we ni chizi na mngese ....hebu nambie huo mdahalo unahusu nini ? muandaaji mdahalo anatakiwa kujipanga upya ...mdahalo unahusu wagombea urais ...act nyie mshatangaza mogombea wenu ? kama angealika vyama ni sawa yeye anataja watu kushiriki kwenye mdahalo kabla hata ya kuuliza taratibu za vyama vyao vikoje asubiri vyama vitangaze wagombea then awaite aone kama kuna udhuru utatolewa....halafu huwezi kumuita zito umpambanishe na slaa hao hawako level moja ...zito saizi zake ni kina mnyika sio slaa wote wagombea ubunge...
Vyama vya Siasa vinakimbia midahalo.
Acha ku-panick wewe mwanamke! Zitto ni tishio kubwa kwa kibabu chenu Slaa...asingekuwepo Zitto ni dhahiri kibabu chenu Slaa kingekimbilia huo mdahalo maana kile kizee kina kiherehere sana.
CCM wanachekesha wanataka kuficha ufisadi wao wizi na ujambazi chini ya kapeti la watangaza nia they turned to be joke of the town aibuCCM wameshafika zaidi ya 30, tuone kama CHADEMA baada ya Slaa atajitokeza mtu mwingine, akijitokeza unikate kidole.
swali zuri sana !Aliyetoa Acceptance kiasi cha kutangazwa Dr.Slaa kushiriki ni nani?
Katika hali isiyokuwa ya kawaida chadema imekimbia mdahalo uliokuwa umeandaliwa kwa ajili ya kuelezea malengo na namna jinsi vyama vya upinzani vilivyojiandaa kwa ajili ya uchaguzi mkuu,hali hiyo imekuja mara baad ya chadema kupata taarifa kuwa katika mdahalo huo atakuwepo kiongozi wa act wazalendo ndugu zitto kabwe,awali walikuwa wamekubali kuhudhuria lakini baada ya kupata taarifa ya zitto kushiriki wakakacha na kusingizia hawajaandaa ilani,sababu ya kutokuandaa ilani ni ya kipuuzi kwani mda wa uchaguzi umekaribia na wanasema hawajajipanga,lipumba athibitisha kushiriki
Kama msomi mbona ccm hamchukua awe mgombea uraisi wenu wote waliotangaza nia ni mafisadi ndo maana hata walikimbia mdahalo ambao ulikuwa wa wagombea uraisi wa ccm pekee yao?
Acha ku-panick wewe mwanamke! Zitto ni tishio kubwa kwa kibabu chenu Slaa...asingekuwepo Zitto ni dhahiri kibabu chenu Slaa kingekimbilia huo mdahalo maana kile kizee kina kiherehere sana.
Acha ku-panick wewe mwanamke! Zitto ni tishio kubwa kwa kibabu chenu Slaa...asingekuwepo Zitto ni dhahiri kibabu chenu Slaa kingekimbilia huo mdahalo maana kile kizee kina kiherehere sana.
Acha ku-panick wewe mwanamke! Zitto ni tishio kubwa kwa kibabu chenu Slaa...asingekuwepo Zitto ni dhahiri kibabu chenu Slaa kingekimbilia huo mdahalo maana kile kizee kina kiherehere sana.
CCM wameshafika zaidi ya 30, tuone kama CHADEMA baada ya Slaa atajitokeza mtu mwingine, akijitokeza unikate kidole.
uwezo wa zitto haufiki hata robo ya Dr Slaa , hivi mtu ambaye anafikia kiwango cha kujadiliana na hatimaye kukubaliana na viongozi wa ccm kubadilishana jimbo ana uwezo gani ? subiri moto uwake ndio utajua uwezo wa Dr Slaa .Acha ku-panick wewe mwanamke! Zitto ni tishio kubwa kwa kibabu chenu Slaa...asingekuwepo Zitto ni dhahiri kibabu chenu Slaa kingekimbilia huo mdahalo maana kile kizee kina kiherehere sana.