Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,055
- 6,777
Hivi kuzika nako ni heshima?Naona Mbowe na Dr.W.Slaa hawajapewa heshima ya kualikwa maziko ya Madiba.
Hivi kuzika nako ni heshima?Naona Mbowe na Dr.W.Slaa hawajapewa heshima ya kualikwa maziko ya Madiba.
Naona Mbowe na Dr.W.Slaa hawajapewa heshima ya kualikwa maziko ya Madiba.
Msafara wa Dkt. Slaa ndo unakatiza hapa Kigoma mjini, ishara ya vidole viwili inatanda kila mahali na maneno ya ''Dkt. Slaa huyo huyo...Chademaaaa....Chademaaaa''.
Msafara unaelekea Jimbo la Kigoma Kaskazini Mkutano wa Kwanza utakuwa Nyarubanga, kisha utaelekea mkutano wa pili.
Updates.....
Ndo twawasili Nyarubanga hapa. Akina mama wamejipanga barabarani pembeni kdg ya uwanja wanaimba kumpokea Katibu Mkuu Dkt. Slaa. Msafara umeshaingia uwanjani.
Red Brigade wako imara kweli kweli leo hapa. Wananchi wanasogea sogea. Naona ngoma hapa inachezwa na akina mama.
Updates No 2:
Dkt. Slaa anaingia kucheza ngoma na wenyeji hapa. Ngoma hii inachezwa na kikundi cha ngoma cha akina mama wa CHADEMA kuhamasisha wananchi kujiunga na CHADEMA hasa akina mama na vijana.
Naambiwa inaitwa Denga. Wananchi wanashangilia kumuona Dokta anaungana na akina mama kucheza Denga!
Updates No 3.....
Mkutano umeshafunguliwa na Mkiti Issa Kibaba. Waitara amemkaribisha Mratibu wa Kanda ambaye amezungumzia namna Kanda inavyojipanga kuhudumia wanachama na wananchi kwa ujumla.
Sasa anapanda Mkiti wa Kanda Shaaban Mambo, anazungumza kidogo kwa sbb ya dalili ya mvua kubwa. Sasa amepanda Dkt. Slaa.
Mvua imekuwa kubwa hapa. Wav wamevumilia kumsikiliza Dkt, ambaye ameamua kubadili kubadili mbinu ya mkutano badala ya kuendelea kuhutubia, anatoa nafasi ya maswali kwa wananchi ili wasiende mbali
Source: Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene
View attachment 125854 View attachment 125856 View attachment 125857 View attachment 125856 m
Mpaka 2015 ifike mtakata sana magogo na kubeba matofari kweli ukiwasau wananchi inacost sana.
Hawa jamaa ni wasanii sana na huyo Mama pamoja na kuwa sijui Niabu kati mkuu wa UN still ana mambo ya ajabu sana
Msafara wa Dkt. Slaa ndo unakatiza hapa Kigoma mjini, ishara ya vidole viwili inatanda kila mahali na maneno ya ''Dkt. Slaa huyo huyo...Chademaaaa....Chademaaaa''.
Msafara unaelekea Jimbo la Kigoma Kaskazini Mkutano wa Kwanza utakuwa Nyarubanga, kisha utaelekea mkutano wa pili.
Updates.....
Ndo twawasili Nyarubanga hapa. Akina mama wamejipanga barabarani pembeni kdg ya uwanja wanaimba kumpokea Katibu Mkuu Dkt. Slaa. Msafara umeshaingia uwanjani.
Red Brigade wako imara kweli kweli leo hapa. Wananchi wanasogea sogea. Naona ngoma hapa inachezwa na akina mama.
Updates No 2:
Dkt. Slaa anaingia kucheza ngoma na wenyeji hapa. Ngoma hii inachezwa na kikundi cha ngoma cha akina mama wa CHADEMA kuhamasisha wananchi kujiunga na CHADEMA hasa akina mama na vijana.
Naambiwa inaitwa Denga. Wananchi wanashangilia kumuona Dokta anaungana na akina mama kucheza Denga!
Updates No 3.....
Mkutano umeshafunguliwa na Mkiti Issa Kibaba. Waitara amemkaribisha Mratibu wa Kanda ambaye amezungumzia namna Kanda inavyojipanga kuhudumia wanachama na wananchi kwa ujumla.
Sasa anapanda Mkiti wa Kanda Shaaban Mambo, anazungumza kidogo kwa sbb ya dalili ya mvua kubwa. Sasa amepanda Dkt. Slaa.
Mvua imekuwa kubwa hapa. Wav wamevumilia kumsikiliza Dkt, ambaye ameamua kubadili kubadili mbinu ya mkutano badala ya kuendelea kuhutubia, anatoa nafasi ya maswali kwa wananchi ili wasiende mbali
Updates No 4.....
Watu 4 hadi sasa wameshauliza maswali na Dkt. Slaa anaendelea kujibu maswali yote 5, 3 yanayuhusu maamuzi ya Kamati Kuu kuwavua madaraka Zitto, Kitila na Mwigamba
Mengine 2 yanayuhusu Chadema na misingi yake. Dkt, anaendelea kufafanua, masuala yote yaliyoulizwa.
Mvua inazidi kuwa kubwa hapa. Dkt. Slaa anawauliza wananchi aendelee au afunge mkutano, wananchi wanasema aendelee. Anaendelea hapa.
Mvua kubwa iliyotanguliwa na ukungu mkubwa sana ktk eneo la mkutano imezidi kuongezeka.
Sehemu ya umati wa wananchi wametafuta miamvuli na kubaki karibu na jukwaa. Wengine wako jukwaa kuu, wengine wamekimbilia upenuni mwa nyumba kuendelea kusikiliza.
Mvua ktk eneo hili la mkutano ni kubwa sana, ingawa mbali kdg tu kutoka hapa hakuna ukungu wala mvua.
Source: Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene
Kama "majini" ulimaanisha Majinni, wala hujakosea. Ukiwa Rais wa nchi unakuwa pia ni Rais wa binaadam na viumbe vyote vilivyopo nchini kwako, labda uwe huna akili ndio usijuwe hilo.
Kumbuka, si Majinni tu, hata Malaika wanamlinda. Msome Mbowe anasemaje Kuhusu Rais wake;
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya" Mtukufu Rais Jakaya Mrisho Kikwete - Freeman Aikaeli Mbowe
Baada ya Nape kutuiga tumemwachia aendelee na picha zake za usanii.Chadema mlisha tuzoesha kurusha picha hapa JF mbona siku hizi mna ongea kwa maneno maneno tu!
Picha please
Si bora yeye kuliko yule aliyejaladia hadi ulinzi wa majini kwenye kampeni za urais 2010? Nimekumbuka jinsi Kiongozi wa Brigedia ya ulinzi wa Majini alivyotishia hadi wagombea urais wengine kuwa atakayempinga JK atakufa ghafla......
Chadema mlisha tuzoesha kurusha picha hapa JF mbona siku hizi mna ongea kwa maneno maneno tu!
Picha please
View attachment 125863Dr. Slaa anazidi kuikamata Kigoma huku wanafiki chupi zikizidi kuwashuka...
Naona Mbowe na Dr.W.Slaa hawajapewa heshima ya kualikwa maziko ya Madiba.
Nimepata taarifa kutoka kigoma Dr Slaa ana hutubia watu wasio zidi 100! Hii ni kutokana na mvua au hakukufanyika matangazo ya kutosha ya mkutano??????
View attachment 125863Dr. Slaa anazidi kuikamata Kigoma huku wanafiki chupi zikizidi kuwashuka...
Mumgu ibariki tz,kigoma,wanakigoma, wanaCDM na Viongozi wao. Dr. S go on...... We are praying 4 U.