nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
majibu ya dr.slaa nimeyakubali na yana logic nadhani waandaaji wa mdahalo wangekuwa na subira. harakati ya nini?
Dr Peter Slaa Rais wa mioyoni mwa watanzania. Hapo ndipo ninapoipenda hekima yake!! Mazumbukuku kama ZZK yangekimbilia kutafuta misifa lakini Dr Mnyenyekevu ka nini sijui!Kumbe Dr Slaa ametulia! Nimefurahi kusoma kumbe yeye hajachaguliwa/kuteuliwa kugombea nafais ya uraisi ndani ya chama chake, na ingekuwa makosa yeye kushiriki kwa kudhani angeliweza kuwa moja wa wagombea. Nachelea lakini isije ikawa naye hataki kuwa mgombea....yaani itoshe tu basi aonyeshe NIA!
Mi nawashauri waandaa midahalo wawaalike watalaamu mbalimbali wa maendelo na uchumi waongee kuhusu mstakabali wa taifa letu. Nini kifanyike ili tusonge mbele! Kwani midahalo lazima wawe wanasiasa tu! Au wandaa midahalo wamekariri kwamba ili uwe mdahalo lazima washiriki wawe, wanasiasa? Think out of the box!
..I agree with u.
..hata kwenye ule utitiri wa CCM angeweza kutafuta wachache ambao anaona wana-potential.
..makosa aliyofanya ni kuwashtukiza wakati wamechukua fomu na wako ktk harakati za kutafuta wadhamini.
..muda huu ambapo wanarudisha fomu na kabla CCM-CC haijakaa angeweza kuwapata wachache akafanya nao mdahalo. I believe wako ambao watakuwa na hamu ya kushiriki.
..kuhusu UKAWA inabidi asubiri kwanza mpaka wapatikane watia nia ktk vyama vinavyounda umoja huo ndipo aandae mdahalo.
subirini aseme kwanza, na zitto anagombea urais wa nchi gani?
Amemuogopa mwepesi.
Kwi kwi kwi ALLY Mfuruki karoga watu DR Slaa ndio kingunge wa siasa za nchi hii na maswala ya uchumi yapo kidoleniHzo sababu tu ila kiufupi ni kwamba slaa kakimbia mdahalo hawezi kuongea kitu mbele ya wachumi
Teh teh teh teh!!!
Zito saizi yake kibajaji.Amefanya jambo la maana sana kwani huu mdahalo haukuwa na nia nzuri .Zitto siyo size ya Dr.Slaa
Wangeelwa unachosema, tatizo shule!Nadhani sababu aliyoitoa ni ya msingi. Mdahalo ni wa wagombea urais. chadema bado hawajaanza kuruhusu wanachama kuwania urais. Atashiriki kama nani?