Dr. Slaa Apokewa Kifalme Nchini Marekani !

Dr. Slaa Apokewa Kifalme Nchini Marekani !

attachment.php


Akisindikizwa kuingia uwanjani kushuhudia pambano la American Football kama mgeni wa heshima baila ya Chuo cha Auburn na Georgia.

Je, Mwigulu Mchemba amesindikizwa hivyo au Nape pia?

Ujinga mwingine, anakwenda kuangalia football, wakati tuna mambo mengi na ya muhimu yanatukabiri. Hii ni sawa na picha ile JK alivyokuwa akibembea. Slaa amefirisika sana kisiasa, bad influence inampeleka chini
 
Hii inawaumiza sana wanaCCM kuona jamaa wakimjali kwa kiwango hiki.

Mkuu,

State of Alabama wangekuwa watu wa kuheshimu utu basi katika hizi picha ungeona mmarekani mweusi angalau mmoja. Alabama is a racist state. Watu racist hawawezi kumheshimu Slaa. Hapo Slaa anaonekana kama object of touristic attraction tu.
 
Mkuu,

State of Alabama wangekuwa watu wa kuheshimu utu basi katika hizi picha ungeona mmarekani mweusi angalau mmoja. Alabama is a racist state. Watu racist hawawezi kumheshimu Slaa. Hapo Slaa anaonekana kama object of touristic attraction tu.

How come they did to invite him if they still have color segregation?
 
Slaa angekuwa mtu smart swali la kwanza alipaswa kujiuliza kwanini katika maeneo anayopita haoni watu weusi? Je, Alabama hakuna watu weusi? Mbona alipokuwa Washington aliona watu weusi kwenye majengo ya serikali?

Slaa ajitahidi kusoma saikolojia ya hao watu wanavyomfikiria mtu mweusi na asidhani yeye wanamuona tofauti - no way, hapo Slaa anaonekana kama object of touristic attraction tu...
 
How come they did to invite him if they still have color segregation?

Wewe ndio unauliza swali hilo? Honestly sikutegemea swali la namna hii toka kwako!! This is TOO low...

Hao unaowaona kwenye pich wote wameunga mkono sheria inayokataza ndoa za watu weusi na weupe. Mbaya zaidi wameunga mkono ndoa za jinsia moja. Yaani in their mind ndoa ya jinsia moja ni sahihi zaidi kuliko ndoa ya mtu mweusi na mweupe...

Mambo gani unauliza haya kaka!!!
 
Kwani Marekani ndio wapiga kura wa TZ. Unajichanganya sana. Slaa kachoka sana. Wala hana uwezo wa kuwa Rais wa Jamhuri. Kwani USA ni nani kutuchagulia Rais. Mbona walishindwa kuweka Raila Kenya
 
His Excellency.....!


Nadhani na huu umati hapo chini walikuja kumshudia H.E. Dr Slaa. Mimi namsifu Mtanzania yeyote yule akiwa njee ya nchi, akiinadi nchi yake, na kuitafutia maendeleo bila kujali chama atokacho. lakini ni lazima tuwe wakweli, Dr has been invited by an Educational institute, not serekali ya USA. kwa hivyo tuseme ukweli tuu badala ya kuwadanganya watu. even though i still feel it is a great effort by an opposition leader, at least he will send a message that we Tanzanians are civilized ppl. Hongera Dr
attachment.php
 
Hata ma meneja wa bar nao ni watu mashuhuri kwako?! Tuongezee na picha zingine mh.
 
Wewe ndio unauliza swali hilo? Honestly sikutegemea swali la namna hii toka kwako!! This is TOO low...

Hao unaowaona kwenye pich wote wameunga mkono sheria inayokataza ndoa za watu weusi na weupe. Mbaya zaidi wameunga mkono ndoa za jinsia moja. Yaani in their mind ndoa ya jinsia moja ni sahihi zaidi kuliko ndoa ya mtu mweusi na mweupe...

Mambo gani unauliza haya kaka!!!

Segregation ilikuwepo miaka hiyo, hilo halipo siku hizi, mwenzetu bado ungali katika enzi za miaka ya akila Dr. Martin Lutter King?

Tenneessee nayo ilikuwa ngome ya ubaguzi wa rangi hata Martin Luter aliuawa huko Memphis. Leo state hiyo imesheni weuzi isivyo kawaida, nenda huko utawakuta wasomali, wasudani, waithiopia na watu wengi tu wa mataifa mengine, lakini ukifikiria historia ya miaka hiyo leo ni kama ndoto kuona kitu kama hicho.

Idadi kubwa ya madereva na wamiliki wa Taxi Cab ni hawa weusi
 
Dr Slaa ni zawadi yetu watanzania toka kwa Mungu ili watanzania tukombolewe kifikra Na kimaendeleo Na tufaidi Neema ya nchi hii ambayo Mwenyezi Mungu ametujalia kuwa nayo ila hatujawahi kuipata
 
Segregation ilikuwepo miaka hiyo, hilo halipo siku hizi, mwenzetu bado ungali katika enzi za miaka ya akila Dr. Martin Lutter King?

Tenneessee nayo ilikuwa ngome ya ubaguzi wa rangi hata Martin Luter aliuawa huko Memphis. Leo state hiyo imesheni weuzi isivyo kawaida, nenda huko utawakuta wasomali, wasudani, waithiopia na watu wengi tu wa mataifa mengine, lakini ukifikiria historia ya miaka hiyo leo ni kama ndoto kuona kitu kama hicho.

Idadi kubwa ya madereva na wamiliki wa Taxi Cab ni hawa weusi

We kweli SIFURI kumbe.

Hujui unalolisema. Hapo hapo kwenye chuo alichotembelea Slaa last month kulikuwa na maandamano kwa sababu ya Ubaguzi wa rangi unaodumishwa kisheria kwa miaka mingi.

Soma hapa ufumbuke macho wewe mbumbumbu wa kibavicha Professors, Students March Against Racism At University Of Alabama (PHOTOS)

Halafu soma na comments za wasomaji hapo chini ya hiyo habari uone uhalisia wa mambo juu ya racism. SIFURI mkubwa wa bavicha wewe.

Soma zaidi hapa ufunguke akili wewe bavicha unayesikitisha kwa kujawa na utando mzito machoni http://myfox8.com/2013/09/17/university-of-alabama-sorority-accused-of-racism-in-recruiting/
 
Hiyo picha uliyoweka ni ya msafara wa Dr. Slaa? Wamempakiza kwenye Van mfungwa? hiyo ni dharau kubwa sana kwa Slaa. Kama waliweza kumkatia ticket wasingeshindwa kumkodia limousine, they are dissapointed

Hakuenda kucheza Movie za akina Bond na Carl
 
Ni ukweli usiopingika kwa wapenda maendeleo kwamba chadema ni chama pekee chenye kuwanyima usingizi magamba kwani magamba hawana uzoefu wa kupatiwa upinzani mkali kama inavofanya chadema.Massm wanafanya kila wanaloweza kuhakikisha kwamba wanaichafua chadema kupitia gaidi namba moja tz,lakini mungu naye yupo upande wetu(chadema)kwani hiki ni chama pekee kinachopigania haki na usawa kwa watanzania wote.Naomba viongozi wangu wakuu wa chadema msivunjike moyo kwani wananchi wenu bado tunawafuatilia vizuri sana na kupitia nyiye tunataka kufanya mabadiliko makubwa 2015. Naomba kwa majimbo kama iramba mashariki msiwe na wasiwasi kwani uhakika upo wa kuyamiliki majimbo hayo ambayo kwa sasa yanamilikiwa na maboya Lamek Nchemba na mchawi mwenzake Salome mwambu,ishu ya katiba msiache kuibana serikali ili tupate katiba inayotoa haki kwa watu wote na massm wasipate favour ya katiba kama ilivyokuwa chaguzi zilizopita.
i love u chadema chama changu.

GOD :help: CHADEMA.

 
We kweli SIFURI kumbe.

Hujui unalolisema. Hapo hapo kwenye chuo alichotembelea Slaa last month kulikuwa na maandamano kwa sababu ya Ubaguzi wa rangi unaodumishwa kisheria kwa miaka mingi.

Soma hapa ufumbuke macho wewe mbumbumbu wa kibavicha Professors, Students March Against Racism At University Of Alabama (PHOTOS)

Halafu soma na comments za wasomaji hapo chini ya hiyo habari uone uhalisia wa mambo juu ya racism. SIFURI mkubwa wa bavicha wewe.

Unachoongelea ni kile kitu ambacho hakipo rasimi ambacho kinaendelea po pote duniani kama Tanzania tunavyolalamika CCM kufanya ubaguzi wa ajira, na mengineyo kwamba usipokwua mwanaCCM hata ajira shida. Kwa hoja hiyo huwezi niambia kwamba TAnzania kuna ubaguzi wa kivyama, rangi nk. Pia mambo kwa upana zaidi na athari zake.
 
Napenda chadema,Slaa asiposimamishwa urais basi wamsimamishe Tundu Lissu.
Amen
 
Ingawa mimi siyo muumini wa vyama vya siasa, ila naiona tofauti kati ya Dr. Slaa na hao tunaowaita Mwingulu. Anachokifanya Dr. nje ya mipaka yetu ndicho tunachokihitaji watanzania wengi ktk kutafuta ufumbuzi wa uchumi wetu. Siyo kama hao wengine walokwenda kupiga picha kwa ajili ya profail za Facebook kwa kodi zetu.
 
Shinda yenu nyie CDM, mna propaganda za kitoto sana. Nadhani ndiyo maana mnashindwa mara zote. Huyu jamaa aliakwa kwenye game kama waalikwa wengine wote. Hata mimi pia huwa naalikwa mara kadhaa na jamaa nikienda kule. Huu uwongo wa kusema alifungua match mmeupata wapi? Wekeni picha ya ukaguzi wa timu tuone kama hata kule chini kwenye pitch alifika! Hata Seat ya mbele hakupewa, alikaa na wasanii wenzake viti vya nyuma kabisa, angalia picha. CDM ni mkusanyiko wa kundi la watu wasiotumia akili hata kidogo. Mnadanganya watu wenu na wanalidhika sana. Ni kama walokole au fundamentalists wa kijihad!
 
This is gud,tunazidi kukuombea Dr.wewe ni wapekee for real,sio wengine wamepewa ridhaa kazi yao ni KUBEMBEA na KUENDESHWA kwenye torori la FARASI huko ughaibuni......!

Tehe tehee tehee
 
Unachoongelea ni kile kitu ambacho hakipo rasimi ambacho kinaendelea po pote duniani kama Tanzania tunavyolalamika CCM kufanya ubaguzi wa ajira, na mengineyo kwamba usipokwua mwanaCCM hata ajira shida. Kwa hoja hiyo huwezi niambia kwamba TAnzania kuna ubaguzi wa kivyama, rangi nk. Pia mambo kwa upana zaidi na athari zake.

Umesoma habari niliyokuwekea? Vijana wa bavicha mna tabia ya uvivu wa kusoma. Ungesoma usingeandika hiki ninachokisoma toka kwako.

Alabama is a racist state. Hao unaowaona wanaongea na Slaa wote ni supporters of racist laws. Slaa hapo wanamuona kama object of touristic attraction tu, asidhani wanamuona kama binadamu wa thamani sawa.

Open your eyes...
 
Back
Top Bottom