Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Dr Slaa atingisha Kigoma Kaskazini

Slaa huna ubavu wa kukaa na zitto meza moja mkajadiri issues kielimu. Tofauti yenu kubwa sana kama kas na kus. Labda ukakae na mapadri wenzako mpange mipango ya kiroho zaidi.
​hata mapadri hana hadhi ya kukaa nao
 
SLAA
ni kiongozi mbinafsi.
ni kiongozi mzinzi.
ni kiongozi mwizi.
ni kiongozi mwenye chuki.
ni kiongozi mpenda madaraka.
ni kiongozi anayrechumia tumbo.
ni kiongozi mwenye sura mbili.

CHAMVIGA kikwetu ni mtoto aliyeokotwa kwenye mfuko wa lambo, sory lakin
 
Last edited by a moderator:
Slaa huna ubavu wa kukaa na zitto meza moja mkajadiri issues kielimu. Tofauti yenu kubwa sana kama kas na kus. Labda ukakae na mapadri wenzako mpange mipango ya kiroho zaidi.

hata kama ni kutumika huku sasa kumezidi yaani ni zaid ya pedi.
 
Slaa huna ubavu wa kukaa na zitto meza moja mkajadiri issues kielimu. Tofauti yenu kubwa sana kama kas na kus. Labda ukakae na mapadri wenzako mpange mipango ya kiroho zaidi.

hata kama ni kutumika huku sasa kumezidi yaani ni zaid ya pedi. Hivi huon haya baba zima kama wewe kutumiwa? Zito ni mtu mdogo sana kumlinganisha na slaa labda ukisema na zito na mwkt wako wa chama ndio wana endana vyema sana
 
​hii picha si ya kigoma ilikuwa pande za moshi huko......tumewachoka kwa ulaghai wenu
Na ITV walioonyesha jioni hii nao waongo? Kweli mna mioyo migumu kama shetani.
Ila sasa nikubaliane na Msigwa alivyosema Bungeni leo kuwa akili za Maccm zimedumaa na chama Chao ni CHAKAVU.
 
SLAA
ni kiongozi mbinafsi.
ni kiongozi mzinzi.
ni kiongozi mwizi.
ni kiongozi mwenye chuki.
ni kiongozi mpenda madaraka.
ni kiongozi anayrechumia tumbo.
ni kiongozi mwenye sura mbili.

nyamaza pimbi wewe!unajua ulichoandika kweli au umechanganyikiwa?baki kwa mashetani wenzako mwisho wa utawala wa mashetani ndiyo unafika mwisho.
 
Na ITV walioonyesha jioni hii nao waongo? Kweli mna mioyo migumu kama shetani.Ila sasa nikubaliane na Msigwa alivyosema Bungeni leo kuwa akili za Maccm zimedumaa na chama Chao ni CHAKAVU.
hivi msigwa nae ni wa kuongea akasikilizwa?
 
nyamaza pimbi wewe!unajua ulichoandika kweli au umechanganyikiwa?baki kwa mashetani wenzako mwisho wa utawala wa mashetani ndiyo unafika mwisho.
unaota ndoto utazika ndugu zako wote mwisho nawewe utaiacha CCM ikitawala
 
hyo ndyo Dr slaa a.k.a simba wa africa na mkombozi wa wanyonge..long live Dr & God give u gud health & power
 
Back
Top Bottom