Chuki ipo kwenye Akili yako Tanzania ipo poaaa maisha wanaenda safiii
Na Rais Samia Suluhu Hassan tunaye mpaka 2030
Weekend watu wapozao viwanja maisha safi ayo mambo wewe umetoa wapi sijui migogoro !!!
Nchi inaumwa nani kakudanganya uko uliposikia wakuelekeze mgogoro upo wapi!!
ndani ya Jamhuri kuna mgogoro kwenye mkoa upi maliza kwanza novida kisha uje utuelekeze kwenye Shida wapi !!!
Mnadanganyana kitoto kabisa
Tanzania ni kisiwa cha Amani na RAIS WETU NI SAMIA SULUHU HASSAN mpaka 2030,,