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Maneno tumeyazoea,picha Ndo habari ya mjini,otherwise this thesis is fictious
 
Shukrani kwa taarifa.Naona wananchi wameanza kuelewa na natumai mabadiliko yapo karibu.

Vuguvugu la mabadiliko si rahisi kulizuia hasa kwa nguvu ya dola kwani ni jambo ambalo halina budi lazima litokee.
 
Wapi sixgates na Kimbunga...??
Hawa jamaa 'walitabiri' kuwa ziara ya Dr. Slaa isingefanikiwa, na ingeahirishwa..!!
Wapi 'utabiri' huo ...??
Sijamuona dada Simiyu Yetu...!!
 
Last edited by a moderator:
Sehemu ya umati wa wananchi wametafuta miamvuli na kubaki karibu na jukwaa. Wengine wako jukwaa kuu, wengine wamekimbilia upenuni mwa nyumba kuendelea kusikiliza.

Mvua ktk eneo hili la mkutano ni kubwa sana, ingawa mbali kdg tu kutoka hapa hakuna ukungu wala mvua.

Source: Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene
vipi, ni mambo ya mzee wa panya au ni msimu wake!?

 
mvua ni baraka za ujio wa kiongozi mwenye upako nakutakia kila la heri katika mikutano yako
 
Nimepata taarifa kutoka kigoma Dr Slaa ana hutubia watu wasio zidi 100! Hii ni kutokana na mvua au hakukufanyika matangazo ya kutosha ya mkutano??????

Mwendelezo wa "NIMEAMBIWA" bila mwenyewe kufikiri na kujua ukweli
 
pathetic ccm's don't want to hear me, nyie mende wa chadema mnaosujudia uchaga nanyi hamtaki kuniona.
unajua kwa nini??????!!!!
naisimamia nchi yangu na nitasimama sambamba na yeyote mwenye dhamira safi kama yangu. kama unadhani mimi ni mfuasi wa hivyo vyama vyenu vinavyotunza uozo na funza basi umekosea sana.
you are so cheap BEN, no wonder you are slaving for pathetic mangis. you and your masters are not fit to be called tanzanians. you don't belong us.
i will.... OMG i will fight against any unholy movements under your TRIBAL SACCOS or under CCM. but to fight your SACCOS is more than JIHAD, far more than CRUSADE and we are determined to stop you no matter what.
this country is soo good n sweet to be left to DOGS. we can let you bark.... yes!! you can bark for as long as you like. but dogs will never set feet on the red carpets of STATE HOUSE. take it and choke with it!!!!!!!!!!!

Mbwa kachoka sasa ni mdebwedo
 

6_main_gates_image.png
 
Kule kwenye maziko ya Mandela wamealikwa 'heads of Governments and Heads of States.
Wapi sixgates...??
Uko Kigoma au 'umetoka nduki'...!!!
Tupe updates kutoka huko Kigoma...!!!

Raila Odinga ni head of state ipi?

Au Ikulu wamewabania?
 
Back
Top Bottom