Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Hakuna magumashi Huu ni mwaka wa uchaguzi wananchi wana haki ya kusikiliza Sera na namna ambavyo vyama vya upinzani nchini walivyojipanga kutatua kero za wananchi

Mwaandaaji akifikia kutangaza tarehe ya mdahalo na mada na wazungumzaji na hafiki lengo ujue yeye mwenyewe hajajiandaa na maandalizi ni magumashi hao walioalikwa wameshashiriki midahalo iliyoandaliwa kwa nidhamu na utaratibu wakimdahalo na kurushwa na vyombo vinavyosikika nchi nzima sasa ALLY Mfuruki anashindwa kwa mara ya pili kumobilise wazungumzaji ni kosa hapo
 
Zitto huyu mbaye bajeti yake ya kwanza kama waziri kivuli ilichanwa hakuwa na takwimu wala vipaumbele hakutaka kusirikisha mtu akaumbuka kwa kukiri makosa anachokiweza chabo Lissu , Kafulila wayaanzishe yeye adake

Nisome hapo juu, kwenye upinzani kuna mtu mmoja tu mwenye uwezo wa uchumi.Mtu huyo ni Guru Le Proffesseur Ibrahim Haruna Lipumba.Kwenye upinzani huyu ni mtu pekee ninayeweza kumsikiliza.
 
Nani kamsifia Zitto?Zitto mtoto mdogo sana kwenye elimu ya uchumi.Hajafuzu.

Uchumi una wataalam wake, maguru kama Prof Lipumba.Subiri ushuhudie Zitto akipata darasa kutoka kwa Prof Lipumba.

Ninachosema ukilinganisha hayo vibonde wawili, Zitto anamzidi sana kibonde mwenzake Dr Slaa.Hujaelewa nin hapo?
Professor LIpumba ni mwalimu wa uchumi ameanya kazi nyingi za kiuchumi ndani na nje ya nchi alishindwa kupaisha uchumi wakati wa Mwinyi akamtema akaenda kwa Museveni akatemwa sasa kama ni kibonde ni yeye mwenye fani hiyo ambaye hana rekodi ya kukuza uchumi in particular kwa nchi hizo mbili alizozimamia sera zake na kuwa mshauri wa Maraisi , Uchumi wa kwenye mafaili na maaono anaweza kutranslate kwenye reliarity hadithi nyingine hana rekodi
 
Hapa mnazunguka lakini point ya msingi ni kumuepusha Slaa kuonekana dhaifu koz sioni Slaa akiwa ni mjenga hoja mzuri kumzidi Prof Ibrahim au ZZK(huo ndio ukweli mpinge mpaka Roma).Hivi mnafikiri Lowasa alipotangaza mapema kutoshiriki sababu ilikuwa nini? anajijua kabisa kwamba ukimsimamisha Lowasa na January wajiuze kwenye debates Lowasa ataonekana box hadi kunakucha.


raisi ni yule anayeweza kuisimamia serekali na sio anayeweza mwenyewe kila kitu. mi nimebobea kwenye uchumi na fedha sioni hao kina zitto wana kipi kipya zaidi ya kutoa matheory na manukuu tu .Uchumi anaweza kuulezea hata mtu wa kawaida in laymans language isiwe sasa kama somo la ajaabu kawaida tu uwezo wa kudili na wezi na dhamira ndio shughuli pevu
 
Nisome hapo juu, kwenye upinzani kuna mtu mmoja tu mwenye uwezo wa uchumi.Mtu huyo ni Guru Le Proffesseur Ibrahim Haruna Lipumba
Unaelekea umebanwa nenda chooni ,upinzani unaorodha ya wachumi wote au unaweweseka tu
 
Hapa mnazunguka lakini point ya msingi ni kumuepusha Slaa kuonekana dhaifu koz sioni Slaa akiwa ni mjenga hoja mzuri kumzidi Prof Ibrahim au ZZK(huo ndio ukweli mpinge mpaka Roma).Hivi mnafikiri Lowasa alipotangaza mapema kutoshiriki sababu ilikuwa nini? anajijua kabisa kwamba ukimsimamisha Lowasa na January wajiuze kwenye debates Lowasa ataonekana box hadi kunakucha.
Point less yaani leo Dr Slaa hawezi jenga hoja duh mapenzi ya kijinga
 
Mdahalo huo unalengo la kuwadhalilisha UKAWA

1. Zitto hana credibility za kupambanishwa na wakubwa tena walezi wake Kama Dr Slaa na Lipumba. Rejea usaliti wake na vurugu ndan ya cdm.Nin kipo nyuma ya pazia?

2. Kumkweza Zitto nakumlinganisha na akina Lipumba ni utovu wa nidham kwa waandalizi wa mdahalo huo.

3. Kwanini Zitto asishindanishwe na

-Lowasa
-Membe
-Magufuli
-Sumaye
-S. Sitta

kinachoendelea kwenye vichwa vya wandalizi wa mdahalo huo nikuchafua cv au kuzi-disvalue ionekane UKAWA ni ya watu wa low grade na hawafiti kwenye nafasi ya urais ambao niupumbavu Mkubwa.

Mkuu,
Wakati Obama anatangaza nia no body knew him,
Zikaanza debates akapambana na manguli na majabali wa Democratic party ambao walikuwa na ma CV yaliyoshindikana
akaja akapambana na manguli ya Republican Party akayatoa KO,ndio mana Slaa ameyaona haya koz anajua fika uwezo wa ZZK.Pamoja na kwamba Prof Lipumba anajua uwezo wa ZZK lakini kwa kuwa yeye anajiamini kama Profesa wa uchumi duniani ndio mana ameamua kubaki kwenye mchuano.Shame on you fake Dr.
 
Point less yaani leo Dr Slaa hawezi jenga hoja duh mapenzi ya kijinga
Mnaoona leo Dr Slaa hawezi kujenga hoja ni nyinyi mliokunywa maji ya Bendera ya chadema sisi tunaopambanua mambo Independently tunajua toka zamani kuwa hana uwezo huo hasa akipambanishwa na wenye uwezo.Wewe kataa hadi asubuhi ila Dr Slaa hamuwezi ZZK kwa hoja.
 
Mnaoona leo Dr Slaa hawezi kujenga hoja ni nyinyi mliokunywa maji ya Bendera ya chadema sisi tunaopambanua mambo Independently tunajua toka zamani kuwa hana uwezo huo hasa akipambanishwa na wenye uwezo.Wewe kataa hadi asubuhi ila Dr Slaa hamuwezi ZZK kwa hoja.
Anachokiweza Dr Slaa ni kulipua mabomu,even a fool can do that,ila uchumi hana uwezo.
 
Kwa uwezo wa babu slaa kwenye uchumi hata akisimama na mtoto wa darasa la saba atashindwa tu,kashazoea kukariri vifungu vya biblia
 
raisi ni yule anayeweza kuisimamia serekali na sio anayeweza mwenyewe kila kitu. mi nimebobea kwenye uchumi na fedha sioni hao kina zitto wana kipi kipya zaidi ya kutoa matheory na manukuu tu .Uchumi anaweza kuulezea hata mtu wa kawaida in laymans language isiwe sasa kama somo la ajaabu kawaida tu uwezo wa kudili na wezi na dhamira ndio shughuli pevu
Mkuu hata mimi nimesomea Uchumi,Point hapa kwa nini Slaa akimbie sasa kama hata Layman anaweza elezea uchumi.Sasa unataka tusiwakubali kina ZZK ambao hata kama wanaweka matheory ya kumeza but atleast wanafanya kitu wewe unataka tumkubali Slaa anayeingia mitini bila hata kuweza kusema neno moja about economy
 
Mwaandaaji akifikia kutangaza tarehe ya mdahalo na mada na wazungumzaji na hafiki lengo ujue yeye mwenyewe hajajiandaa na maandalizi ni magumashi hao walioalikwa wameshashiriki midahalo iliyoandaliwa kwa nidhamu na utaratibu wakimdahalo na kurushwa na vyombo vinavyosikika nchi nzima sasa ALLY Mfuruki anashindwa kwa mara ya pili kumobilise wazungumzaji ni kosa hapo

Kwa hali halisi ilivyo,kati ya hivi vyama viwili act na chadema,
Tukio chili la chadema kususia mdahalo huo walio wengi walilitarajia.
Kinachoshangaza wengi ni sababu hizi za kutohudhuria zilizotolewa
Kwa nini wasiseme uwepo wa kiongozi mkuu wa act ni tatizo.

Hoja kwamba azam tv Haina wasikilizaji wengi haina mashiko,
Kwa chama chochote ambacho kinataka kunadi Sera hata kama ingekuwa redio inayosikika dar peke yake ingetosha.

Narudia tena kwamba chama makini kama chadema kususia midahalo ni kutia aibu
Na kuthibitisha hoja za wakosoaji wake kwamba chadema ni sawa na ccm .
 
WEWE NI NDOROBO SANA, SLAA BADO SI MGOMBEA URAISI WALA HAJATIA NIA, BASI NAWEWE NENDA KASHIRIKI KAMA NI KUJIENDEA TU BILA TARATIBU, Ndorobo wewe
We acha matusi,
Mdahalo hausemi walioitwa ni wagombea bali ni viongozi tu wa vyama husika,kwani hata ZZK hagombei lakini kaitwa.Mdahalo ni wa kujadili hali ya uchaguzi na jinsi vyama vilivyojiandaa,sasa hapo kuna haja gani ya Dr Slaa kuanza kuleta visingizio.???
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa ameweka bayana kwamba chama hicho kikuu cha upinzani nchini hakitashiriki mdahalo wa wagombea Urais wa upinzani hapo kesho.

Kiongozi huyo aliyekuwa anasubiriwa na mamilioni ya Watanzania kwenye mdahalo huo ametoa sababu kubwa mbili kwa chama chake kutoshiriki...

Sababu ya kwanza ni kwamba CHADEMA bado haijampata mgombea Urais na mchakato wa ndani unaendelea.

Na sababu ya pili ni kwamba Ilani ya chama bado haijapitishwa na vikao vya juu vya chama hicho na itakuwa ni kichekesho kwenda kwenye midahalo bila kuwa na Ilani ya chama.

Dr Slaa amesema chama hicho kitakuwa tayari kushiriki midahalo ya aina hiyo mara taratibu za kumpata mgombea Urais zitakapokamilika ndani ya chama!
Kwani mada ya mdaharo ulikuwa ninini?
 
Mkuu,
Wakati Obama anatangaza nia no body knew him,
Zikaanza debates akapambana na manguli na majabali wa Democratic party ambao walikuwa na ma CV yaliyoshindikana
akaja akapambana na manguli ya Republican Party akayatoa KO,ndio mana Slaa ameyaona haya koz anajua fika uwezo wa ZZK.Pamoja na kwamba Prof Lipumba anajua uwezo wa ZZK lakini kwa kuwa yeye anajiamini kama Profesa wa uchumi duniani ndio mana ameamua kubaki kwenye mchuano.Shame on you fake Dr.
Kwi kwi ALLY Mfuruki amewapa kazi unamtag Zitto na Dr Slaa kwa sababu sasa amepotea kisiasa wimbo wake ni kuzomewa tu hata mwandiga
 
Swali langu-Huyu Mafuruki anapotangaza kuwa kwenye midahalo atakuwepo so and so...anakuwa amesha confirm nao au anakurupuka tu....It doesnt make sense eti Chair wa CEOs forum afanye upuuzi kama huu...yaani kushindwa ku set appointment

Mkuu yes huwa ana confirm nao,Dr Slaa likubali vizuri wakati huo Zitto haja confirm,alipo confirm ZZK kushiriki Dr alipopata taarifa hakuwa na jinsi ila ni kubadili uamuzi wa awali
 
We acha matusi,
Mdahalo hausemi walioitwa ni wagombea bali ni viongozi tu wa vyama husika,kwani hata ZZK hagombei lakini kaitwa.Mdahalo ni wa kujadili hali ya uchaguzi na jinsi vyama vilivyojiandaa,sasa hapo kuna haja gani ya Dr Slaa kuanza kuleta visingizio.???
Mdahalo wowote lazima uwe na end result huwezi kuita watu tu ili wakasemeseme tu bila kuwa na kina cha nini unataka yawe matokeo ALLY Mfuruki anataka kuandaa vitu bila vina huo si mdahalo labda dialogue majadiliano sijui tuseme alitaka kuweka nini hakuweka terms of reference zinazoeleweka baada ya kushindwa kuandaa midahalo miwili kuiandaa kisayansi arudi aandae kitu kinachoeleweka
 
We acha matusi,
Mdahalo hausemi walioitwa ni wagombea bali ni viongozi tu wa vyama husika,kwani hata ZZK hagombei lakini kaitwa.Mdahalo ni wa kujadili hali ya uchaguzi na jinsi vyama vilivyojiandaa,sasa hapo kuna haja gani ya Dr Slaa kuanza kuleta visingizio.???

Chadema wangenyosha Maelezo kwamba uwepo wa kiongozi mkuu wa act ndugu ZITO ZUBERI KABWE ni tatizo,
Inavyoonekana wana hofu sana na Huyu kijana
Kwa kitendo hiki wametia Aibu.
 
Mkuu hata mimi nimesomea Uchumi,Point hapa kwa nini Slaa akimbie sasa kama hata Layman anaweza elezea uchumi.Sasa unataka tusiwakubali kina ZZK ambao hata kama wanaweka matheory ya kumeza but atleast wanafanya kitu wewe unataka tumkubali Slaa anayeingia mitini bila hata kuweza kusema neno moja about economy

Dr hajawahi kukacha midahalo hata siku moja ila wanamwita kama nani maana hajateuliwa na chama wala hajatangaza nia au kina Mafuruki wanaita mdahalo wa kina nani hasa makatibu watia nia viongozi wakuu wa vyama au nani kama ni viongozi wangalimuita Kinana Mtikila Mbatia nk.Tatizo ni waandaaji hawako defined na nasikia kuna kiingilio.Hata mimi mwenyewe zitto hana uchumi wa kunidanganya, ujue kuna issue ya kufahamu na issue ya kuwa kwenye nafasi ya kuongea kwenye media lakini inaonekana kama zitto kasoma kweli kuliko kila mtu ,ni mchumi wa hatari sijui hii dhana ya kitoto inatoka wapi. Lipuba unaweza kukubali kwamba amesoma na ameprectice katika level za juu. Hivi kama umeusoma uchumi vizuri unaweza kuanzisha sera ya ujamaa na azimio la arusha is it practical?tusipotezeane muda ,
 
Back
Top Bottom