Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Unataka kumfananisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dokta Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete na kijidokta cha kanoni kilichoshindwa kuongoza kondoo na badala yake kudandia wake za watu? Unanchekesha!

Dr Slaa ni dokta wa kanoni, "dr " Kikwete ni dokta wa nini?
 
Jamani mwenye sifa tumpe sifa yake wakuu, Mimi toka nimefatilia kwa karibu hekima, maarifa na siasa za Dr.Slaa, ninathubutu kusema huyu Mzee ni miongoni mwa Simba(Wakombozi) wa Africa, Dr.Slaa ni mwanasiasa hasa, Ni jemedari na Kamanda mpiganaji aliye jasiri mithili ya Steve Biko na mwenye muono mithili Cout Camilo cavour wa Italy.

Mungu ampe maisha marefu sana Kamanda wetu na hakika Historia itakuandika na kukumbuka kama shujaa wa haki mwenye ujasiri na kweli aliyeshuka zama hizi.
DR SLAA ndiyo tegemeo la kila mwenye mapenzi mema na nchi hii .
 
kuna kareport humu kameanzishwa kanasema sijui slaa kashindwa kufanya mkutano bila ata picha, na mods wanakangalia tuuu wakati hii ndio taarifa sahihi sijui kwanini, CCM HOYEEE
 
Kama ulikuwa hujui kama huyo Zitto ni CCM aliye ndani ya CDM basi una upofu wewe. Wenzio tunaondoa boriti kwenye jicho letu alafu tukatoe kibanzi huko

Mpaka mmalize hicho kibori ni 2016. Na msije mkawa hao akina Dk Slaa ndio viboriti wenyewe. Huo mkataba wao na Edward Lowasa wameshaufuta?
 
Si bora yeye kuliko yule aliyejaladia hadi ulinzi wa majini kwenye kampeni za urais 2010? Nimekumbuka jinsi Kiongozi wa Brigedia ya ulinzi wa Majini alivyotishia hadi wagombea urais wengine kuwa atakayempinga JK atakufa ghafla......

The only reason the words lunacy and insane still exist is bcoz they define u perfectly.
 
Dr Slaa ni dokta wa kanoni, "dr " Kikwete ni dokta wa nini?

Shahada ya kwanza na ya pili za Slaa amezipatia chuo kipi na masomo yepi?

Soma vitu vya Kikwete hapa:

[h=3]Honours[/h] [TABLE="class: wikitable"]
[TR]
[TH="colspan: 2"]Order[/TH]
[TH]Country[/TH]
[TH="width: 60px"]Year[/TH]
[TH]Ref[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 80px"] [/TD]
[TD]Most Excellent Order of the Pearl of Africa (Grand Master)[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Uganda.svg.png
Uganda[/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"][SUP][4][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 80px"] [/TD]
[TD]Order of the Green Crescent of the Comoros[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_the_Comoros.svg.png
Comoros[/TD]
[TD="align: center"]2009[/TD]
[TD="align: center"][SUP][5][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 80px"] [/TD]
[TD]Order of Abdulaziz Al Saud[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Saudi_Arabia.svg.png
Saudi Arabia[/TD]
[TD="align: center"]2009[/TD]
[TD="align: center"][SUP][6][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 80px"] [/TD]
[TD]Order of Excellence[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Jamaica.svg.png
Jamaica[/TD]
[TD="align: center"]2009[/TD]
[TD="align: center"][SUP][7][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 80px"] [/TD]
[TD]Order of Oman (First Class)[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Oman.svg.png
Oman[/TD]
[TD="align: center"]2012[/TD]
[TD="align: center"][SUP][8][/SUP][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
[h=3]Awards[/h]
  • Sullivan Honor
  • 2007: The AAI African National Achievement Award (on behalf of Tanzania).[SUP][9][/SUP]
  • 2009: US Doctors for Africa Award.[SUP][10][/SUP]
  • 2011: Social Good Award from the United Nations Foundation[SUP][11][/SUP]
  • 2011: South-South Award for Global Health, Technology and Development[SUP][12][/SUP]
  • 2012: FANRPAN Policy Leadership Award from the Food, Agriculture and Natural Resources Policy Analysis Network.[SUP][13][/SUP]
[h=3]Honorary degrees[/h] [TABLE="class: wikitable"]
[TR]
[TH]University[/TH]
[TH]Country[/TH]
[TH]Degree[/TH]
[TH="width: 60px"]Year[/TH]
[TH]Ref[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]University of St. Thomas (Minnesota)[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_the_United_States.svg.png
United States[/TD]
[TD]Honorary Doctor of Law[/TD]
[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"][SUP][14][/SUP][SUP][15][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kenyatta University[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Kenya.svg.png
Kenya[/TD]
[TD]Doctor of Humane Letters[/TD]
[TD="align: center"]2008[/TD]
[TD="align: center"][SUP][16][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Fatih University[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Turkey.svg.png
Turkey[/TD]
[TD]Doctorate in International Relations[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"][SUP][17][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Muhimbili University[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Tanzania.svg.png
Tanzania[/TD]
[TD]Doctor of Public Health (Honoris Causa)[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"][SUP][18][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of Dodoma[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Tanzania.svg.png
Tanzania[/TD]
[TD]Honoris Causa[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"][SUP][19][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of Dar es Salaam[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Tanzania.svg.png
Tanzania[/TD]
[TD]Honorary Doctor of Law[/TD]
[TD="align: center"]2011[/TD]
[TD="align: center"][SUP][20][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of Guelph[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Canada.svg.png
Canada[/TD]
[TD]Honorary Doctor of Law[/TD]
[TD="align: center"]2013[/TD]
[TD="align: center"][SUP][21][/SUP][SUP][22][/SUP][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Si bora yeye kuliko yule aliyejaladia hadi ulinzi wa majini kwenye kampeni za urais 2010? Nimekumbuka jinsi Kiongozi wa Brigedia ya ulinzi wa Majini alivyotishia hadi wagombea urais wengine kuwa atakayempinga JK atakufa ghafla......

Vipi yale madumu yako ya SUMU kwa ajili ya kumumaliza Mh. ZZK!
 
Msafara wa Gwiji wa siasa Tanzania na Katibu mkuu CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa ndo unakatiza hapa Kigoma mjini, ishara ya vidole viwili inatanda kila mahali na maneno ya ''Dkt. Slaa huyo huyo...Chademaaaa....Chademaaaa''.

Msafara unaelekea Jimbo la Kigoma Kaskazini Mkutano wa Kwanza utakuwa Nyarubanga, kisha utaelekea mkutano wa pili.

Updates.....

Ndo twawasili Nyarubanga hapa. Akina mama wamejipanga barabarani pembeni kdg ya uwanja wanaimba kumpokea Katibu Mkuu Dkt. Slaa. Msafara umeshaingia uwanjani.

Red Brigade wako imara kweli kweli leo hapa. Wananchi wanasogea sogea. Naona ngoma hapa inachezwa na akina mama.

Updates No 2:

Dkt. Slaa anaingia kucheza ngoma na wenyeji hapa. Ngoma hii inachezwa na kikundi cha ngoma cha akina mama wa CHADEMA kuhamasisha wananchi kujiunga na CHADEMA hasa akina mama na vijana.

Naambiwa inaitwa Denga. Wananchi wanashangilia kumuona Dokta anaungana na akina mama kucheza Denga!

Updates No 3.....

Mkutano umeshafunguliwa na Mkiti Issa Kibaba. Waitara amemkaribisha Mratibu wa Kanda ambaye amezungumzia namna Kanda inavyojipanga kuhudumia wanachama na wananchi kwa ujumla.

Sasa anapanda Mkiti wa Kanda Shaaban Mambo, anazungumza kidogo kwa sbb ya dalili ya mvua kubwa. Sasa amepanda Dkt. Slaa.

Mvua imekuwa kubwa hapa. Wav wamevumilia kumsikiliza Dkt, ambaye ameamua kubadili kubadili mbinu ya mkutano badala ya kuendelea kuhutubia, anatoa nafasi ya maswali kwa wananchi ili wasiende mbali

Updates No 4.....

Watu 4 hadi sasa wameshauliza maswali na Dkt. Slaa anaendelea kujibu maswali yote 5, 3 yanayuhusu maamuzi ya Kamati Kuu kuwavua madaraka Zitto, Kitila na Mwigamba

Mengine 2 yanayuhusu Chadema na misingi yake. Dkt, anaendelea kufafanua, masuala yote yaliyoulizwa.

Mvua inazidi kuwa kubwa hapa. Dkt. Slaa anawauliza wananchi aendelee au afunge mkutano, wananchi wanasema aendelee. Anaendelea hapa.

Mvua kubwa iliyotanguliwa na ukungu mkubwa sana ktk eneo la mkutano imezidi kuongezeka.

Sehemu ya umati wa wananchi wametafuta miamvuli na kubaki karibu na jukwaa. Wengine wako jukwaa kuu, wengine wamekimbilia upenuni mwa nyumba kuendelea kusikiliza.

Mvua ktk eneo hili la mkutano ni kubwa sana, ingawa mbali kdg tu kutoka hapa hakuna ukungu wala mvua.

Updates No 5....

Kutokana na mvua kuzidi kuwa kubwa Wananchi wamemruhusu Dkt. Slaa ashuke jukwaani baada ya kuhutubia kama dkk 45.

Msafara unalazimika kuondoka kwenda mkutano wa pili.

Kuna utani unazungumzwa na baadhi ya wananchi kwamba ''wameshindwa njia zote sasa wameamua kujaribu hii...''.

Lakini Dkt. Slaa kabla hajaondoka jukwaani, aliwaambia wananchi kuwa mvua ni baraka, hivyo wasilaumu!

Picha chini ni kabla mvua haijaanza kunyesha:
attachment.php



Source: Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene

Ametingisha nini mabega au tumbo?
 
Shahada ya kwanza na ya pili za Slaa amezipatia chuo kipi na masomo yepi?

Soma vitu vya Kikwete hapa:

Honours

[TABLE="class: wikitable"]
[TR]
[TH="colspan: 2"]Order[/TH]
[TH]Country[/TH]
[TH]Year[/TH]
[TH]Ref[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD] [/TD]
[TD]Most Excellent Order of the Pearl of Africa (Grand Master)[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Uganda.svg.png
Uganda[/TD]
[TD="align: center"]2007[/TD]
[TD="align: center"][SUP][4][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] [/TD]
[TD]Order of the Green Crescent of the Comoros[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_the_Comoros.svg.png
Comoros[/TD]
[TD="align: center"]2009[/TD]
[TD="align: center"][SUP][5][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] [/TD]
[TD]Order of Abdulaziz Al Saud[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Saudi_Arabia.svg.png
Saudi Arabia[/TD]
[TD="align: center"]2009[/TD]
[TD="align: center"][SUP][6][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] [/TD]
[TD]Order of Excellence[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Jamaica.svg.png
Jamaica[/TD]
[TD="align: center"]2009[/TD]
[TD="align: center"][SUP][7][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD] [/TD]
[TD]Order of Oman (First Class)[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Oman.svg.png
Oman[/TD]
[TD="align: center"]2012[/TD]
[TD="align: center"][SUP][8][/SUP][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Awards


  • Sullivan Honor
  • 2007: The AAI African National Achievement Award (on behalf of Tanzania).[SUP][9][/SUP]
  • 2009: US Doctors for Africa Award.[SUP][10][/SUP]
  • 2011: Social Good Award from the United Nations Foundation[SUP][11][/SUP]
  • 2011: South-South Award for Global Health, Technology and Development[SUP][12][/SUP]
  • 2012: FANRPAN Policy Leadership Award from the Food, Agriculture and Natural Resources Policy Analysis Network.[SUP][13][/SUP]
Honorary degrees

[TABLE="class: wikitable"]
[TR]
[TH]University[/TH]
[TH]Country[/TH]
[TH]Degree[/TH]
[TH]Year[/TH]
[TH]Ref[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD]University of St. Thomas (Minnesota)[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_the_United_States.svg.png
United States[/TD]
[TD]Honorary Doctor of Law[/TD]
[TD="align: center"]2006[/TD]
[TD="align: center"][SUP][14][/SUP][SUP][15][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Kenyatta University[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Kenya.svg.png
Kenya[/TD]
[TD]Doctor of Humane Letters[/TD]
[TD="align: center"]2008[/TD]
[TD="align: center"][SUP][16][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Fatih University[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Turkey.svg.png
Turkey[/TD]
[TD]Doctorate in International Relations[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"][SUP][17][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]Muhimbili University[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Tanzania.svg.png
Tanzania[/TD]
[TD]Doctor of Public Health (Honoris Causa)[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"][SUP][18][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of Dodoma[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Tanzania.svg.png
Tanzania[/TD]
[TD]Honoris Causa[/TD]
[TD="align: center"]2010[/TD]
[TD="align: center"][SUP][19][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of Dar es Salaam[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Tanzania.svg.png
Tanzania[/TD]
[TD]Honorary Doctor of Law[/TD]
[TD="align: center"]2011[/TD]
[TD="align: center"][SUP][20][/SUP][/TD]
[/TR]
[TR]
[TD]University of Guelph[/TD]
[TD]
23px-Flag_of_Canada.svg.png
Canada[/TD]
[TD]Honorary Doctor of Law[/TD]
[TD="align: center"]2013[/TD]
[TD="align: center"][SUP][21][/SUP][SUP][22][/SUP][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Hivi shahada za huyo jamaa yako alikuwa anajifunza kwa Kiswahili au Kikwere? Maana pia pamoja na kuwa Waziri miaka mingi ikiwana 10 foreign bado ni majanga katika lugha ya kujifunzia ambayo ni kingereza.
Aliniacha hoi siku moja kwenye mkutano mmoja huko nje alipoanza " Your exellency madam chairman ..........."
sijui tunaaibika mara ngapi.
 
Breaking news;- slaa adharirishwa kigoma kaskazini jioni hii. Akimbia mkutano
Wakuu,
Taarifa za uhakika kutoka kwa katibu wa JIMBO LA KIGOMA KASKAZINI CHADEMA ndugu RAMA RUAHA, ni kwamba Katibu mkuu wa CHADEMA Padri SLAA leo alikuwa afanye mikutano miwili katika vijiji viwili baada ya kukimbia NGOME KUU YA ZZK ''MWANDIGA'' na kukimbilia kuweka mikutano ifanyike kijiji cha NYARUBANDA na mwingine KIDAHWE.


Taarifa kamili ni kama ifuatavyo


(i). MKUTANO WA NYARUBANDA. - Itabidi PADRI SLAA aishukuru mvua iliyowatawanyisha wananchi wenye HASIRA walioanza kumshambulia SLAA kwa mabango, maneno makali na mawe, huku vijana wake wa REDBRIGED wakionyesha kuishiwa nguvu na kuomba msaada wa POLISI.


SLAA anayejidai kichwa ngumu leo ameishukuru mvua hiyo iliyositiri AIBU YAKE YA KARNE YA KUPOPOLEWA NA MAYAI VIZA NA MAWE.


(ii). MKUTANO WA KIDAHWE - Katika Hali ile ile ya WAHA WA KIGOMA kumchukia DOKTA SLAA kwa kuwafanya wendawazimu na kuwataka washerehekee MAZISHI YA KIJANA WAO, huku SLAA ILIMBIDI AINGIE MITINI.


NDIO, SLAA AMESHINDWA KUTOKEA MKUTANONI KIDAHWE BAADA YA KUAMBIWA KUWA WANANCHI WA ENEO HILO WANA HASIRA NA CHUKI KUBWA DHIDI YAKE, VIONGOZI WA CHADEMA KIDAHWE WALIKATAA HATA KUMUWEKEA MEZA YA KUSIMAMA KUHUTUBIA, GARI LA M4C LILILOONGOZANA NA VIBARAKA WAKE LILIAMBULIA MATUSI MAKUBWA NA MAWE MFULULIZO KISHA KUPEWA TAHADHARI KUWA MLETENI SLAA AONE CHA MTEMA KUNI.


KWA KIFUPI KABISA SLAA AMEUMBUKA KWA KUSHINDWA KUHUTUBIA JIMBONI KWA ZITTO KABWE,


WENYEWE WANASEMA ''slaa hawezi kutuulia mwanetu halafu anakuja kutuimbia NGOMA za kikweo tucheze, sisi sio wapuuzi''


namuomba MOLEMO, BEN SAA NANE, TUMAINI MAKENE, WAITARA NA WENGINEO WOTE WAJE HAPA KUBISHA AMA KUTHIBITISHA TOFAUTI''
 
Nina imani waliojitokeza katika mkutano huo ni wagalatia 2pu.
 
Back
Top Bottom