Gefu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 6,929
- 2,567
Ni haki yao Mkuu; sidhani kama kuna binadamu yeyote mwenye akili timamu anayependa habari mbaya. By the way, hivi tukiwa-rank, ni Katibu Mkuu yupi anashika nafasi ipi kwa uongozi mahiri ndani ya vyama vyao?
1. Col. Abdulrahmani Kinana (CCM)
2. Maalim Seif Sharif Hamad (CUF)
3. Sam Ruhuza (NCCR-Mageuzi)
4. W. P. Slaa (Chadema)
5. General Secretary Emeritus Nnape Nnauye (CCJ/CCK)
6. xxx (UPDP)
7. xxx (UMD)
8. xxx (Tadea)
9. xxx (NRA)
10. xxx (TLP)
11. xxx (ADC)
12. xxx (UDP)
Hebu tupe maoni yako hapo.
....aseee Dr. hastahili kulinganishwa/kuwekwa kundi moja na haya majamaaa bhanaa, kawaacha mbaya kuanzia shule mpaka namna ya kuitumia shule katika mazingira ya kawaida...