Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,419
Google upate elimu, acha ubishi na kubaki mshangiliaji....Mburura wewe wapi HAPA!!!
....Mmezidi kukalili ....ukubwa wa umri si maarifa ya ubongo....creche wewe!!!!
Google upate elimu, acha ubishi na kubaki mshangiliaji....Mburura wewe wapi HAPA!!!
....Mmezidi kukalili ....ukubwa wa umri si maarifa ya ubongo....creche wewe!!!!
Yote uliyosema ni history, baada ya Josephine kuingia katika Dr. Slaa's picture, uzuri wake unazidi kudidimia shimoni. Josephine hakumpenda Dr. Slaa kwa kuwa he is handsome, but opportunity. Mama Nkapa na Josephine ni watu hatari sanaYani wewe ndiye mburura kabisa. Dkt. Slaa amekuwa mbunge wa Karatu kwa muda wa miaka 15 mfululizo sasa usije ukadhani watu wa Karatu ni mamburura kama wewe!
Kheri yeye anajifunza kitu kipya kuliko mwenyekiti wenu anayeacha majukumu ya kuwatumikia watanzania na kwenda kupiga picha na wauza sembe huko marekani.
Raisi gani anafunga safari toka hapa hadi UK au USA kwenda kupokea jezi tu?? Pamoja na kuzurura kwake kote lakini hajafanikiwa kuinua mchezo hata mmoja bado tunaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu katika sekta ya michezo!
Hakuna ushamba kuliko ule wa raisi wa nchi kwenda Jamaica kubembea. Kama ana hamu ya kubembea angeenda uwanja wa community pale Mwanga Kigoma abembee hadi atosheke!
Slaa angekuwa mtu smart swali la kwanza alipaswa kujiuliza kwanini katika maeneo anayopita haoni watu weusi? Je, Alabama hakuna watu weusi? Mbona alipokuwa Washington aliona watu weusi kwenye majengo ya serikali?
Slaa ajitahidi kusoma saikolojia ya hao watu wanavyomfikiria mtu mweusi na asidhani yeye wanamuona tofauti - no way, hapo Slaa anaonekana kama object of touristic attraction tu...
Ukifanya kitu kwa kuiga make sure you get it right, kuna busara behind mkono kuweka position ya moyo. majibu ya swali lako ni yote ni ujinga. Tuna mambo mengi muhimu sana, kwenda sanaerland, kubembea na football ni ufujaji wa pesa zetu walipa kodi. Siwezi kusema mavi ni bora zaidi ya mkojo. yote ni human wasteNimekuwekea picha kukupa ujumbe mmoja mahsusi kwamba yupo na wenyeji wake kwa maana ya waliomwaalika-itifaki imezingatiwa.
Kuweka mkono, ulitaka aweke wapi? chukuwa mfano wa kiti unadhani kila mmoja anapokaa kitini huweka makalio katikati? we mjinga nini.........Na wavaapo kufia wote huiweka katikati?, na tunywapo maji wote hunywa tukiinuwa midomo angani?
Naakushangaa hujatowa majibu ya maswali niliyokuuliza, hujaelewa nimeuliza nini? narudia hapa chini lete majibu.
Yote uliyosema ni history, baada ya Josephine kuingia katika Dr. Slaa's picture, uzuri wake unazidi kudidimia shimoni. Josephine hakumpenda Dr. Slaa kwa kuwa he is handsome, but opportunity. Mama Nkapa na Josephine ni watu hatari sana
We acha mawazo mgando kwani kunatatizo gani hapo!
Unakumbuka mama Nkapa alivyoigeuza Ikulu, tutegemee samething kwa Dr. Slaa, Josephine ni gold diggerKumbe na wewe ni miongoni mwa watoto wa kiume wanao muonea wivu Josephine?! Ama kweli hii nchi imeoza kabisa.
Labda nikuulize wewe mtoto wa kiume unayefahamu vigezo wanavyotumia wanawake kuwapenda wanaume wanaangalia nini? Manake inaonekana uko deep sana katika hiyo sekta!
Google upate elimu, acha ubishi na kubaki mshangiliaji
"Tukianza kubagua watu kwa rangi zetu, kabila zetu, hata sisi wenyewe tutabaguana" wao wazanzibar sisi watanganyika"
Wao weupe sisi weusi, itafikia wakati utauliza kwa nini slaa na sio mwigulu?
Ukifanya kitu kwa kuiga make sure you get it right, kuna busara behind mkono kuweka position ya moyo. majibu ya swali lako ni yote ni ujinga. Tuna mambo mengi muhimu sana, kwenda sanaerland, kubembea na football ni ufujaji wa pesa zetu walipa kodi. Siwezi kusema mavi ni bora zaidi ya mkojo. yote ni human waste
mambo ya kuiga bana, soon Dr. Slaa na CDM wataiga na kuleta sera za USHOGA Tanganyika...Mburura hapa tupo msoga!!!!
....
.....chadema chama makini "nukta"........