Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 59,194
- 138,538
...ndo mana hatahudhuria,elewaKwani daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa "ni mgombea Uraisi mpaka awepo kwenye mdahalo ?"
Last edited by a moderator:
...ndo mana hatahudhuria,elewaKwani daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa "ni mgombea Uraisi mpaka awepo kwenye mdahalo ?"
afike kama nani?Lipumba ndiye awa wakilishe kwenye midahalo lakini kwenye URAIS hamtaki, Slaa tunamtaka afike kama hawezi ajitoe
...ndo mana hatahudhuria,elewa
Wewe mbugila ndiyo ulikuwa unasema ccm kuwa wameogopa mdahalo mbona leo unaongea ubwabwa tena.Amefanya jambo la maana sana kwani huu mdahalo haukuwa na nia nzuri .Zitto siyo size ya Dr.Slaa
CCM wameshafika zaidi ya 30, tuone kama CHADEMA baada ya Slaa atajitokeza mtu mwingine, akijitokeza unikate kidole.
Kwani daktari wa kanoni padri Dr.W.Slaa "ni mgombea Uraisi mpaka awepo kwenye mdahalo ?"
Slaa hajui uchumi ni nini lazima atoke nduki teh teh teh teh teh
Kwani mantiki ya kujitokeza hasa ni nini? kwa sababu chama ndicho huteu mgombea na si wananchi. Kwa hivo mtu anaweza kwenda kimyakimya akachukua fomu kwa chama chake halafu akawaomba watu wa chama chake wamteue kwa kujinadi kwao. Akishateuliwa atapewa ilani ya chama chake na kwenda kwa wanachi kujinadi kupitia ilani hiyo.CCM wameshafika zaidi ya 30, tuone kama CHADEMA baada ya Slaa atajitokeza mtu mwingine, akijitokeza unikate kidole.
Inashangaza sana....mimi huwa sishangai CCM kukimbia midahalo hiyo ni kawaida yao....sasa wapinzani nao wakianza kuwaiga CCM sijui tuwaiteje sasa......Juzi ule mdahalo wa wana CCM walivyoukacha tuliwashambulia kwa maneno makali huku tukipinga sababu walizotoa. Leo hii kwa sababu za ushabiki tunakubali sababu za Dr Slaa kwa urahisi tu....
Wewe mbugila ndiyo ulikuwa unasema ccm kuwa wameogopa mdahalo mbona leo unaongea ubwabwa tena.
Dr. Slaa hapa umetumia busara ya hari ya juu sana!! Umakini huu umekupa alama za juu ktk uongozi!!
Bigup Dr!!
Babu slaa lazima akimbie mziki wa mzalendo Zitto na profeessor lipumba,slaa anafiti zaidi kwenye midahalo ya upadri
subirini aseme kwanza, na zitto anagombea urais wa nchi gani?
Siyo wagombea urais ndiyo wanaokwenda kwenye mdahalo, bali viongozi wa upinzani kujadili mchakato wa urais, inawezekana wewe hujui kinachoendelea kuhusiana na huo mdhalo huo