Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

wakati mwingine hakuna haja ya kubishana na makopo , hivi mkuu umeishia darasa la ngapi ? tuanzie hapo kwanza .

Nadhani ingekuwa vyema ukatafuta watu wa level yako humu JF ili ujibizane nao. Maana mimi sio kabisa level yako, kwa akili yako ilivyodumaa hupaswi kuwa hata mwanafunzi wangu wewe.

Kuhusu elimu; nadhani ni vyema ukawauliza hawa wana elimu gani: Mbowe, Lema, Msigwa, Mnyika na Sugu.
 
Nadhani ingekuwa vyema ukatafuta watu wa level yako humu JF ili ujibizane nao. Maana mimi sio kabisa level yako, kwa akili yako ilivyodumaa hupaswi kuwa hata mwanafunzi wangu wewe.

Kuhusu elimu; nadhani ni vyema ukawauliza hawa wana elimu gani: Mbowe, Lema, Msigwa, Mnyika na Sugu.
taja elimu yako hapa , kabla sijakudharau hadi kiama , blabla unazileta jf !
 
Wakat ccm wamekimbia mdahalo huu watu mlisema sana hapa jamvin Leo kakimbia Dr slaa mnatetea hata tuwaeleje? Kwahyo vyama vyao ni bora kuliko nchi maana kwwnyw mdahalo walitakiwa watoe mpango wa kukuza uchumi na maendeleo lkn wanasiasa wetu wanaabudu sana vyama vyao kuliko watanzania
 
Dr. Slaa anauhadaa umma; eti chama bado hakijapata mgombea, wakati hakuna mtu atakayeruhusiwa hata kuthubutu kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama zaidi yake yeye.
 
Siyo wagombea urais ndiyo wanaokwenda kwenye mdahalo, bali viongozi wa upinzani kujadili mchakato wa urais, inawezekana wewe hujui kinachoendelea kuhusiana na huo mdhalo huo
mdahalo ulikuwa unalenga wagombea Uraisi kwa upande wa upinzani, kama ule wa ccm wiki mbili zilizopita. Lakini Zito amesema anagombea ubunge Kigoma mjini na Silaa hajasema lolote. inakuweje huyu Mafuriki kuwaita kama wagombea uraisi. Si asubiri mpaka vyama vikamilishe uchaguzi wa ndani. CCM ndiyo inayotakiwa kuandaa kama inataka kupima wagombea wake. CCM itaanda mdahalo na ukawa kama wanataka mgombea wao watandaa mdahalo watakaopatikana baada ya hapo ndiyo mafuriko aje na mdahalo wake ambao ni wa kitaifa. Siyo kujishughulishe na midahalo ya kichama. mafuriki ana pressure na kiherehere sana na hiyo midahalo yake. He is looking for cheap popularity
 
Huu mdahalo kama sijakosea tuliambiwa ni kwa watia nia ya kugombea uraisi, hivi Dr. Slaa angekwenda kwenye huo mdahalo kama nani? Kwani Dr. Slaa ametia/ametangaza nia? Zito Kabwe naye katia nia? Naombeni ufafanuzi hapa.
 
Kwa hiyo wewe unaona utitiri wa wagombea wa ccm ndiyo best practice? Ccm haiwezi kuwa model kwa lolote isipokuwa kwenye udanganyifu, ufisadi, dhuruma, rushwa na mauaji ya kisiasa. Kweli elimu ni ufunguo wa maisha!. Unatakiwa kutoka kwenye hilo giza la sanduku jeusi la ccm ili uone zaidi ya hapo!.

Nikweli mkuu ma ccm wote akili zao zinaishia kwenye pembe 4 za vyumba vyao.
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa ameweka bayana kwamba chama hicho kikuu cha upinzani nchini hakitashiriki mdahalo wa wagombea Urais wa upinzani hapo kesho.

Kiongozi huyo aliyekuwa anasubiriwa na mamilioni ya Watanzania kwenye mdahalo huo ametoa sababu kubwa mbili kwa chama chake kutoshiriki...

Sababu ya kwanza ni kwamba CHADEMA bado haijampata mgombea Urais na mchakato wa ndani unaendelea.

Na sababu ya pili ni kwamba Ilani ya chama bado haijapitishwa na vikao vya juu vya chama hicho na itakuwa ni kichekesho kwenda kwenye midahalo bila kuwa na Ilani ya chama.

Dr Slaa amesema chama hicho kitakuwa tayari kushiriki midahalo ya aina hiyo mara taratibu za kumpata mgombea Urais zitakapokamilika ndani ya chama!

mimi ndo maana nawapenda chadema ni watu wa kufuata miongozo na kanuni walizojiwekea ni sio kufuata shamrashamra za kisiasa.

ILANI HAMNA PILI MGOMBEA WA CHAMA HAJAJULIKANA sasa Dr.Slaa angeshiriki kama nani?
 
Back
Top Bottom