Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Mumgu ibariki tz,kigoma,wanakigoma, wanaCDM na Viongozi wao. Dr. S go on...... We are praying 4 U.
 
Naona Mbowe na Dr.W.Slaa hawajapewa heshima ya kualikwa maziko ya Madiba.

Wachawi utawajua tu,wanapenda heshima kwenye mazishi

Next time chagua maneno vizuri unapochangia mijadala kwenye public arena.
 
Last edited by a moderator:
Chadema mlisha tuzoesha kurusha picha hapa JF mbona siku hizi mna ongea kwa maneno maneno tu!
Picha please
 
Msafara wa Dkt. Slaa ndo unakatiza hapa Kigoma mjini, ishara ya vidole viwili inatanda kila mahali na maneno ya ''Dkt. Slaa huyo huyo...Chademaaaa....Chademaaaa''.

Msafara unaelekea Jimbo la Kigoma Kaskazini Mkutano wa Kwanza utakuwa Nyarubanga, kisha utaelekea mkutano wa pili.

Updates.....

Ndo twawasili Nyarubanga hapa. Akina mama wamejipanga barabarani pembeni kdg ya uwanja wanaimba kumpokea Katibu Mkuu Dkt. Slaa. Msafara umeshaingia uwanjani.

Red Brigade wako imara kweli kweli leo hapa. Wananchi wanasogea sogea. Naona ngoma hapa inachezwa na akina mama.

Updates No 2:

Dkt. Slaa anaingia kucheza ngoma na wenyeji hapa. Ngoma hii inachezwa na kikundi cha ngoma cha akina mama wa CHADEMA kuhamasisha wananchi kujiunga na CHADEMA hasa akina mama na vijana.

Naambiwa inaitwa Denga. Wananchi wanashangilia kumuona Dokta anaungana na akina mama kucheza Denga!

Updates No 3.....

Mkutano umeshafunguliwa na Mkiti Issa Kibaba. Waitara amemkaribisha Mratibu wa Kanda ambaye amezungumzia namna Kanda inavyojipanga kuhudumia wanachama na wananchi kwa ujumla.

Sasa anapanda Mkiti wa Kanda Shaaban Mambo, anazungumza kidogo kwa sbb ya dalili ya mvua kubwa. Sasa amepanda Dkt. Slaa.

Mvua imekuwa kubwa hapa. Wav wamevumilia kumsikiliza Dkt, ambaye ameamua kubadili kubadili mbinu ya mkutano badala ya kuendelea kuhutubia, anatoa nafasi ya maswali kwa wananchi ili wasiende mbali

Source: Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene

Hii ni Habari njema sana kwa watatzania wema wanaopenda ukweli na waelewa kwa hila wasiokitakia meme Chadema na wengine wenaopigania haki ya watanzania kwamuda mrefu. nitakumbuka sana msemo huu kuwa walio wema wanaisikia saidi ya CHADEMA kupitia DR Slaa na Wanamfuata kwa nia njema iliyo ndani ya Mioyo yao na kwa furaha wanaimba kudhihirisha furaha yao. Mungu ni mwema na hii ni miujiza anaifanya kuonesha Dunia kuwa japo kuna wasaliti lakini chadema ni imara sana na kitatukuka kwa harakati za wenye nia njema na sio wasaliti wanaopanga mipango ovu gizani kwa manufaa yao binafsi na sio kwa taifa letu. VIVA VIVA DR, VIVA CHADEMA, VIVA MBOWE na TEAM nzima ya USHINDI na ya Mabadiliko chanya kwa CHADEMA. wabakio wanoouza dignity zao kwa vijisent huku wakiwa watumwa wa kufikiri na vipofu wasioona jinsi CCM inavyozidi kuongeza kutu ua umaskini Tanzania. CCM yaani ni majanga majanga matupu. Bila Chadema tutaangamia Tanzania. Mungu Mpe Maisha Marefu DR.
 
Msafara wa Dkt. Slaa ndo unakatiza hapa Kigoma mjini, ishara ya vidole viwili inatanda kila mahali na maneno ya ''Dkt. Slaa huyo huyo...Chademaaaa....Chademaaaa''.

Msafara unaelekea Jimbo la Kigoma Kaskazini Mkutano wa Kwanza utakuwa Nyarubanga, kisha utaelekea mkutano wa pili.

Updates.....

Ndo twawasili Nyarubanga hapa. Akina mama wamejipanga barabarani pembeni kdg ya uwanja wanaimba kumpokea Katibu Mkuu Dkt. Slaa. Msafara umeshaingia uwanjani.

Red Brigade wako imara kweli kweli leo hapa. Wananchi wanasogea sogea. Naona ngoma hapa inachezwa na akina mama.

Updates No 2:

Dkt. Slaa anaingia kucheza ngoma na wenyeji hapa. Ngoma hii inachezwa na kikundi cha ngoma cha akina mama wa CHADEMA kuhamasisha wananchi kujiunga na CHADEMA hasa akina mama na vijana.

Naambiwa inaitwa Denga. Wananchi wanashangilia kumuona Dokta anaungana na akina mama kucheza Denga!

Updates No 3.....

Mkutano umeshafunguliwa na Mkiti Issa Kibaba. Waitara amemkaribisha Mratibu wa Kanda ambaye amezungumzia namna Kanda inavyojipanga kuhudumia wanachama na wananchi kwa ujumla.

Sasa anapanda Mkiti wa Kanda Shaaban Mambo, anazungumza kidogo kwa sbb ya dalili ya mvua kubwa. Sasa amepanda Dkt. Slaa.

Mvua imekuwa kubwa hapa. Wav wamevumilia kumsikiliza Dkt, ambaye ameamua kubadili kubadili mbinu ya mkutano badala ya kuendelea kuhutubia, anatoa nafasi ya maswali kwa wananchi ili wasiende mbali

Updates No 4.....

Watu 4 hadi sasa wameshauliza maswali na Dkt. Slaa anaendelea kujibu maswali yote 5, 3 yanayuhusu maamuzi ya Kamati Kuu kuwavua madaraka Zitto, Kitila na Mwigamba

Mengine 2 yanayuhusu Chadema na misingi yake. Dkt, anaendelea kufafanua, masuala yote yaliyoulizwa.

Mvua inazidi kuwa kubwa hapa. Dkt. Slaa anawauliza wananchi aendelee au afunge mkutano, wananchi wanasema aendelee. Anaendelea hapa.

Mvua kubwa iliyotanguliwa na ukungu mkubwa sana ktk eneo la mkutano imezidi kuongezeka.

Sehemu ya umati wa wananchi wametafuta miamvuli na kubaki karibu na jukwaa. Wengine wako jukwaa kuu, wengine wamekimbilia upenuni mwa nyumba kuendelea kusikiliza.

Mvua ktk eneo hili la mkutano ni kubwa sana, ingawa mbali kdg tu kutoka hapa hakuna ukungu wala mvua.

Source: Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene

Nimepata taarifa kutoka kigoma Dr Slaa ana hutubia watu wasio zidi 100! Hii ni kutokana na mvua au hakukufanyika matangazo ya kutosha ya mkutano??????
 
Last edited by a moderator:
Kama "majini" ulimaanisha Majinni, wala hujakosea. Ukiwa Rais wa nchi unakuwa pia ni Rais wa binaadam na viumbe vyote vilivyopo nchini kwako, labda uwe huna akili ndio usijuwe hilo.

Kumbuka, si Majinni tu, hata Malaika wanamlinda. Msome Mbowe anasemaje Kuhusu Rais wake;

"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya" Mtukufu Rais Jakaya Mrisho Kikwete - Freeman Aikaeli Mbowe

Hapa ndiyo utajua watumia tumbo kufikiri......aaaaahaaaaa ama kwel CCM uozo
 
Bila shaka hii mvua ina mkono wa MSHIRIKINA MKUU ili kumkwamisha Dr Slaa, ila nakwambia Shetani hana mamlaka tena.
 
IMG-20131210-WA0005.jpg
Dr. Slaa anazidi kuikamata Kigoma huku wanafiki chupi zikizidi kuwashuka...
 
Naona Mbowe na Dr.W.Slaa hawajapewa heshima ya kualikwa maziko ya Madiba.

Kule kwenye maziko ya Mandela wamealikwa 'heads of Governments and Heads of States.
Wapi sixgates...??
Uko Kigoma au 'umetoka nduki'...!!!
Tupe updates kutoka huko Kigoma...!!!
 
Last edited by a moderator:
...nahisi ccm wataumia mara mbili zaidi kwa taarifa hizi na bwanamdogo zito ulikoegemea watu wamebomoa,chezeya kamanda wa aridhi weye....
 
Mdau aliyeko kwenye mkutano anasema mvua kubwa sana inanyesha muda huu....
 
Si bora yeye kuliko yule aliyejaladia hadi ulinzi wa majini kwenye kampeni za urais 2010? Nimekumbuka jinsi Kiongozi wa Brigedia ya ulinzi wa Majini alivyotishia hadi wagombea urais wengine kuwa atakayempinga JK atakufa ghafla......

Halafu yeye akafa tartiibuu.....
 
Vipi kuna ratiba ya mkutano Kalinzi? Nadhani Dr. Slaa akifika Kalinzi leo na soko litafungwa na watatamani wampe na zawadi za ndizi atashindwa kuzibeba.
 
Back
Top Bottom