Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Dr. Slaa akimbia Mdahalo wa Kesho

Soma vyema majibu ya Dr Slaa vizuri uelewe sio kujaa mihemuko tuu humu. Hata post za wengine zingekufanya uelewe lakini inaonyesha huwezi kuelewa kitu zaidi ya mihemko.
Alichokifanya Dr Slaa watu wote wenye akili wamegundua kuwa ni mtu makini sana kwa kila afanyalo tofauti na yule ambaye tayari kila siku anajitangaza kwenye kurasa zake FB na Twitter kuhusu mdahalo huo ili atoke kwa mgongo wa Slaa.
Hata huyo muandaaji si angeita akina Zitto na viongozi wenzake wa vyama visivyo na madiwani wala wabunge maana hao ndio saizi yake

ALLY Mfuruki anamatatizo ya kimkakati hawezi kuandaa na kuendesha midaharo failure 2 times ajiangalie kwanza vingievyo hata heshimika na midaharo yake haitaheshimika
 
Mdahalo utakaorushwa kesho kuanzia saa 1 hadi saa 4 na Azam Tv unaoandaliwa na CEOrt chini ya kiongozi wao Ally Mufuruki, Dr Slaa amesema wao hawatashiriki Mijadala mpaka watakapomaliza kura za MAONI ndani ya chama.

Washiriki ni prof Lipumba CUF, Zitto Kabwe ACT, Dr. Slaa CHADEMA na Dr. Emanuel Makaidi NLD.

Dr Slaa yuko sahihi, hawezi kushiriki mdahalo unaohusisha waliotangaza nia ya kugombea Urais wakati hajatangaza nia hiyo, labda kama mdahalo huo utawahusishwa makatibu wakuu wa vyama vya siasa. Huwezi kushiriki mdahalo unaohusisha washiriki wa upande moja (wapinzani) kama vile ambavyo ni wendawazimu kufanya mdahalo unaowashirikisha washiriki wa chama kimoja (CCM peke yao). Ukifanya mdahalo jinsi hiyo utawafanya wapinzani kujua mapungufu ya wagombea wenu.
 
Zitto huyu huyu anaogopwa? Au kazaliwa mwigine?

Kakijana kanafiki sana kale, lakin ukienda nako one to one lazima kakutoe.

Ila kwa Prof Lipumba katatulizwa.Dr Slaa hawezi kusimama one to one na Zitto.

Kwa viongozi wa upinzani hakuna kama Lipumba.
 
zitto anatafuta pa kutokea chadema kaalikwa katibu wa chama,cuf mwenyekiti act kwanini hawakualika mwenyekiti au katibu

Wewe unaleta mchezo na madahalo wa uchumi, unahitaji elimu.

Sasa Mwenyekiti wa Chadema akasimame na Prof Lipumba na Zitto?waliangalia ndio maana wakaona afadhari Dr Slaa angeweza kujadili, Mbowe mjadala huo ungempwelepweta.
 
ALLY MFURUKI ameweka quran ichambuliwe ndio kilichomponza

Kwa sababu anaitwa Ally?

Basi tutamuomba wakati ujao aweke mdahalo wa Agano Jipya naamin kwenye huo ndio Dr Slaa atauweza maana kausomea haswa, Doctor wa Kanisa, na inabidi apambane kwenye mdahali na akina Profesa Mikidadi wa Quran.Ili huku anakywepo PHD ya Agano jipya na huku PHD ya Quran.

Lakin mambo ya uchumi yana wenyewe, hayo ni ya ma-guru kama Prof Lipumba.
 
Wewe unaleta mchezo na madahalo wa uchumi, unahitaji elimu.

Sasa Mwenyekiti wa Chadema akasimame na Prof Lipumba na Zitto?waliangalia ndio maana wakaona afadhari Dr Slaa angeweza kujadili, Mbowe mjadala huo ungempwelepweta.
nimeuliza vigezo kama walitaka kujua watu wa maswala ya uchumi wangealika kila chama kitoe mtu wao huyo zitto unayemsifia akiwa waziri kivuli wa fedha si alishindwa kuandaa bajeti ya upinzani
 
Mwandaaji anaharaka ya nn c asubiri mda ufike?anawahi kuchezesha mechi kabla ya timu pinzani kufika uwanjani.?why!?
 
Kwa sababu anaitwa Ally?

Basi tutamuomba wakati ujao aweke mdahalo wa Agano Jipya huo ndio Dr Slaa atauweza maana kausomea.Lakin mambo ya uchumi hayo muachieni guru Prof Lipumba.

Kwa sababu ni ALLLY aandaye mdahalo toka quran ndio anachoweza
 
Soo mzee kala kona. Kwani alipokubali mwanzo hakujua kama hawajapata mgombea!!!!
 
Hapa mnazunguka lakini point ya msingi ni kumuepusha Slaa kuonekana dhaifu koz sioni Slaa akiwa ni mjenga hoja mzuri kumzidi Prof Ibrahim au ZZK(huo ndio ukweli mpinge mpaka Roma).Hivi mnafikiri Lowasa alipotangaza mapema kutoshiriki sababu ilikuwa nini? anajijua kabisa kwamba ukimsimamisha Lowasa na January wajiuze kwenye debates Lowasa ataonekana box hadi kunakucha.
 
Midahalo inaandaliwa kimagumashi ya ALLY Mfuruki hakuna mwenye uzoefu wa midahalo ataenda

Hakuna magumashi Huu ni mwaka wa uchaguzi wananchi wana haki ya kusikiliza Sera na namna ambavyo vyama vya upinzani nchini walivyojipanga kutatua kero za wananchi
 
Wewe unaleta mchezo na madahalo wa uchumi, unahitaji elimu.

Sasa Mwenyekiti wa Chadema akasimame na Prof Lipumba na Zitto?waliangalia ndio maana wakaona afadhari Dr Slaa angeweza kujadili, Mbowe mjadala huo ungempwelepweta.

Zitto huyu mbaye bajeti yake ya kwanza kama waziri kivuli ilichanwa hakuwa na takwimu wala vipaumbele hakutaka kusirikisha mtu akaumbuka kwa kukiri makosa anachokiweza chabo Lissu , Kafulila wayaanzishe yeye adake
 
nimeuliza vigezo kama walitaka kujua watu wa maswala ya uchumi wangealika kila chama kitoe mtu wao huyo zitto unayemsifia akiwa waziri kivuli wa fedha si alishindwa kuandaa bajeti ya upinzani

Nani kamsifia Zitto?Zitto mtoto mdogo sana kwenye elimu ya uchumi.Hajafuzu.

Uchumi una wataalam wake, maguru kama Prof Lipumba.Subiri ushuhudie Zitto akipata darasa kutoka kwa Prof Lipumba.

Ninachosema ukilinganisha hayo vibonde wawili, Zitto anamzidi sana kibonde mwenzake Dr Slaa.Hujaelewa nin hapo?
 
Back
Top Bottom