Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Jaribu kufuatilia mtiririko wa mada... utafahamu!Inauma nini sasa?
Jaribu kufuatilia mtiririko wa mada... utafahamu!Inauma nini sasa?
mtiririko upi wewe gamba?Jaribu kufuatilia mtiririko wa mada... utafahamu!
"Dr. Slaa ashindwa kung'ara Shinyanga"mtiririko upi wewe gamba?
siyo kazi ya CDM kufanya manjonjo wewe gamba!!!!!"Dr. Slaa ashindwa kung'ara Shinyanga"
Naanza kupata wasiwasi na uelewa wa magwanda!
Hili njonjo ni lipiga kampeni maarufu la CcmAisee hili Njonjo la wapi?
Kakojoe ulale we kobe au unafikiri nae ni mr dhaifu?Watu wameshamstukia huyo Mzee kuwa ni kiwanda kazini.
Porojo za kusaini mikataba bila kusomaWatu wamechoka na porojo.
Porojo za kusaini mikataba bila kusoma
Katika hali isiyokuwa ya kutarajiwa Katibu mkuu wa Chadema na wapambe wake wameshindwa kuonyesha manjonjo yao kwenye kampeni yao ya kumnadi mgombea wao wa udiwani kama walivyo kuwa wanatarajia. Hata kama mnafuatilia waliokuwa wanatujuza waliishia kutuletea picha za kiongozi huyo maarufu wa kisiasa akiwa sokoni tu.
CHADEMA SIO CHAMA CHA WANENGUAJI HATA UTARAJIE KUONA MANJONJO YAO, CHADEMA KINAMWAGA SERA TU.
Kama unataka kuona manjonjo nenda kwenye mikutano yenu magamba utawakuta ZE COMEDY, WANAUMEFAMILY, TAARABU(T.O.T) na wasanii wengine kibao wakionesha manjonjo kwa lengo la kuwasahaulisha watanzania matatizo yao ya ugumu na kupanda kwa gharama za maisha yanayoendelea kuwakabili kwa miaka 50 sasa.
I salute you sir.CHADEMA SIO CHAMA CHA WANENGUAJI HATA UTARAJIE KUONA MANJONJO YAO, CHADEMA KINAMWAGA SERA TU.
Kama unataka kuona manjonjo nenda kwenye mikutano yenu magamba utawakuta ZE COMEDY, WANAUMEFAMILY, TAARABU(T.O.T) na wasanii wengine kibao wakionesha manjonjo kwa lengo la kuwasahaulisha watanzania matatizo yao ya ugumu na kupanda kwa gharama za maisha yanayoendelea kuwakabili kwa miaka 50 sasa.
Katika hali isiyokuwa ya kutarajiwa Katibu mkuu wa Chadema na wapambe wake wameshindwa kuonyesha manjonjo yao kwenye kampeni yao ya kumnadi mgombea wao wa udiwani kama walivyo kuwa wanatarajia. Hata kama mnafuatilia waliokuwa wanatujuza waliishia kutuletea picha za kiongozi huyo maarufu wa kisiasa akiwa sokoni tu.