Dr Slaa aizika CCM Tunduma


atongwele we ni mngese kweli. umeadmit sio mwanamme wewe. umekubali mkeo atafunwe nawe umekubali. huyo mke ulimtafuta mwenyewe au uliletewa na wazazi lkn hukumpenda?
 
Lowassa anatakiwa kuangalia umati huu apime kama agombeee kupitia ccm au akaye nyumbani ???
Maana watu wamechoka kuongozwa na ccm !!!!

Mtaji wa lowassa upo makanisani na kwa makusudi ya wenzake ccm imechafua mtaji huo kwa suala la nani achinje !!!!
Maaskofu nchini ambao ni mtaji wa lowassa wamechoka!!!
 

Magamba kama kweli wanaithamini amani ya nchi hii, wakubali yaishe!
 
Wengi wamejitokeza kumjua huyu anayepola wake za watu na kupanga mipango ya kuuwa watu huyu ni nani? Wamsikia tu kwamba kunagwiji anitwa slaa anaandaa mipango ya kumuuwa zito ,mama zito na msaki.

Kwenye jina lako si utoe b uweke k iwe kikwete kabisa
 
Usishangae idawa kwani WanaTunduma wanamuita ni Mfalme wao.
mkuu mpaka kesho tunduma tunaamini raisi wetu ni dr. Slaa

maana kura tulizompa diwani,mbunge na ndio hizohizo alizopata dr.Slaa..
 
Last edited by a moderator:
Wengi wamejitokeza kumjua
huyu anayepola wake za watu na kupanga mipango ya kuuwa watu huyu ni
nani? Wamsikia tu kwamba kunagwiji anitwa slaa anaandaa mipango ya
kumuuwa zito ,mama zito na msaki.

yalishachuja haya na hayana mashiko tena.peter serukamba!
 
maswali mengine muulizane kwenu yaani kuku unaweza kuchanganya na bata? kinana ni kiongozi na wengine ni wanaharakati.
 
Hao wanajaa kwa Slaa wanapiga kura CCM.
 

Mkuu hiyo nimeipenda, chadema wako makini pia niwabunifu.wana twanga kotekote!
 
Reactions: MC
mwambie muhudumu akupe kinana lager mbili kwa bili yangu

Hahaha hahaha hahaha mkuu, hiyo nimeipenda...na mimi nahitaji kinana lager 2 kwa bili yako mkuu.tena ziwe bariiiidi tafadhali!
 
amekuja na mama yako this time........

Hahaha! Hahaha! Hahaha! Mkuu kakuku wewe ni noma...kweli dr slaa ni kipenzi cha watu.wananchi wanampenda toka mioyoni.Mungu ambariki sana dr dlaa..sio kikwete ni safari tuuu zisizo na kichwa wala miguu zisizo na manufaa yoyote kwa taifa.zaidi ni kuharibu pesa wakati elimu haijaboreshwa watoto wanakaa chini kwenye vumbi, madawati hakuna yeye mwenzetu ni trip tuu na kutanua kwenye hoteli za kifahati.ama kweli kosa mali upate akili.
 
Dr slaa ni kipenzi cha watu, Mungu wetu amlinde baba yetu, dr wetu , kiongozi wetu mpendwa dr slaa.

We kweli mlaghaiwa!

Mtu watoto aliowazaa mwenyewe kawatelekeza halafu wewe unamwita baba yako!

By the way, hapo walimchangia sh. ngapi? Maana Slaa kila anakoenda anakusanya michango ya kumalizia nyumba yake...
 
hapo kwa kazi na mvuto ni Dk Silaa wa Chadema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…