GE2025 Dr. Slaa amejitoa mhanga!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
1. Imeuzwa kwa nani? Lini? Shilingi ngapi?
2. Mtandao ni kina nani? How do they work? Tunawafahamu au hatiwafahamuu?
 
Fred lowasa amekatwa
Ridhiwani kikwete amepita bila kupingwa
 
Nchi haina roho, hakuna anayezungumza ukahisi undani wake kuwa anamaanisha

Wapo wachache sana tena sana

Lugha ya roho huzungumza na kila mtu wa daraja zote wachache wamebahatika kuifahamu, ukizungumza tu wote wanakuelewa
 
M
Mbwa wewe hatumtaki huyo Idi Amini
 
yeye si alinunuliwa na Kikwete au amesahau? mwambieni sisi hatujasahau
Fine, issue is anachokisema leo kina substance? If yes, mpongeze lakini mlaumu kwa yaliyopota
 
Fine, issue is anachokisema leo kina substance? If yes, mpongeze lakini mlaumu kwa yaliyopota

amepoteza uaminifu. hakuwahi kueka wazi aliyoyatenda hapo ndipo tungekujua kweli amebadilika.
 
 
Chawa kama wewe utajua nini zaidi ya kuwaza tumbo lako tu?
 
Hana lipya huyo, Sasa anatafuta Fursa ya kudandia chama kingine apate marupurupu asepe
Kwamba Slaa ni chawa sawa na Steve Mengele? Yuko 70 sasa, hana cha kupoteza, amefanikiwa kwenye mengi, tujikite kwenye hoja zake.
 
Alichokisema Polepole bila ushahidi hakina mshiko. Hapa kinachohitajika ni ushahidi wa maandalizi ya vote rigging. Mahali pazuri pakupekua ni daftari la wapiga kura. Je yamo majina ya watanzania marehemu na wale ambao hawakujiandikisha? Daftari la wapiga kura in pdf format liwekwe hadharani watanzania wote walihakiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…