Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,749
Kuna picha alipiga nje ya fence za white house kama mtalii
lukosi huyo.!
Naskia siku hizi huko ulaya unaishi 'mirembe avenue'??
Kuna picha alipiga nje ya fence za white house kama mtalii
Alikwenda kufanya orientation kama maandalizi ya kuingia ikulu 2015
Alikwenda kufanya orientation kama maandalizi ya kuingia ikulu 2015
Kwani chama chenu kilishateua mgombea? Hata kama mlishamteua kwani alishapitishwa na tume ya uchaguzi? Katiba ya CHADEMA inasemaje kuhusu mgombea uraisi inasema mgombea uraisi atapatikana kupitia jamii forums?
utaanza kula matusi sasa hivi mkuu we subiri,umeuliza swali zuri lakini kuna wale mnaowaita sijui akina nani vile wasivyojua kujibu utaona.labda kidogo aje Ben Saanane au Mwita Maranya kidogo zimozimo!
Ndugu zanguni,
Napenda kuwauliza wanajamvi hapa, Hivi Dr alikwenda kusomea Urais Marekani?
Kama ni kweli, ni nani aliemchagua kuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema?
Nawaomba makamanda mjiulize mara mbili kabla hamjaendelea kukisapoti hiki chama kinachojiita cha demokrasia, kwani demokrasia hupatikana kwa uchaguzi huru na wahaki na hapo ndio atakaechaguliwa atakuwa amechaguliwa na watu kwa ajili ya watu sio kuchaguliwa na mtu kwa ajili ya kikundi.
Pamoja na kuwa Chadema ina watu wachache wenye sifa za uongozi lakini naamimi wako zaidi ya wawili ambao ni bora kuliko Slaa ndani ya chama,
TUNDU LISU angefaa zaidi na angekubalika zaidi kuliko Dr lakini tatizo ni kabila lake...
JITAMBUE!
Kwani chama chenu kilishateua mgombea? Hata kama mlishamteua kwani alishapitishwa na tume ya uchaguzi? Katiba ya CHADEMA inasemaje kuhusu mgombea uraisi inasema mgombea uraisi atapatikana kupitia jamii forums?
Umekula sembe weee, ulivyotosheka akainua paja moja nakututolea moshi km huu kwa exhaust ya nyuma.. hebu kalale huko!Ndugu zanguni,
Napenda kuwauliza wanajamvi hapa, Hivi Dr alikwenda kusomea Urais Marekani?
Kama ni kweli, ni nani aliemchagua kuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema?
Nawaomba makamanda mjiulize mara mbili kabla hamjaendelea kukisapoti hiki chama kinachojiita cha demokrasia, kwani demokrasia hupatikana kwa uchaguzi huru na wahaki na hapo ndio atakaechaguliwa atakuwa amechaguliwa na watu kwa ajili ya watu sio kuchaguliwa na mtu kwa ajili ya kikundi.
Pamoja na kuwa Chadema ina watu wachache wenye sifa za uongozi lakini naamimi wako zaidi ya wawili ambao ni bora kuliko Slaa ndani ya chama,
TUNDU LISU angefaa zaidi na angekubalika zaidi kuliko Dr lakini tatizo ni kabila lake...
JITAMBUE!
Hao uliowataja ni wapambe wa mama juniorutaanza kula matusi sasa hivi mkuu we subiri,umeuliza swali zuri lakini kuna wale mnaowaita sijui akina nani vile wasivyojua kujibu utaona.labda kidogo aje Ben Saanane au Mwita Maranya kidogo zimozimo!
Ndugu zanguni,
Napenda kuwauliza wanajamvi hapa, Hivi Dr alikwenda kusomea Urais Marekani?
Kama ni kweli, ni nani aliemchagua kuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema?
Nawaomba makamanda mjiulize mara mbili kabla hamjaendelea kukisapoti hiki chama kinachojiita cha demokrasia, kwani demokrasia hupatikana kwa uchaguzi huru na wahaki na hapo ndio atakaechaguliwa atakuwa amechaguliwa na watu kwa ajili ya watu sio kuchaguliwa na mtu kwa ajili ya kikundi.
Pamoja na kuwa Chadema ina watu wachache wenye sifa za uongozi lakini naamimi wako zaidi ya wawili ambao ni bora kuliko Slaa ndani ya chama,
TUNDU LISU angefaa zaidi na angekubalika zaidi kuliko Dr lakini tatizo ni kabila lake...
JITAMBUE!
kama alishindwa uadilifu akiwa waziri mkuu akiwa raisi itakuwaje? nchi hii itakuwa shamba la bibiUsipanic rais ni Loasa tu mwanawane.
Kikwete huwa anaenda kuomba mosquito nets!Wanajamvi mi mara nyingi huwa na shangaa sana hivi kila mara CHADEMA na CCM wanaenda Marekani kuna kipi hasa huko? Maana Nchi wanatuachia sisi huku wao kila siku kwa Obama kulikoni?
Mkuu hata mimi nilipiga picha hapo nje ya fensi, miaka sasa.Kuna picha alipiga nje ya fence za white house kama mtalii
ndugu zanguni,
napenda kuwauliza wanajamvi hapa, hivi dr alikwenda kusomea urais marekani?
Kama ni kweli, ni nani aliemchagua kuwa mgombea urais kwa tiketi ya chadema?
Nawaomba makamanda mjiulize mara mbili kabla hamjaendelea kukisapoti hiki chama kinachojiita cha demokrasia, kwani demokrasia hupatikana kwa uchaguzi huru na wahaki na hapo ndio atakaechaguliwa atakuwa amechaguliwa na watu kwa ajili ya watu sio kuchaguliwa na mtu kwa ajili ya kikundi.
Pamoja na kuwa chadema ina watu wachache wenye sifa za uongozi lakini naamimi wako zaidi ya wawili ambao ni bora kuliko slaa ndani ya chama,
tundu lisu angefaa zaidi na angekubalika zaidi kuliko dr lakini tatizo ni kabila lake...
Jitambue!
Obama anajua Kukumbatia, wee acha tu 🙂
![]()
Ndugu zanguni,
Napenda kuwauliza wanajamvi hapa, Hivi Dr alikwenda kusomea Urais Marekani?
Kama ni kweli, ni nani aliemchagua kuwa mgombea urais kwa tiketi ya Chadema?
Nawaomba makamanda mjiulize mara mbili kabla hamjaendelea kukisapoti hiki chama kinachojiita cha demokrasia, kwani demokrasia hupatikana kwa uchaguzi huru na wahaki na hapo ndio atakaechaguliwa atakuwa amechaguliwa na watu kwa ajili ya watu sio kuchaguliwa na mtu kwa ajili ya kikundi.
Pamoja na kuwa Chadema ina watu wachache wenye sifa za uongozi lakini naamimi wako zaidi ya wawili ambao ni bora kuliko Slaa ndani ya chama,
TUNDU LISU angefaa zaidi na angekubalika zaidi kuliko Dr lakini tatizo ni kabila lake...
JITAMBUE!
huyo atakuwa ni dada na rafiki