Dr. Slaa ailipua Ikulu

Dr. Slaa ailipua Ikulu

kipenzi cha wanachadema sio watanzania nani hamtake slaa labda ww na familia yenu ya chagadema
 
attachment.php

Unatapatapa mpaka nakuonea huruma
 
kipenzi cha wanachadema sio watanzania nani hamtake slaa labda ww na familia yenu ya chagadema

Kwasababu wewe nifisadi ndio maana unasema si kipenzi cha watanzania, sasa kwatarifa tutaendelea kuwabana mafisadi wote kama wewe
 
Ningeshangaa sana babu asingedandia hii hoja muflis, maana siku hizi kaishiwa, anatazama upepo na anadandia.

Babuuu, kalee kijukuu. Haya mambo huyaelewi tena ntashangaa zaidi kama hii hoja haijafanywa ya chademaa.

Unajua maana ya neno muflisi? Bila shaka hujui na ndiyo maana unajitia aibu hadharani. Watu wana uchungu na wezi wewe unawatetea bila hata chembe cha aibu kwa malipo ya ya senti za kununulia bamia. Ona haya.
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa ameshtushwa na Ikulu ya Tanzania kuwalinda wezi wa kashfa ya Escrow ikiwa ni zaidi ya wiki moja tangu Bunge lipitishe hoja ya kuwafukuza mawaziri wawili na mwanasheria mkuu wa Serikali.

Akihutubia Mkutano wa hadhara katika viwanja vya Manzese Tip Top jijini DSM kiongozi huyo kipenzi cha watanzania amelaani hatua ya kupuuza maamuzi ya bunge hadi sasa.

Kiongozi huyo mwenye msimamo mkali dhidi ya wezi wa mali ya Umma ameshangazwa na jeuri ya mawaziri Sospeter Muhongo na Anna Tibaijuka waliokula kiapo cha kukataa kujiuzulu huku Rais akikaa kimya bila kuwafukuza mara moja.

Dr Slaa anayeombwa na watanzania wengi kugombea Urais mwakani ameonya vikali tabia ya watu kukimbilia Ikulu kwa maslahi yao.

Dr Slaa amemtaka Rais Jakaya Kikwete kutoka hadharani kupinga maneno yake kama kweli Ikulu haiwalindi wezi wa Escrow.

Dr Slaa ambaye amekuwa kinara mkuu wa kupigia kelele wizi wa kashfa ya Escrow nje ya Bunge ameonya watanzania wasiichague CCM kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa bali wachague wagombea wa UKAWA

Acha kusifia mwizi wa fedha za chama. Kwani yeye alisharudisha ile milioni 140 aliyochukua kwenye chama. Au yale magari chakavu waliokiuzia chama yeye na mwenyekiti wake kwa bei ambayo hata kichaa asingeweza kuyanunua na kwenda kugawana fedha je hiyo fedha ilisharudi ndani ya chama? Kama kweli wanapinga ufisadi iundwe tume huru ili ichunguze uhalali wa matumizi na posho ndani ya chama (Chadema)
 
Maajabu ya dr.w.slaa ni kudandiaga hoja tu sijawahi msikia akija na hoja mbadala.
 
Ndicho hicho kilichomtoa babu kutoka mtaa wa Ufipa kwenda kuwaeleza wananch

Hana ajenda kwa sasa kilichobaki ni kudandia dandia ajenda.

Kwa hiyo anawaambia waichague CHADEMA kwa sababu Rais Kikwete hajatengua uteuzi wa baadhi ya mawaziri.

Kwa hiyo Rais Kikwete akitengua ndiyo wasiichague CHADEMA.

Hoja za kitoto.

Kuna wengine wakizeeka wanazeeka, pia na hekima na busara zao.

Yaani wewe bazoka kweli, kwahiyo unafurahia unapoona serikali imetulia nakuendelea kufanya kazi na mafisadi yaliyochukua mabillions, tumieni akili. Yaani maabara walalahoi wanachangishwa, waalimu wenye mishahara kiduchu wanakatwa kwanguvu afu wengine wanabeba mipesa kwenye masandarusi afu unaongea ujuha hapa. Baba Slaa watanzania tusiotumika wengi tuko nyuma yako, tunakutakia maisha mema baba, wajinga kama hawa baba wamelipwa namafisadi kisha wanabadili id nakushinda humu wakibwabwaja ujuha wao. Kaza buti nasi huku mtaani tunakusaidia kupaza sauti zenye mamlaka kwa Mungu.
 
Yaani wewe bazoka kweli, kwahiyo unafurahia unapoona serikali imetulia nakuendelea kufanya kazi na mafisadi yaliyochukua mabillions, tumieni akili. Yaani maabara walalahoi wanachangishwa, waalimu wenye mishahara kiduchu wanakatwa kwanguvu afu wengine wanabeba mipesa kwenye masandarusi afu unaongea ujuha hapa. Baba Slaa watanzania tusiotumika wengi tuko nyuma yako, tunakutakia maisha mema baba, wajinga kama hawa baba wamelipwa namafisadi kisha wanabadili id nakushinda humu wakibwabwaja ujuha wao. Kaza buti nasi huku mtaani tunakusaidia kupaza sauti zenye mamlaka kwa Mungu.

Kamanda cray umeongea kwa uchungu sana.Ninaelewa unavyojisikia..
 
Last edited by a moderator:
Maajabu ya dr.w.slaa ni kudandiaga hoja tu sijawahi msikia akija na hoja mbadala.

Wewe nimpuuzi sana, kwahiyo issue hii kama iliibuliwa na Kafulila hata akina Sendeka, mwigulu namisisiem mingi tu iliyochangia kwa mantiki ya kuwawajibisha mafisadi nao walidandia hoja? Acha utoto na kama si utoto bac ukuwadi, hii ni issue si ya kafulila tena, ndio maana inamaazimio ya bunge, so ni issue yakitaifa. Hivi huwa mnadhani mnadanganya nani? Mnadhani watanzania hawa wa sasa niwakutafuniwa tu wakameza tena watafunaji wenyewe ni weh... kama wewe. Acheni kutumika ipo siku mtaombwa na maka...l.o
 
Acha kusifia mwizi wa fedha za chama. Kwani yeye alisharudisha ile milioni 140 aliyochukua kwenye chama. Au yale magari chakavu waliokiuzia chama yeye na mwenyekiti wake kwa bei ambayo hata kichaa asingeweza kuyanunua na kwenda kugawana fedha je hiyo fedha ilisharudi ndani ya chama? Kama kweli wanapinga ufisadi iundwe tume huru ili ichunguze uhalali wa matumizi na posho ndani ya chama (Chadema)

Huna hoja wewe bali unaleta Mahoka
 
kipenzi cha wanachadema sio watanzania nani hamtake slaa labda ww na familia yenu ya chagadema

Mtu mwenye kufikiri kwakupitia the opposite of the organ, ndo anaongea ushuzi kama huu, angalia content si ujuha ka wako, so unafurahia escrow kwakua unamegewa vi elfu sabasaba, angalieni swala hili imeligharim taifa kiasi gani? Je uchumi wataifa haujayumba? Hakuna negative cosequences kwahili jambo? Kama zipo kwanini watu wasiliongelee? That is a logic, na sio chama. Ndomana yawezekana mtoa mada ni cdm lakini ameona nccr hasa aliegundua wizi huu anahoja, sio kwamba anampandisha bali anapaza sauti yake iungane nawengine wengi wenye nia njema nataifa hili ili angalau tupate unafuu na janga hili lakifisadi. Think and change.
 
Back
Top Bottom