kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,807
sio kazi yako wewe gamba!Kikosi cha ulinzi kutuko BAVICHA kimeshawasili?
sio kazi yako wewe gamba!Kikosi cha ulinzi kutuko BAVICHA kimeshawasili?
teh teh, kwa hiyo una unga mkono rais kulindwa na majini na mapepo? Badala ya mwenyezi mungu na vyombo vya usalama?Kama "majini" ulimaanisha Majinni, wala hujakosea. Ukiwa Rais wa nchi unakuwa pia ni Rais wa binaadam na viumbe vyote vilivyopo nchini kwako, labda uwe huna akili ndio usijuwe hilo.
Kumbuka, si Majinni tu, hata Malaika wanamlinda. Msome Mbowe anasemaje Kuhusu Rais wake;
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya" Mtukufu Rais Jakaya Mrisho Kikwete - Freeman Aikaeli Mbowe
pathetic ccm's don't want to hear me, nyie mende wa chadema mnaosujudia uchaga nanyi hamtaki kuniona.You're an unredeemably a terrible person.
You're done,retard!
Hiyo ni sawa na ngamia kupita katika tundu la sindano haitakaa itokee. Hata hivyo kuota ndoto ni haki yako.zitto akiwa mwenyekiti wa chadema hatimaye rais wa nchi hii utahamia nchi gani?
.
akasahau kwamba CDM inalindwa na MUNGU ALIYE HAI SI mungu mfu kama wa kwao
zitto akiwa mwenyekiti wa chadema hatimaye rais wa nchi hii utahamia nchi gani?
haya wazee wa Udini na Ukabila njooni mtufafanulie hapaMkutano umeshafunguliwa na Mkiti Issa Kibaba. Waitara amemkaribisha Mratibu wa Kanda ambaye amezungumzia namna Kanda inavyojipanga kuhudumia wanachama na wananchi kwa ujumla.
Sasa anapanda Mkiti wa Kanda Shaaban Mambo, anazungumza kidogo kwa sbb ya dalili ya mvua kubwa. Sasa amepanda Dkt. Slaa.
Source: Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene
Brigade ndiyo sababu ya kujiamini kwake.Umbea utawatoa mishipa ya Shingo.
Kama anajiamini Brigade ya nini?
Unataka kumfananisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete na kijidokta cha kanoni kilichoshindwa kuongoza kondoo na badala yake kudandia wake za watu? Unanchekesha!
View attachment 125854 View attachment 125856 View attachment 125857 View attachment 125856 m
Mpaka 2015 ifike mtakata sana magogo na kubeba matofari kweli ukiwasau wananchi inacost sana.
mbona una hangaika sana..
We ni masalia yaani MM au Gamba?Akili zako na mawazo yako yanafanana na kile unachopeleka washroom.
Endelea kutumiwa kama yale madude yanayosambazwa na TACAIDS.
Ametingisha wakati kila sikua anakoswa na mawe kwenye mikutano yake.
CCM ni wastaarabu sana. Hawawezi kufanya uhuni huu wa kuwapiga watu matofali. Hao unaowaona hapo ni mashabiki wa Yanga.Hawa watu hut umia hata mawe....
Ila wawaache tembo wetu jamani.View attachment 125854 View attachment 125856 View attachment 125857 View attachment 125856 m
Mpaka 2015 ifike mtakata sana magogo na kubeba matofari kweli ukiwasau wananchi inacost sana.
usanii mtupu...View attachment 125854 View attachment 125856 View attachment 125857 View attachment 125856 m
Mpaka 2015 ifike mtakata sana magogo na kubeba matofari kweli ukiwasau wananchi inacost sana.
Akili zako na mawazo yako yanafanana na kile unachopeleka washroom.
Endelea kutumiwa kama yale madude yanayosambazwa na TACAIDS.