Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 27,137
- 39,363
Mmoja alikuwa "haambiliki" lakini mwingine anaambilika na kila mtu, Lowasa, Rostam, mkewe, wanae, wauza madawa, wezi wa mali ya umma, majangili, waganga wa kienyeji.............
Namsubiri aje ajibu....
Nani aliyefungulia wahuni lango la ikulu kuchezea rasilimali zetu....
Namsubiri anijibu Kati ya JK na Nyerere nani alifungulia fisi na mafisadi milango ya ofisi zetu za umma.
Atuambie nani muasisi Wa kashfa na mtetezi mkuu Wa MEREMETA...EPA...RICHMOND....ESCROW n.k n.k
FaizaFoxy kati ya Nyerere na JK nani kashindwa kuongoza nchi?
Last edited by a moderator: