rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
Mafisadi ya ccm walitakiwa wawe mahabusu lakini wao ndo wanatangaza nia za kugombea uraisi ccm.Lipumba
Na mafisadi wa chadema wao wawe wapi, peponi au?
Mafisadi ya ccm walitakiwa wawe mahabusu lakini wao ndo wanatangaza nia za kugombea uraisi ccm.Lipumba
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa ameweka bayana kwamba chama hicho kikuu cha upinzani nchini hakitashiriki mdahalo wa wagombea Urais wa upinzani hapo kesho.
Kiongozi huyo aliyekuwa anasubiriwa na mamilioni ya Watanzania kwenye mdahalo huo ametoa sababu kubwa mbili kwa chama chake kutoshiriki...
Sababu ya kwanza ni kwamba CHADEMA bado haijampata mgombea Urais na mchakato wa ndani unaendelea.
Na sababu ya pili ni kwamba Ilani ya chama bado haijapitishwa na vikao vya juu vya chama hicho na itakuwa ni kichekesho kwenda kwenye midahalo bila kuwa na Ilani ya chama.
Dr Slaa amesema chama hicho kitakuwa tayari kushiriki midahalo ya aina hiyo mara taratibu za kumpata mgombea Urais zitakapokamilika ndani ya chama!
Wewe andika kiswahili tu unajua maana ya Acceptance? Au unajiandikia tu.Aliyetoa Acceptance kiasi cha kutangazwa Dr.Slaa kushiriki ni nani?
CCM wameshafika zaidi ya 30, tuone kama CHADEMA baada ya Slaa atajitokeza mtu mwingine, akijitokeza unikate kidole.
Ni mgombea wa kudumu, hana mpinzani.
Na mafisadi wa chadema wao wawe wapi, peponi au?
Zitto ni msomi, lipumba msomi ila mzee wetu kichwa mchunga kazila kukusanywa na nguli hao.
Sasa wew unataka kusema nin , kwani makaidi, zitto wapi amesema anagomea uraisi
Mkuu Ruttashobolwa nilikuambia lazima Dr.Slaa atoke nduki kwenye huu mdahalo.
Naunga mkono mkuu,-naye muandaji aache mapenzi binafsi Mpaka saa hii zzk Na Dr slaa hawana sifa za mdahalo huo, bw.mufuruki atulie wenye sifa watakuja tuCCM waliconfirm kushiriki wakaingia mitini dakika za majeruhi tena bila taarifa.Hata hivyo Dr Slaa ataendaje kwenye mdahalo wa wagombea,kwani ameshatangaza nia kuwa ni mgombea? Hapo mwenye sifa ya kushiriki mdahalo ni Prof.Lipumba tu,ZZK hana sifa ya kushiriki kwa vile si mgombea.
Vyama vya Siasa vinakimbia midahalo.