Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,952
- 10,037
Mkuuu kwani kamkimbia Zitto au ni hizo sababu ilani na mchakato?Amefanya jambo la maana sana kwani huu mdahalo haukuwa na nia nzuri .Zitto siyo size ya Dr.Slaa
Mkuuu kwani kamkimbia Zitto au ni hizo sababu ilani na mchakato?Amefanya jambo la maana sana kwani huu mdahalo haukuwa na nia nzuri .Zitto siyo size ya Dr.Slaa
Zitto ana hoja gani yule ameshajimaliza mwenyewe.mbona wagombea wa ccm na nyie mlikimbia mliogopa nini?
points tupu...naunga mkono hoja..kama ingekuwa ni mdahalo wa makatibu wa chama sawa but wangombea urais chadema bado...
Hahaa, bora wewe umesema ukweli kuwa anamuogopa Zitto.
CCM wameshafika zaidi ya 30, tuone kama CHADEMA baada ya Slaa atajitokeza mtu mwingine, akijitokeza unikate kidole.
Unategemea CHADEMA ifuate yanayofanywa na ccm? Utasubiri sana kijana. CHADEMA is smarter than ccm 10times dont try to compare.
Chama kimeshindwa kuandaa next president sasa kinapiga tu ramli ya msururu wa wagombea na jana waziri mkuu anasema jamani msiite wengine mafisadi maana sote tu wamoja.
Huu mdahalo kama sijakosea tuliambiwa ni kwa watia nia ya kugombea uraisi, hivi Dr. Slaa angekwenda kwenye huo mdahalo kama nani? Kwani Dr. Slaa ametia/ametangaza nia? Zito Kabwe naye katia nia? Naombeni ufafanuzi hapa.
mimi ndo maana nawapenda chadema ni watu wa kufuata miongozo na kanuni walizojiwekea ni sio kufuata shamrashamra za kisiasa.
ILANI HAMNA PILI MGOMBEA WA CHAMA HAJAJULIKANA sasa Dr.Slaa angeshiriki kama nani?
Siyo wagombea urais ndiyo wanaokwenda kwenye mdahalo, bali viongozi wa upinzani kujadili mchakato wa urais, inawezekana wewe hujui kinachoendelea kuhusiana na huo mdhalo huo
Dr. Slaa anauhadaa umma; eti chama bado hakijapata mgombea, wakati hakuna mtu atakayeruhusiwa hata kuthubutu kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama zaidi yake yeye.
Nadhani ingekuwa vyema ukatafuta watu wa level yako humu JF ili ujibizane nao. Maana mimi sio kabisa level yako, kwa akili yako ilivyodumaa hupaswi kuwa hata mwanafunzi wangu wewe.
Kuhusu elimu; nadhani ni vyema ukawauliza hawa wana elimu gani: Mbowe, Lema, Msigwa, Mnyika na Sugu.
Zitto siyo saizi ya Dr.Slaa kwani Zitto size yake akina Nape na Makonda
mdahalo ulikuwa unalenga wagombea Uraisi kwa upande wa upinzani, kama ule wa ccm wiki mbili zilizopita. Lakini Zito amesema anagombea ubunge Kigoma mjini na Silaa hajasema lolote. inakuweje huyu Mafuriki kuwaita kama wagombea uraisi. Si asubiri mpaka vyama vikamilishe uchaguzi wa ndani. CCM ndiyo inayotakiwa kuandaa kama inataka kupima wagombea wake. CCM itaanda mdahalo na ukawa kama wanataka mgombea wao watandaa mdahalo watakaopatikana baada ya hapo ndiyo mafuriko aje na mdahalo wake ambao ni wa kitaifa. Siyo kujishughulishe na midahalo ya kichama. mafuriki ana pressure na kiherehere sana na hiyo midahalo yake. He is looking for cheap popularity
Amefanya jambo la maana sana kwani huu mdahalo haukuwa na nia nzuri .Zitto siyo size ya Dr.Slaa
Tulimuheshimu sana mfuruki Enzi zake sasa kasha isha kabisa unandaa mdahalo bila logic matokeo ya midahalo hiyo nini haswa yaani mizania ya anachotaka kusema nini akaombe utalaamu kwa akina Rosemary Mwakitwange aone mfano wa mada na midahalo inavyoandaliwa na utafutaji wa wazungumzaji , kushindwa kuandaa midahalo miwili inaonyesha akili zake zimesinyaa kwa sasa
Ana kipi cha kuongea unafikiri nchi ni madhabahu ya kanisa yy ni dr wa theology hawez kufanya mdahalo na wataalaam
Teh teh teh teh