Molemo, huna hadhi yakubishana na kandambili. Unatakiwa ubishane na alieivaa yaani boc wake aliemtuma. Tizama, tunajadili billions ambazo ni kodi zetu kwa ajili ya madawa na elimu na vitu vingi, swala analoongelea angewauliza cdm wamefikia wapi, how does that sum help we normal citizens? Kamuulize mwasibu wa chama je atwambie hizi za escrow tumuulize nani? Maana hata kuu la kaya lilivoona issue inaenda kubaya likaibua tezi dume, toka lini Rais wa nchi yetu akatangaza ugonjwa wake akiwa anatibiwa? Alivoona bunge linamaliza kazi yake likarejea. Haya tumelikabidhi kazi limekaa kimya eti zee la busara! Atuambie kama asipochukua hatua nasisi tukae kimya kama si ujuha nini? Kama anaona kuna ufisadi umefanywa na baba Slaa, mbona alishlitolea ufafanuzi. Unajua you can not justify the wrongs by the wrongs. Ukifungwa kwa kosa la kubaka mtoto wa miaka rights huwezi sema mbona kijijini msoga kuna jamaa kaoa mtoto wa miaka 11? Niwapuuzi tu ndo wanawaza ujinga kama huu