...
....Nguvu za Mungu zimeshuka Kigoma ..
...Mji umetikisika Matunguri yanaendela kulipuka...
Mungu na Chadema...Chadema na Mungu...
Yaani ukisikia nyoyo zinasuzika Dr Slaa ni mwanasiasa mwenye mvuto sana
...
....Nguvu za Mungu zimeshuka Kigoma ..
...Mji umetikisika Matunguri yanaendela kulipuka...
Mungu na Chadema...Chadema na Mungu...
Ametingisha wakati kila sikua anakoswa na mawe kwenye mikutano yake.
Ametingisha wakati kila sikua anakoswa na mawe kwenye mikutano yake.
Jamani mwenye sifa tumpe sifa yake wakuu, Mimi toka nimefatilia kwa karibu hekima, maarifa na siasa za Dr.Slaa, ninathubutu kusema huyu Mzee ni miongoni mwa Simba(Wakombozi) wa Africa, Dr.Slaa ni mwanasiasa hasa, Ni jemedari na Kamanda mpiganaji aliye jasiri mithili ya Steve Biko na mwenye muono mithili Cout Camilo cavour wa Italy.
Mungu ampe maisha marefu sana Kamanda wetu na hakika Historia itakuandika na kukumbuka kama shujaa wa haki mwenye ujasiri na kweli aliyeshuka zama hizi.
Akina Kikwete ,BIlali,Pinda mbona wanafunga matela ya walinzi ,jamaa unajifahamu kweli au unaropoka tu ili mwigulu akuingizie sikuUmbea utawatoa mishipa ya Shingo.
Kama anajiamini Brigade ya nini?
yepi mkuu? Mbona dr. Slaa anatikisa kigoma mjini muda huu? Magamba mtakoma ubishi mkuu!Babu hakutegemea kabisa yaliyomtokea huko na anajuta kwanini alienda.
mbona una hangaika sana..
Kwa hiyo huwa anayakwepa kila siku au walengaji hawana shabaha kila siku? Poleni sana kwa maumivu haya makali mnayoyapata
mtu aliyeharibu mpaka kanisani kweli unathubutu kumwitta anahekima kama kweli kashindwa kufanya kazi kanisani hadi kafukuzwa hekima zake ziko wapi mkuu kwa nini usiwe mkweli tujifunze kuujua ukweli na kuukubari pia.
teh teh, mbavu zangu mie!...
....Nguvu za Mungu zimeshuka Kigoma ..
...Mji umetikisika Matunguri yanaendela kulipuka...
Mungu na Chadema...Chadema na Mungu...
Mawe ya akina Bayona na chagulani na Matata yameshabuma
zitto akiwa mwenyekiti wa chadema hatimaye rais wa nchi hii utahamia nchi gani?
Akirudi itabidi mjitahidi apate matibabu makubwa amepata shida sana na kuhangaika sana.
zitto akiwa mwenyekiti wa chadema hatimaye rais wa nchi hii utahamia nchi gani?
Umbea utawatoa mishipa ya Shingo.
Kama anajiamini Brigade ya nini?
Kama huna cha kuchangia kaa mbali.Hii sio saizi yako
Jamani mwenye sifa tumpe sifa yake wakuu, Mimi toka nimefatilia kwa karibu hekima, maarifa na siasa za Dr.Slaa, ninathubutu kusema huyu Mzee ni miongoni mwa Simba(Wakombozi) wa Africa, Dr.Slaa ni mwanasiasa hasa, Ni jemedari na Kamanda mpiganaji aliye jasiri mithili ya Steve Biko na mwenye muono mithili Cout Camilo cavour wa Italy.
Mungu ampe maisha marefu sana Kamanda wetu na hakika Historia itakuandika na kukumbuka kama shujaa wa haki mwenye ujasiri na kweli aliyeshuka zama hizi.