Dr. Slaa Apokewa Kifalme Nchini Marekani !

Dr. Slaa Apokewa Kifalme Nchini Marekani !

Mkuu Mwita,

Kweli nyinyi watu mmelaghaika kwa kupitiliza kiwango. Yaani Slaa anawadanganya kuwa Kikwete ameenda Marekani kwa ajili ya kumuharibia safari yake yeye!!! Ina maana Slaa amefanikiwa kukulaghai kuwa UN General Assembly iliitishwa ili Kikwete aende kuharibu dili za Dr. Slaa.

Slaa ni gwiji la ulaghai...

Marcopolo mbona kiwango chako kinazidi kudorora sana hapa JF hata hoja ndogo sana na nyepesi zinakushinda kudadavua! Wapi nimeandika kuwa Kikwete kaenda Marekani kuvuruga ziara za Dkt. Slaa!?

Naona umepanic sana mkuu baada ya kuona raisi wetu mtarajiwa anafanya ziara kwenye taasisi kubwa na za kiserikali huko Marekani kinyume na matarajio yenu.

Kwakweli kama ni ulaghai ccm mmekubuhu na Kikwete ndio kiongozi mkuu wa ulaghai. Ahadi ya Kikwete ya kuigeuza Kigoma kuwa Dubai ni ulaghai wa kiwango cha kimataifa na anastahili kupewa tuzo kwa ulaghai huo!
 
Marcopolo mbona kiwango chako kinazidi kudorora sana hapa JF hata hoja ndogo sana na nyepesi zinakushinda kudadavua! Wapi nimeandika kuwa Kikwete kaenda Marekani kuvuruga ziara za Dkt. Slaa!?

Naona umepanic sana mkuu baada ya kuona raisi wetu mtarajiwa anafanya ziara kwenye taasisi kubwa na za kiserikali huko Marekani kinyume na matarajio yenu.

Kwakweli kama ni ulaghai ccm mmekubuhu na Kikwete ndio kiongozi mkuu wa ulaghai. Ahadi ya Kikwete ya kuigeuza Kigoma kuwa Dubai ni ulaghai wa kiwango cha kimataifa na anastahili kupewa tuzo kwa ulaghai huo!

Slaa ametembelea chuo kikuu ambacho mwanafunzi mweusi anaonekana hana thamani sawa na mwanafunzi wa kizungu. Mkuu wa Chuo hicho anamchekea Slaa kinafiki huku akijua kuwa anamuona Slaa kama object of touristic attratcion tu...
 
Hakuenda kucheza Movie za akina Bond na Carl
Ben don't defend this trip at all. Najua kama nafasi hii mngepewa nyie vijana smart, ingekuwa na faida kubwa sana. Nakifananisha kitendo cha Dr. Slaa kwenda kuangalia mchezo (ambao hapa nyumbani haupo) sawa na JK alivyokuwa anabembea Jamaika. "The best way to measure the people, is to watch the way they behave when something free is offered". Ben kama vile wewe ulivyosoma UK, lazima utakuwa unazijua tabia za waUK, nami nimesoma US, wamarekani wanapenda sana kukujaribu kwa vitu vidogodogo ili wajue msimamo wako. Unakumbuka ile issue ya JK's suit yule balozi wa US alivyouliza, basi hiki kitendo kimemdhalalulisha Dr Slaa. Tuna mambo mengi muhimu yanayotaka presence yake hapa Bongo, but Dr. Slaa yupo honeymoon
 
Ben don't defend this trip at all. Najua kama nafasi hii mngepewa nyie vijana smart, ingekuwa na faida kubwa sana. Nakifananisha kitendo cha Dr. Slaa kwenda kuangalia mchezo (ambao hapa nyumbani haupo) sawa na JK alivyokuwa anabembea Jamaika. "The best way to measure the people, is to watch the way they behave when something free is offered". Ben kama vile wewe ulivyosoma UK, lazima utakuwa unazijua tabia za waUK, nami nimesoma US, wamarekani wanapenda sana kukujaribu kwa vitu vidogodogo ili wajue msimamo wako. Unakumbuka ile issue ya JK's suit yule balozi wa US alivyouliza, basi hiki kitendo kimemdhalalulisha Dr Slaa. Tuna mambo mengi muhimu yanayotaka presence yake hapa Bongo, but Dr. Slaa yupo honeymoon

....Mburula wewe labda huko msoga ndo hakuna hiyo michezo!!!!
 
Nakifananisha kitendo cha Dr. Slaa kwenda kuangalia mchezo (ambao hapa nyumbani haupo) sawa na JK alivyokuwa anabembea Jamaika.


1. wakati Kikwete anabembea, walikuwa pamoja na Rais wa jamaika?

2. Wakati Kikwete anatembelea Timu ya sundaland nakupewa jezi alikuwa na waziri mkuu wa England?

Uzito wa mgeni hutegemea mapokezi na wanavyojumuika wenyeji wake katika ziara na matembezi.

Kumbuka tunataraji uzito stahiki kubebwa na kiongozi wa nchi kwa wenyeji wake kitu ambacho hakipo kwa kikwete.


attachment.php


attachment.php
 
Majimbo mengine yapo kama mbagara huko,angekaribishwa na Obama hapo ningekubali,halafu timu za mpira mambo ya kawaida tu huko USA zinamilikiwa na wasanii kama PDD,MADONA, ningemkubali angeenda kwenye ligi za ULAYA,akapewa kuzungumza mfano mechi ya MAN U au BACCA,eti kapokelewa kifale sehemu kama TANDAHIMBA.Nchi mzima haina habari kama kaja Babu na Mchumba wake.
 
Huku ni kumdhalilisha Mzee Mandela kumfananisha na Dr. Slaa.

Waliomfananisha sio Chadema ni wamarekani,Ni watu wa bara lingine kabisa..! Wanatambua mchango wa Dr Slaa katika kutetea haki za watu...Hongera sana Dk Slaa.
 
Kitu gani kimekufanya udhani kuwa Obama ni mweusi?
ZeMarcopolo naona mambo ya KKK sio muhimu sana, lakini kitendo cha Dr.Slaa na Josephine kupoteza siku nzima kwa mchezo ambao hapa kwetu hauchezwi ni USHAMBA wa hali ya juu. CDM kama chama cha Ukombozi, kuna mambo lukuki yanayohitaji awepo wa Dr.Slaa, lakini jamaa amehamia Marekani. Dr. Slaa ni Janga, hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi
 
Slaa ametembelea chuo kikuu ambacho mwanafunzi mweusi anaonekana hana thamani sawa na mwanafunzi wa kizungu. Mkuu wa Chuo hicho anamchekea Slaa kinafiki huku akijua kuwa anamuona Slaa kama object of touristic attratcion tu...

Hii lazima iwaume sana kwakuwa hata mwenyekiti wenu wa ccm hajawahi kuwa na ziara productive kama hii. Najua ni ngumu kujifunza kwakuwa hata UDSM aliondoka na ufaulu wa gentleman!

Ulaghai mkuu wa Kikwete kuahidi kuigeuza Kigoma kuwa Dubai. Miaka mitatu baada ya ahadi hiyo Kigoma haina barabara za lami za kuiunganisha na mikoa jirani na nchi za jirani. Kigoma haina uwanja wa ndege wa kuaminika kuwezesha ndege kutua majira yote ya mwaka. Kigoma haina usafiri wa uhakika wa treni kila mara tunashuhudia songombingo ya wanakigoma na TRL. Kigoma haina meli ya kuaminika ya kuiunganisha na mikoa jirani na nchi jirani. Meli za MV. Liemba na MV. Mwongozo zilizopo ni makaburi yanayotarajiwa kuwekewa mashada ya maombolezo muda wowote!

Sasa tuambie mwenyekiti wenu JK amepata kutembelea chuo Kikuu gani na kutoa mihadhara huko marekani? Au anaogopa aibu ya kuwaambia wamarekani kuwa anafanya ''manufacturing of teachers''!!.
 
Nimefarijika sana mbele ya Mungu.Ahsante Mungu kuniweka hai mpaka leo na kushuhudia haya! Hongera Dr Slaa Mungu azidi kukutia nguvu.
 
1. wakati Kikwete anabembea, walikuwa pamoja na Rais wa jamaika?

2. Wakati Kikwete anatembelea Timu ya sundaland nakupewa jezi alikuwa na waziri mkuu wa England?

Uzito wa mgeni hutegemea mapokezi na wanavyojumuika wenyeji wake katika ziara na matembezi.

Kumbuka tunataraji uzito stahiki kubebwa na kiongozi wa nchi kwa wenyeji wake kitu ambacho hakipo kwa kikwete.


attachment.php


attachment.php

Angalia hiyo picha ya kwanza uliyoiweka, Dr. Slaa hajui hata mahali pa kuposition mkono wakati the Star-Spangled Banner unapoimbwa. Wote yeye na Josephine are looking like wamelost, "usiigiza tembo kunya mavi makubwa, -----" Mimi napinga kitendo cha JK kwenda Sunderland/Bembea, sikutarajia kiongozi mwenye uchungu na watanganyika ambao tuna shida lukuki kwenda kwenye mipira
 
American football ni tofauti na soka, wewe ndio mjinga haujui kitu


....Mburura wewe wapi HAPA!!!

....Mmezidi kukalili ....ukubwa wa umri si maarifa ya ubongo....creche wewe!!!!
 

Attachments

  • foot ball.jpg
    foot ball.jpg
    12.7 KB · Views: 49
ZeMarcopolo naona mambo ya KKK sio muhimu sana, lakini kitendo cha Dr.Slaa na Josephine kupoteza siku nzima kwa mchezo ambao hapa kwetu hauchezwi ni USHAMBA wa hali ya juu. CDM kama chama cha Ukombozi, kuna mambo lukuki yanayohitaji awepo wa Dr.Slaa, lakini jamaa amehamia Marekani. Dr. Slaa ni Janga, hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi

We acha mawazo mgando kwani kunatatizo gani hapo!
 
Angalia hiyo picha ya kwanza uliyoiweka, Dr. Slaa hajui hata mahali pa kuposition mkono wakati the Star-Spangled Banner unapoimbwa. Wote yeye na Josephine are looking like wamelost, "usiigiza tembo kunya mavi makubwa, -----" Mimi napinga kitendo cha JK kwenda Sunderland/Bembea, sikutarajia kiongozi mwenye uchungu na watanganyika ambao tuna shida lukuki kwenda kwenye mipira

Nimekuwekea picha kukupa ujumbe mmoja mahsusi kwamba yupo na wenyeji wake kwa maana ya waliomwaalika-itifaki imezingatiwa.

Kuweka mkono, ulitaka aweke wapi? chukuwa mfano wa kiti unadhani kila mmoja anapokaa kitini huweka makalio katikati? we mjinga nini.........Na wavaapo kufia wote huiweka katikati?, na tunywapo maji wote hunywa tukiinuwa midomo angani?


Naakushangaa hujatowa majibu ya maswali niliyokuuliza, hujaelewa nimeuliza nini? narudia hapa chini lete majibu.


quote_icon.png
By adolay
1. wakati Kikwete anabembea, walikuwa pamoja na Rais wa jamaika?

2. Wakati Kikwete anatembelea Timu ya sundaland nakupewa jezi alikuwa na waziri mkuu wa England?

Uzito wa mgeni hutegemea mapokezi na wanavyojumuika wenyeji wake katika ziara na matembezi.

Kumbuka tunataraji uzito stahiki kubebwa na kiongozi wa nchi kwa wenyeji wake kitu ambacho hakipo kwa kikwete.
 
ZeMarcopolo naona mambo ya KKK sio muhimu sana, lakini kitendo cha Dr.Slaa na Josephine kupoteza siku nzima kwa mchezo ambao hapa kwetu hauchezwi ni USHAMBA wa hali ya juu. CDM kama chama cha Ukombozi, kuna mambo lukuki yanayohitaji awepo wa Dr.Slaa, lakini jamaa amehamia Marekani. Dr. Slaa ni Janga, hafai hata kuwa mjumbe wa nyumba kumi

Yani wewe ndiye mburura kabisa. Dkt. Slaa amekuwa mbunge wa Karatu kwa muda wa miaka 15 mfululizo sasa usije ukadhani watu wa Karatu ni mamburura kama wewe!

Kheri yeye anajifunza kitu kipya kuliko mwenyekiti wenu anayeacha majukumu ya kuwatumikia watanzania na kwenda kupiga picha na wauza sembe huko marekani.
Raisi gani anafunga safari toka hapa hadi UK au USA kwenda kupokea jezi tu?? Pamoja na kuzurura kwake kote lakini hajafanikiwa kuinua mchezo hata mmoja bado tunaendelea kuwa kichwa cha mwendawazimu katika sekta ya michezo!

Hakuna ushamba kuliko ule wa raisi wa nchi kwenda Jamaica kubembea. Kama ana hamu ya kubembea angeenda uwanja wa community pale Mwanga Kigoma abembee hadi atosheke!
 
Umesoma habari niliyokuwekea? Vijana wa bavicha mna tabia ya uvivu wa kusoma. Ungesoma usingeandika hiki ninachokisoma toka kwako.

Alabama is a racist state. Hao unaowaona wanaongea na Slaa wote ni supporters of racist laws. Slaa hapo wanamuona kama object of touristic attraction tu, asidhani wanamuona kama binadamu wa thamani sawa.

Open your eyes...

Wewe ndo umeisoma vizuri habari?maana wanaongelea club za wanafunzi we unazungumzia chuo kizima
 
Back
Top Bottom