babatovu
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 2,739
- 1,602
BABU ni wakupuuzwa tu! Upweke, maradhi na Uzee vinampeleka puta!
Tulia kwanza upone tezi dume!
BABU ni wakupuuzwa tu! Upweke, maradhi na Uzee vinampeleka puta!
kipenzi cha wanachadema sio watanzania nani hamtake slaa labda ww na familia yenu ya chagadema
kipenzi cha wanachadema sio watanzania nani hamtake slaa labda ww na familia yenu ya chagadema
Ningeshangaa sana babu asingedandia hii hoja muflis, maana siku hizi kaishiwa, anatazama upepo na anadandia.
Babuuu, kalee kijukuu. Haya mambo huyaelewi tena ntashangaa zaidi kama hii hoja haijafanywa ya chademaa.
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa ameshtushwa na Ikulu ya Tanzania kuwalinda wezi wa kashfa ya Escrow ikiwa ni zaidi ya wiki moja tangu Bunge lipitishe hoja ya kuwafukuza mawaziri wawili na mwanasheria mkuu wa Serikali.
Akihutubia Mkutano wa hadhara katika viwanja vya Manzese Tip Top jijini DSM kiongozi huyo kipenzi cha watanzania amelaani hatua ya kupuuza maamuzi ya bunge hadi sasa.
Kiongozi huyo mwenye msimamo mkali dhidi ya wezi wa mali ya Umma ameshangazwa na jeuri ya mawaziri Sospeter Muhongo na Anna Tibaijuka waliokula kiapo cha kukataa kujiuzulu huku Rais akikaa kimya bila kuwafukuza mara moja.
Dr Slaa anayeombwa na watanzania wengi kugombea Urais mwakani ameonya vikali tabia ya watu kukimbilia Ikulu kwa maslahi yao.
Dr Slaa amemtaka Rais Jakaya Kikwete kutoka hadharani kupinga maneno yake kama kweli Ikulu haiwalindi wezi wa Escrow.
Dr Slaa ambaye amekuwa kinara mkuu wa kupigia kelele wizi wa kashfa ya Escrow nje ya Bunge ameonya watanzania wasiichague CCM kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa bali wachague wagombea wa UKAWA
Leo utabadili ID zote ulizo nazo lakini utashindwa tu...
Huja acha kujidhalilisha tu kwa hisia za udini na ukabila?!
Wewe ni miongoni mwa watu mnao shusha hadhi hili jukwaa.
Ndicho hicho kilichomtoa babu kutoka mtaa wa Ufipa kwenda kuwaeleza wananch
Hana ajenda kwa sasa kilichobaki ni kudandia dandia ajenda.
Kwa hiyo anawaambia waichague CHADEMA kwa sababu Rais Kikwete hajatengua uteuzi wa baadhi ya mawaziri.
Kwa hiyo Rais Kikwete akitengua ndiyo wasiichague CHADEMA.
Hoja za kitoto.
Kuna wengine wakizeeka wanazeeka, pia na hekima na busara zao.
Yaani wewe bazoka kweli, kwahiyo unafurahia unapoona serikali imetulia nakuendelea kufanya kazi na mafisadi yaliyochukua mabillions, tumieni akili. Yaani maabara walalahoi wanachangishwa, waalimu wenye mishahara kiduchu wanakatwa kwanguvu afu wengine wanabeba mipesa kwenye masandarusi afu unaongea ujuha hapa. Baba Slaa watanzania tusiotumika wengi tuko nyuma yako, tunakutakia maisha mema baba, wajinga kama hawa baba wamelipwa namafisadi kisha wanabadili id nakushinda humu wakibwabwaja ujuha wao. Kaza buti nasi huku mtaani tunakusaidia kupaza sauti zenye mamlaka kwa Mungu.
Maajabu ya dr.w.slaa ni kudandiaga hoja tu sijawahi msikia akija na hoja mbadala.
Maajabu ya dr.w.slaa ni kudandiaga hoja tu sijawahi msikia akija na hoja mbadala.
Acha kusifia mwizi wa fedha za chama. Kwani yeye alisharudisha ile milioni 140 aliyochukua kwenye chama. Au yale magari chakavu waliokiuzia chama yeye na mwenyekiti wake kwa bei ambayo hata kichaa asingeweza kuyanunua na kwenda kugawana fedha je hiyo fedha ilisharudi ndani ya chama? Kama kweli wanapinga ufisadi iundwe tume huru ili ichunguze uhalali wa matumizi na posho ndani ya chama (Chadema)
kipenzi cha wanachadema sio watanzania nani hamtake slaa labda ww na familia yenu ya chagadema
Kwani wewe una hoja gani zaidi ya vioja?Huna hoja wewe bali unaleta Mahoka
Kwani unafikiri CHAMVIGA ni kama wewe? Una maaID kibao mpaka zingine unazisahauUtabadili ID mpaka uchoke