Dr Slaa alienda kusomea urais Marekani?

Dr Slaa alienda kusomea urais Marekani?

Ni aibu kwa mtu mzima kupata nafasi ya kutoa mawazo ya kujenga halafu unachofikiria ni kubomoa. Kwa sasa taifa letu linahitaji zaidi madaraja kuliko kuta!! (we need to build bridges and take down walls that separate us).

Na kama imani yako ni kuwa ziara ni kusomea urais basi JK anapswa kuwa rais bora kuliko wote. Sitaki kuamini kuwa unamaanisha pia alikwenda kujifunza kubembea huko Jamaica.

You are punching well below your weight!! Grow up and be exemplary!
 
Kama kusafiri kwenda marekani ni kusomea Urais basi Rais Jakaya Kikwete ambaye anakaribia kuvunja rekodi ya dunia kuwa Rais aliyesafiri kwa muda mrefu sana duniani ambaye hadi kufikia mwezi huu wa kumi amesafiri zaidi ya mara 360 karibia mwaka mzima yupo nje ya nchi asingeshindwa kujua chanzo cha umaskini wa Tanzania, kwanza yeye kasafiri si tu marekani ila sehemu mbali mbali za dunia hii.
 
kiwateua wapi ndugu yaani viongozi miaka nenda rudi wako hao hao
lakini hakuna cha kuwaondoa

Tunamacho tunamasikio na tunauwezo wa kufuatilia mambo inaikweza chadema kila siku kuitaja kwa sababu waume wake na watoto wenu hawawezi kula, Kikwete Central committe asilimia 60 ni yeye mkewe mwanawe na ndugu zake wa damu tangu aingie miaka saba iliyopita hana hata anayemshirikisha anaweka na kubandua amtakaye bila hata kukaa vikao vya sekretariat
 
Wee kibogoyo mimi nikilala sebuleni wewe utalala wapi? Waulize vizuri makamanda wako huku UK who I am..

Afadhali ya kuwa kibogoyo kuliko kuwa mla fedha ya rambirambi kama wewe. Hiyo tu ya kula rambirambi inathibitisha kuwa huko UK unatunzwa na shemeji yako kama wadau wa huko huko UK wanavyodai.

Bado Sijajua kama unataka kumsaidia majukumu ya ndoa dada yako ama unataka nini hadi umeamua kung'ang'ania kulala sebuleni kwake!
 
Afadhali ya kuwa kibogoyo kuliko kuwa mla fedha ya rambirambi kama wewe. Hiyo tu ya kula rambirambi inathibitisha kuwa huko UK unatunzwa na shemeji yako kama wadau wa huko huko UK wanavyodai.

Bado Sijajua kama unataka kumsaidia majukumu ya ndoa dada yako ama unataka nini hadi umeamua kung'ang'ania kulala sebuleni kwake!
Mkuu haya matusi yako iko siku nitakujibu halafu utaniona mmbaya, anyway, kwako ni lazima umtetee Dr Slaa kwa sababu alikusaidia kupata mtoto ambaye kwa heshima ya kukusaidia ukaamua kumuida Slaa jr. Kama unahitaji mtoto mwingine niite na mimi nitakuletea ka LUKOSI JR. mimi sio kama babu sitakunyanganya nitakusaidia tu na kukuachia na ninaweza kukusaidia kutunza vile vile gwanda wee
 
@Chris Lukosi lini utatoa ufafanuzi wa mambo haya
1. Wizi wa gari la kampuni
2. kulelewa na Dada yako
3. kubakwa na Lema kama ulivyo dai wewe mwenyewe
4. kukimbia na rambirambi..

Kuhusu gari Nisssan NAvara waliyobandika hapa na kwenye blog mbalimbali kuwa limeibiwa sio kweli gari walilisafirisha wenyewebongo na kuliuza sasa wakataka kugeuza kibao kuwa gari limeibiwa. Kwani wao wamekuwa interpol. Ndio mjue Kampuni ya Serengeti walivyo wezi na ujanjaujanja wakiongozwa na huyo kichaa wao Lukosi.
 
Wee kibogoyo mimi nikilala sebuleni wewe utalala wapi? Waulize vizuri makamanda wako huku UK who I am..

Who ure ww si ni mwizi aliyeiba ccp moshi na kukimbilia uk. Ukaanza kufanya biashara ya madawa baadae ukasidiwa kusimamia kampuni ya Serengeti. Kampuni ambayo inakwepa kodi bongo kwa kupitisha makontena na mizigo mingine kwa njia za panya. Huna lolote, zaidi ya kuuza unga na izo pesa ni part ya serengeti. Ngoja tutume data zako uk kuhusu io kampuni ya serengeti inavyokwepa kodi na kushiriki kusambaza unga
 
Ndugu zanguni,

Napenda kuwauliza wanajamvi hapa, Hivi Dr alikwenda kusomea Urais Marekani?

Kama ni kweli, ni nani aliemchagua kuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema?

Nawaomba makamanda mjiulize mara mbili kabla hamjaendelea kukisapoti hiki chama kinachojiita cha demokrasia, kwani demokrasia hupatikana kwa uchaguzi huru na wahaki na hapo ndio atakaechaguliwa atakuwa amechaguliwa na watu kwa ajili ya watu sio kuchaguliwa na mtu kwa ajili ya kikundi.

Pamoja na kuwa Chadema ina watu wachache wenye sifa za uongozi lakini naamimi wako zaidi ya wawili ambao ni bora kuliko Slaa ndani ya chama,

TUNDU LISU angefaa zaidi na angekubalika zaidi kuliko Dr lakini tatizo ni kabila lake...

JITAMBUE!
Nakuuliza mtani mnyalu uliwahi kulazwa C1 bugando?
 
Unapoibuka tu kutoka hospitali lazima utatoa mpya. Ya chadema yanakuhusu nini?. Ulishafukuzwa kwenye chama kinachotakiwa kazana kumeza dawa, lakni sidhani kama utapata haueni kwasababu wewe ndio unayapokea na kuyasambaza yale yasiotakiwa.. Kazi unayo labda unaweza kupona riz akikamatwa....

Leo umenifanya nicheke sana...
 
Mkuu Chris Lukosi
Kama kweli alienda Marekani kusomea uraisi basi atakuwa na matatizo ya fikra; maraisi wa Marekani wanakuja Tanzania kujifunza mbinu za ushindi yeye alitakiwa afanye ziara ya kichama Lumumba akutane na timu ya ushindi apewe darsa la ushindi; CCM hatuna roho mbaya na hatuogopi ushindani; hivi alikutana na kiongozi gani wa maana? zaidi ya kujitembeza kutafuta picha za kupiga; ikiwa watanzania walimkimbia ni wamerekani wangemtaka?
 
Ndugu zanguni,

Napenda kuwauliza wanajamvi hapa, Hivi Dr alikwenda kusomea Urais Marekani?

Kama ni kweli, ni nani aliemchagua kuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema?

Nawaomba makamanda mjiulize mara mbili kabla hamjaendelea kukisapoti hiki chama kinachojiita cha demokrasia, kwani demokrasia hupatikana kwa uchaguzi huru na wahaki na hapo ndio atakaechaguliwa atakuwa amechaguliwa na watu kwa ajili ya watu sio kuchaguliwa na mtu kwa ajili ya kikundi.

Pamoja na kuwa Chadema ina watu wachache wenye sifa za uongozi lakini naamimi wako zaidi ya wawili ambao ni bora kuliko Slaa ndani ya chama,

TUNDU LISU angefaa zaidi na angekubalika zaidi kuliko Dr lakini tatizo ni kabila lake...

JITAMBUE!

Muu, I quote " Wise men speak because they have something to say, but fools because they have to say something." Plato.
 
Ndugu zanguni,

Napenda kuwauliza wanajamvi hapa, Hivi Dr alikwenda kusomea Urais Marekani?

Kama ni kweli, ni nani aliemchagua kuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema?

Nawaomba makamanda mjiulize mara mbili kabla hamjaendelea kukisapoti hiki chama kinachojiita cha demokrasia, kwani demokrasia hupatikana kwa uchaguzi huru na wahaki na hapo ndio atakaechaguliwa atakuwa amechaguliwa na watu kwa ajili ya watu sio kuchaguliwa na mtu kwa ajili ya kikundi.

Pamoja na kuwa Chadema ina watu wachache wenye sifa za uongozi lakini naamimi wako zaidi ya wawili ambao ni bora kuliko Slaa ndani ya chama,

TUNDU LISU angefaa zaidi na angekubalika zaidi kuliko Dr lakini tatizo ni kabila lake...

JITAMBUE!
Nakuuliza mtani mnyalu uliwahi kulazwa C1 bugando?
 
Ndugu zanguni,

Napenda kuwauliza wanajamvi hapa, Hivi Dr alikwenda kusomea Urais Marekani?

Kama ni kweli, ni nani aliemchagua kuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema?

Nawaomba makamanda mjiulize mara mbili kabla hamjaendelea kukisapoti hiki chama kinachojiita cha demokrasia, kwani demokrasia hupatikana kwa uchaguzi huru na wahaki na hapo ndio atakaechaguliwa atakuwa amechaguliwa na watu kwa ajili ya watu sio kuchaguliwa na mtu kwa ajili ya kikundi.

Pamoja na kuwa Chadema ina watu wachache wenye sifa za uongozi lakini naamimi wako zaidi ya wawili ambao ni bora kuliko Slaa ndani ya chama,

TUNDU LISU angefaa zaidi na angekubalika zaidi kuliko Dr lakini tatizo ni kabila lake...

JITAMBUE![/QUOa
 
Mi napita tu....
How are you doing Dr?

Miss u Bro.. tukutane tuongee yetu tuachane na mambo ya siasa, no matter what, we are still brothers...
images
 
How are you doing Dr?

Miss u Bro.. tukutane tuongee yetu tuachane na mambo ya siasa, no matter what, we are still brothers...
images

Good to hear you miss me brother. Indeed we are still and will always be brothers as long as honesty, rationality, respect, peace and love prevail....
 
Back
Top Bottom