Gullam
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 5,239
- 3,933
Unajua hauwezi kusema mdahalo, halafu unawaalika Dr Slaa, Lipumba na Makaidi kwa ujumla hao wako mrengo mmoja. Halafu uku unamuweka Zitto sasa sielewi muendesha mdahalo ana maana gani? Nawatuzungumzia nini? Au ana mpango Fulani nyuma yake? Jamani tusikulupuke kuandaa midahalo isiyo na tija kwa Taifa. Lai yangu hata prof angeweze asiende, na Dr Makaidi vilevile. Au kama Zitto anawakilisha chama tawala labda, na agenda nini? Hauwezi ukasema uchaguzi wakati NEC haijaalikwa, hauwezi ukasema umoja katika vyama wakati ofisi ya msajili haijaalikwa. Nimeshangaa sana, nampingeza Dr. Slaa na chama chao kugundua hila hizo. Mungu yuko na wenyehaki.