Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,390
- 6,530
Ukisoma sheria za uchaguzi zinasemaje utapata jibu.
Matokeo yote yanabandikwa vituoni kuanzia udiwani, ubunge mpaka urais. Kata inatangaza matokeo ya diwani, wilaya matokeo ya mbunge na NEC makao makuu matokeo ya rais.
NEC wanatangaza mshindi wa Urais. Hivi kubandika katika kila kituo matokeo ya Urais, huko si kutangaza matokeo?