Mh! naogpa sidhani kama atasalimika!
Amuomba Mkuu wa majeshi kuchukua hatua
View: https://youtu.be/Zuf0AQbofZs?si=J-0MItJauT9WC8D8
Amuomba Mkuu wa majeshi kuchukua hatua
View: https://youtu.be/Zuf0AQbofZs?si=J-0MItJauT9WC8D8
Anasema:-Mnisimulie
Anasema:-
1. Nchi imepigwa bei.
2. Wanamtandao wameiteka nchi.
3. Wote wanaoitetea ama kuipigania nchi wanasulubiwa
Amemtaka Nkunda kuchukua hatua...naogopà hata kuandikaCan you summarize please?
Kumtaka Nkunda achukue hatua haiwezi kumletea shida? Terrible! Naomba ufafanuzi wakoKuna jambo la kitaalam sana nilikuwa nataka kuandika hapa JamiiForums kuhusu Suala aliloibua Polepole, ila nimeamua kuliacha.
Suala la Polepole ni zito sana, Kisheria CCM hasa viongozi wote walichofanya kina makosa mengi makubwa, mojawapo ni Espionage chini ya National Security Act , katika Sheria zetu wote wanatakiwa kwenda Jela si chini ya miaka 20 hadi maisha.
Polepole amerisk kwa ajili ya Tanzania kuvunja Sheria ya usalama wa Taifa ambayo akikamatwa ndani ya Tanzania atahukumiwa miaka si chini ya 20.
Watanzania hii ndio nafasi ya kuitoa CCM.
Sitachapisha jambo lolote nililolisikia au kuliona katika ofisi za Serikali au mifumo yake, hadi Watanzania wengi watakapo amua kuchukua hatua ya kwanza
Lakini ukitafakari kwa kina Sana, utabaini pasipo kuacha shaka kwamba Hoja yake ina mashiko.Kumtaka Nkunda achukue hatua haiwezi kumletea shida? Terrible! Naomba ufafanuzi wako
unaogopa kuandika ambacho hujaongea wewe? Nukuu? 😳Amemtaka Nkunda kuchukua hatua...naogopà hata kuandika
Kama watu wengi wangepata implication ya maneno ya polepole...hali ingekuwa hatari sana..Kuna jambo la kitaalam sana nilikuwa nataka kuandika hapa JamiiForums kuhusu Suala aliloibua Polepole, ila nimeamua kuliacha.
Suala la Polepole ni zito sana, Kisheria CCM hasa viongozi wote walichofanya kina makosa mengi makubwa, mojawapo ni Espionage chini ya National Security Act , katika Sheria zetu wote wanatakiwa kwenda Jela si chini ya miaka 20 hadi maisha.
Polepole amerisk kwa ajili ya Tanzania kuvunja Sheria ya usalama wa Taifa ambayo akikamatwa ndani ya Tanzania atahukumiwa miaka si chini ya 20.
Watanzania hii ndio nafasi ya kuitoa CCM.
Sitachapisha jambo lolote nililolisikia au kuliona katika ofisi za Serikali au mifumo yake, hadi Watanzania wengi watakapo amua kuchukua hatua ya kwanza
Chuki ipo kwenye Akili yako Tanzania ipo poaaa maisha wanaenda safiiiLakini ukitafakari kwa kina Sana, utabaini pasipo kuacha shaka kwamba Hoja yake ina mashiko.
Siyo Siri hata kidogo, Nchi hii kwa sasa kuna mifarakano mingi Sana. Chuki ni kubwa sana kupita kiasi imetamalaki katika jamii. Hakuna tena utangamano wa kitaifa, uhasama ni mkubwa Sana.
Hatua za haraka Sana zinapaswa kuchukuliwa ili kuliponya Taifa!
wanasema wametubu 😁yeye si alinunuliwa na Kikwete au amesahau? mwambieni sisi hatujasahau
hatari sana mkuu 😁Tunaogopa kuandika ambacho hujaongea wewe? Nukuu? 😳
MkUnda ni mwama genge atawasalit vip wana genge wenzieAmemtaka Nkunda kuchukua hatua...naogopà hata kuandika