Independent-Mind
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 712
- 208
Ukishaanza matusi tu na-conclude wewe huna level ya ku-argue na mimi,Kaongeze kiwango na ukirudi umwambie Dr aache kukumbia midahal😵ne day he will have to face ZZK in the debates.Hapa tunazungumzia Ishu Current Kuelekea uchaguzi wa Urais october 2015 ndio maana Mdahalo unafanyika sasa kwanini haukufanyika mwaka jana au Juzi usilete akili za Chura hapa. Huo mdahalo ni maalumu kwa ajili ya 2015 over peleka pumba zako huko