eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,401
Yule atakaekutana na slaa awe ameteuliwa na ccm kugombea si watangaza nia
hehehe slaa alikua anaenda kuumbuka
Hakuwa na la kuongea pale bora alivyo kimbia! U Docta wa elimu za Bible ataongea nini!Dr. Slaa hapa umetumia busara ya hari ya juu sana!! Umakini huu umekupa alama za juu ktk uongozi!!
Bigup Dr!!
Hakika mkuu yan ametumia busara kubwa sana, tunahitaj watu kama hawa wasio kurupuka!
Chezea Zitto wewe! Slaa hana ubavu wa kujenga hoja mbele ya Zitto.
Hivi elimu ya Dr slaa unaifananisha na ya nani?
Umemsikia Kafulila lakini?!Katika hali ya kushangaza chadema imemshinikiza lipumba kuwa kama anataka kuendelea kushirikiana nao kwenye ukawa basi asiende kuhudhuria mdahalo wa leo ambao utawashirikisha viongozi wa vyama vya siasa kisa tu kwamba katika mdahalo huo zitto naye ni mwalikwa,baada ya slaa kumwambia maneno hayo lipumba lipumba amejibu kwa kauli moha tu kuwa yeye sio mtu wa kuburuzwa na kuamuliwa rafiki au adui,pia amesisitiza kuwa lazima aende kwani yeye ni mgombea na hajawahi kufikiria kufanya siasa ya chuki kama anavyofanya yeye slaa,tukumbuke chadema na nccr wote walialikwa wakakubali kufika ila baada ya kusikia zito ni mwalikwa pia wote wamekimbia
unaelekea ulitokea ambako hawatokei watoto wote wanapozaliwa unalaana wewe na kizazi chako chote bazazi mkubwa usidharau bibilia hata siku moja jinni weweHakuwa na la kuongea pale bora alivyo kimbia! U Docta wa elimu za Bible ataongea nini!
ALLY MFURUKI ameweka quran ichambuliwe ndio kilichomponzaUnamaana elimu ya Agano Jipya?sasa ingemsaidia nin kwenye mdahalo wa Uchumi?
Sijashangaa kwa Dr Slaa kukimbia maana ni heri nusu shari kuliko shari kamili.
Katika hali ya kushangaza chadema imemshinikiza lipumba kuwa kama anataka kuendelea kushirikiana nao kwenye ukawa basi asiende kuhudhuria mdahalo wa leo ambao utawashirikisha viongozi wa vyama vya siasa kisa tu kwamba katika mdahalo huo zitto naye ni mwalikwa,baada ya slaa kumwambia maneno hayo lipumba lipumba amejibu kwa kauli moha tu kuwa yeye sio mtu wa kuburuzwa na kuamuliwa rafiki au adui,pia amesisitiza kuwa lazima aende kwani yeye ni mgombea na hajawahi kufikiria kufanya siasa ya chuki kama anavyofanya yeye slaa,tukumbuke chadema na nccr wote walialikwa wakakubali kufika ila baada ya kusikia zito ni mwalikwa pia wote wamekimbia
Zitto huyu huyu anaogopwa? Au kazaliwa mwigine?
Kasemea wapi?weka chanzo hapa.
Katika hali ya kushangaza chadema imemshinikiza lipumba kuwa kama anataka kuendelea kushirikiana nao kwenye ukawa basi asiende kuhudhuria mdahalo wa leo ambao utawashirikisha viongozi wa vyama vya siasa kisa tu kwamba katika mdahalo huo zitto naye ni mwalikwa,baada ya slaa kumwambia maneno hayo lipumba lipumba amejibu kwa kauli moha tu kuwa yeye sio mtu wa kuburuzwa na kuamuliwa rafiki au adui,pia amesisitiza kuwa lazima aende kwani yeye ni mgombea na hajawahi kufikiria kufanya siasa ya chuki kama anavyofanya yeye slaa,tukumbuke chadema na nccr wote walialikwa wakakubali kufika ila baada ya kusikia zito ni mwalikwa pia wote wamekimbia