Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Acha ku-panick wewe mwanamke! Zitto ni tishio kubwa kwa kibabu chenu Slaa...asingekuwepo Zitto ni dhahiri kibabu chenu Slaa kingekimbilia huo mdahalo maana kile kizee kina kiherehere sana.
Dr Slaa will never stoop that low to evil deeds of Ally Mfuruki, Zitto hana level nakuongea na vingunge wa siasa kama akina Dr SLaa Mfuruki akatafute wakufanya midahalo na mafweza yake mengi huko mitaani waongea na waliofirisika kisiasa kama msaliti Zitto
 
tusaidie, Zitto akihutubia huko Kasulu amesikika akisema Mgombea wa Urais wa ACT atapatikana mwezi wa nane? Mdahalo huu unaeleza kwamba washindani wa hoja ni wagombea/ Watia nia wa Urais kupitia Vyama vyao.

Swali ni je Dr Slaa anaenda kama nani? Maana hatujasikia akisena kwamba atagombea, wala chama chake hakijampitisha kugombea nafasi hiyo Sasa aende pale kama nani? Tuje kwa Zitto,anaalikwa kwenye Mdahalo kama nani? Hatujasikia akisema kwamba atagombea, Hata Katiba yenyewe haimruhusu kugombea, Chama chake ndo hicho kimesema mgombea kitampata mwezi agost. Yeye anaenda kama nani kwenye mdahalo?

Tukisema huyu mwandaaji wa Midahalo anakurupuka kama mkojo wa Asubuhi tunadanganya? Siku zote Kande ni mchanganyiko wa Mahindi Maharage au Njegere, Ukichanganya Ugali nyama Maharage na Mboga mboga kwa pamoja huo mchanganyiko tunauitaje?

Hapa haogopwi Zitto wala yeyote, Zitto katangaza kuogombea Ubunge huko Kigoma Mjini. Huko kwenye Midahalo ya Watia nia wa Urais anakwenda kufanya nini? Je huu si mpango madhubuti wa kushusha haiba za Wagombea Urais? Huyu mwandaaji wa Midahalo hiyo anawasiliana kwanza na watu anaotaka kufanyanao Midahalo? Kama angekuwa anawasiliana nao nadhani ile hasara ya kutofika kwa watia nia Urais kupitia ccm asingeipata. Na kwakuonyesha umbumbumbu wake kaendelea na utaratibu uleule.. Naam hajajifunza lolote..!!

BACK TANGANYIKA
 
Mdahalo unawahusu wagombea Urais, Zitto kapitishwa na chama chake kugombea Urais hadi ashiriki?
 
Wee NDOROBO, UYO ZITTO WAKO AMTISHE NANI UYO NI MSALITI ANAYETAMBULIWA ATA NA WATOTO?? NA SASA KASHAZOEA KUZOMEWA ATA NA WATOTO WADOGO. NI MAARUFU ZAIDI UKO KWAO TU MWANDIGA,

hata hivyo huko mwandiga amekimbia ! usicheze na usaliti , hata ndugu zake kawakana kudadeki !
 
Ana kipi cha kuongea unafikiri nchi ni madhabahu ya kanisa yy ni dr wa theology hawez kufanya mdahalo na wataalaam
 
Dr Slaa will never stoop that low to evil deeds of Ally Mfuruki, Zitto hana level nakuongea na vingunge wa siasa kama akina Dr SLaa Mfuruki akatafute wakufanya midahalo na mafweza yake mengi huko mitaani waongea na waliofirisika kisiasa kama msaliti Zitto

Dr Slaa ana hadhi? Teh teh teh... Hivi kati ya Slaa na Zitto nani jembe katika siasa? Maana binafsi bila Zitto nisingemjua Dr Slaa wala hiyo CHADEMA yenu kisingekuwa chama kikuu cha upinzani. Zitto ametusumbua sana CCM, leo nakiri hili.
 
Dr Slaa will never stoop that low to evil deeds of Ally Mfuruki, Zitto hana level nakuongea na vingunge wa siasa kama akina Dr SLaa Mfuruki akatafute wakufanya midahalo na mafweza yake mengi huko mitaani waongea na waliofirisika kisiasa kama msaliti Zitto

nakushukuru sana mkuu .
 
Sasa hauoni kama hizo ni sababu za msingi? Wewe unasema amekimbia.watu bana sijui mmekula mahalage ya wapi?
 
Mdahalo unawahusu wagombea Urais, Zitto kapitishwa na chama chake kugombea Urais hadi ashiriki?
Tulimuheshimu sana mfuruki Enzi zake sasa kasha isha kabisa unandaa mdahalo bila logic matokeo ya midahalo hiyo nini haswa yaani mizania ya anachotaka kusema nini akaombe utalaamu kwa akina Rosemary Mwakitwange aone mfano wa mada na midahalo inavyoandaliwa na utafutaji wa wazungumzaji , kushindwa kuandaa midahalo miwili inaonyesha akili zake zimesinyaa kwa sasa
 
Kamuiga Lowassa...kaona Lowassa kakataaa na yeye kaamua kukataa...!!! Mfuata bendera....Mwaka huu EL atawamaliza...!!!

Ila Mufuruki naona yuko hovyo hovyo sana....huwa hafanyi mawasiliano sahihi na watia nia kabla hajatangaza washiriki wa mdahalo...

Mufuruki anakurupuka sana...inatakiwa anafanya na kudhibitisha ushiriki wa watia nia ktk mdahalo kabla ya KUUTANGAZA KTK VYOMBO VYA HABARI...!!!! Huyu Mufuruki has a very bad timing, organisation and communication skills... it is impossible kila mtu anakataa...sbb hajui kabisa timing na mawasiliano na wahusika kabla hajatoa tangazo la mdahalo...!!!
 
Dr Slaa ana hadhi? Teh teh teh... Hivi kati ya Slaa na Zitto nani jembe katika siasa? Maana binafsi bila Zitto nisingemjua Dr Slaa wala hiyo CHADEMA yenu kisingekuwa chama kikuu cha upinzani. Zitto ametusumbua sana CCM, leo nakiri hili.
wakati mwingine hakuna haja ya kubishana na makopo , hivi mkuu umeishia darasa la ngapi ? tuanzie hapo kwanza .
 
Dr Slaa ana hadhi? Teh teh teh... Hivi kati ya Slaa na Zitto nani jembe katika siasa? Maana binafsi bila Zitto nisingemjua Dr Slaa wala hiyo CHADEMA yenu kisingekuwa chama kikuu cha upinzani. Zitto ametusumbua sana CCM, leo nakiri hili.

Jamvi limejaza watu waliougua unyafuzi na kwashikor si rahisi kutambua na kunyambulisha mambo Zitto aliyeshindwa hata kutekeleza plot ya kuuwa chadema nay unamuona ana akili aende chooni tu akatoe maharage aliyekula siasa sio sawa na kuparula migebuka kule kibirizi
 
natoa onyo kwa Ally Mafuruki , kama anataka kutokomea na hiyo taasisi yake aendelee kutangaza majina mazito kama hili la HON DR SLAA kushiriki midahalo bila mawasiliano na wahusika , na hii iwe mwisho , Dr Slaa hakurupuki kama unavyodhani , NIMEKUDHARAU SANA MKUU MAFURUKI .
 
CCM waliconfirm kushiriki wakaingia mitini dakika za majeruhi tena bila taarifa.Hata hivyo Dr Slaa ataendaje kwenye mdahalo wa wagombea,kwani ameshatangaza nia kuwa ni mgombea? Hapo mwenye sifa ya kushiriki mdahalo ni Prof.Lipumba tu,ZZK hana sifa ya kushiriki kwa vile si mgombea.

Mpaka sasa CCM wako hawaelewi nini kinaendelea huko CDM na UKAWA kwa ujumla! Hii ni mbinu yao ya kutaka kujua japo kwa uchache nini kilichopo huko na katika ilani za vyama vya upinzani! Kama mliona ule mwaka wa 2010 CCM walikuwa na Ilani utafikiri ya watu wa chekechea! Huyu mufuruki analake jambo siyo bure! Jaribu kujiuliza kwani ndani ya CDM Dr.Slaa ndiyo Mwenyekiti au kiongozi pekee wa Chama hiki. Mbona vyama vingine amewaalika wenyeviti na siyo makatibu????
 
Hata mimi namuunga mkono Dr.Wanaoshiriki wote wameshatia nia ya Uraisi,CDM bado hakijampitosha mtu,hivyo isingekuwa sahihi yeye kushiriki huo mdahalo.
 
Back
Top Bottom