Unaelekea umebanwa nenda chooni ,upinzani unaorodha ya wachumi wote au unaweweseka tu
Wachumi upinzani?kuna mchumi gani zaidi ya Prof Lipumba?
kwenye upizani kuna mtu mmoja tu, Lipumba.
Dr Slaa msomi wa agano jipya
Mbowe msomi wa form 4
Msigwa msomi wa agano jipya, darasa la 7
Sugu msomi wa form 4
Lema msomi wa form 2
Mnyika msomi wa form 6
Afadhari Lissu msomi wa sheria
Sasa wa uchumi nani huko?