Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

alafu yeye ndo akatangulia..hapo ndo ujue CDM IKO kwa makusudi Ya MUNGU
 
hizi hekaya zinazidi kuwadhalilisha. uzuri ni kwamba JF inawafikia watu wachache sana hapa tanzania na wale wengi wanaoipata JF akili zao zina uwezo wa kuchanganua mambo walau kidogo.
propaganda za kitoto haziwezi kuubadilisha ukweli na kamwe ZZK hawezi akalinganishwa na mangi yeyote wala kibaraka yeyote wa mangi ndani ya chadema.
let him shake his tail(slaa) and leave behind the shit trail. when ZZK comes, he will wipe it off and for good. mnamtuma babu mzinzi kwenda kupima kina cha bahari kwa kutummbukiza miguu yote miwili!!! he is sinking and he will never make it...
after all, you chagaz are using him(slaa) and when the test of his flesh is no longer, you will dump him.

'''' mtumwa mzuri ni yule asiyefahamu kuwa yeye ni mtumwa""

Slaa ni mpangaji Katika familia ya Mtei aka mmiliki wa CDM~Bango.
 
Naona Mbowe na Dr.W.Slaa hawajapewa heshima ya kualikwa maziko ya Madiba.
 
Last edited by a moderator:
...Sahau kuhusu picha.

Kinana na tren + Kandambili.jpg View attachment 125856 View attachment 125857 View attachment 125856 View attachment 125858

Ziara ya Kinana imezalisha hizi Picha je zimeksaidia nini?
 
Ahaa we msukule kunsemaje weye? Unataka leta kejeli ee.
.
nyie ndo mnaleta kejeli na maisha ya watu kwa kujineemesha nyie wenyewe na familia zenu ndo maana hamtaki mabadiliko kabisaaa..mujiandae kwa mabadiliko ndugu,siku si nyingi nchi itatoka kwenye dhiki kuu ya ufisadi..dhiki kuu ya ujangili..na udhalimu wote uliopo hapa nchini..
 
jk ni rais anayelindwa na majini!

Kama "majini" ulimaanisha Majinni, wala hujakosea. Ukiwa Rais wa nchi unakuwa pia ni Rais wa binaadam na viumbe vyote vilivyopo nchini kwako, labda uwe huna akili ndio usijuwe hilo.

Kumbuka, si Majinni tu, hata Malaika wanamlinda. Msome Mbowe anasemaje Kuhusu Rais wake;

"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya" Mtukufu Rais Jakaya Mrisho Kikwete - Freeman Aikaeli Mbowe
 
Msipokuja bila picha hapa mi sielewi kabisa, siku hizi simu hata pande hizo zipo, kupiga na kutupia humu ni dakika mbili tu...
Msije na siasa za google play kupata watu wa kudownload software wanadanganya inatumiwa na watu 20m kumbe wapo buku
 
Back
Top Bottom