yegella
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 3,113
- 1,104
No photoz/videoz no right for propaganda!
View attachment 125863Dr. Slaa anazidi kuikamata Kigoma huku wanafiki chupi zikizidi kuwashuka...
sema kingine....
No photoz/videoz no right for propaganda!
View attachment 125863Dr. Slaa anazidi kuikamata Kigoma huku wanafiki chupi zikizidi kuwashuka...
Umenena Mkuu. Tunatakiwa sasa tujipange kikomandoo kwa kila hatua ya mabadiliko chanya na tupeane nyenzo za kutosha kuweza kuangamiza huu ukoo wa panya na baadhi ya mende wa siasa, ili tuwe na taifa la watu wenye akili timamu, wenye hofu ya Mungu, wanaoenzi maisha ya kila Mtanzania katika nyanja za elimu, umiliki wa uchumi wetu, rasilimali, nidhamu, uwazi na uwajibikaji. tupo pamoja wanamageuzi tumeshajiweka tayari,na sasa ni kwamba, 'LET US WALK TOGETHER FOR THE LIBERATION OF ALL TANZANIANS who are in need of improved livelihoosS.
Kikosi cha ulinzi kutuko BAVICHA kimeshawasili?
Pamoja kamanda.
Solidarity forever more.
Uvumilivu kwa watu wa.jinga kama nyie unaanza kuniishia. Mkoje nyie? Hata akili kidogo hamuwezi kuzitumia? Mkuu wa kanisa Katoliki nchi Kadinali Pengo alishamjibu Wassira kuhusu kulihusisha kanisa na utumishi wa Slaa.mtu aliyeharibu mpaka kanisani kweli unathubutu kumwitta anahekima kama kweli kashindwa kufanya kazi kanisani hadi kafukuzwa hekima zake ziko wapi mkuu kwa nini usiwe mkweli tujifunze kuujua ukweli na kuukubari pia.
Propaganda zenu zimekufa
Uvumilivu kwa watu wa.jinga kama nyie unaanza kuniishia. Mkoje nyie? Hata akili kidogo hamuwezi kuzitumia? Mkuu wa kanisa Katoliki nchi Kadinali Pengo alishamjibu Wassira kuhusu kulihusisha kanisa na utumishi wa Slaa.
Alimjibu kuwa Dr Slaa alifanya utumishi uliotukuka akiwa katibu mkuu wa TEC na aliondoka kwa kufuata kanuni zote za Kanisa na zilipata baraka za Papa. Sasa nyie kuhusisha propaganda zenu na kanisa Katoliki hamuoni munalikosea adabu hilo kanisa? Na hivi hamujui kuwa hata ndani ya CCM wako wakatoliki?
Hizo ndio dalili kuwa huyo anayewalipa (wengi wanamtaja Nape) hajatumia akili kwani hajawapa hadidu za rejea katika kazi hii muifanyayo hapa JF ila analipa kulingana na wingi wa post bila kuwa na ubora. HUO NI UZUZU
Wekeni urguments zenye mashiko ili mijadala iwe bora na ya kuvutia kama ile iliyokuwepo kabla nyie hamjapata ajira hii na kuharibu sifa ya JF
mi nadhani tumeshinda,tujipnge kulinda kura tu
Hili tumelimaliza sasa ni kufukuza tu...
Mmmmm, unasemaje?Hili tumelimaliza sasa ni kufukuza tu...