Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,565
- 7,993
Msigwa ndio alikula sio mimi, lakini najua atalipa tu
Upo ushahidi wa picha na maandishi Mchungaji Msigwa akimkabidhi mjane wa Mwangosi rambirambi takribani sh.1.8m kutoka kwake mwenyewe, wakazi wa Iringa na wanachama wa Chadema UK.
Fedha uliyoichangisha wewe hakuna ushahidi wowote wa maandishi ama picha kuonyesha kama ulizikabidhi kwa maggid Mjengwa au Maggid akizikabidhi kwa Mchungaji Msigwa kama unavyoropoka.
Kilicho wazi ni kwamba ulichangisha fedha zaidi ya sh.5m kutoka kwa watanzania waishio UK lakini ukatia ndani zote.
Kama kweli hujala rambirambi ya mjane wa Mwangosi leta ushahidi wa maandishi au picha kuthibitisha kuwa ulizifikisha kunakohusika kama tulivyoona ushahidi kutoka kwa mchungaji Msigwa na bank slip ya Mjengwa.
Cc Lunyungu
Last edited by a moderator: