Dr. Slaa ailipua Ikulu

Dr. Slaa ailipua Ikulu

Hakika anasema kweli. Ndo maana anasema kweli kuwa Josephine Mushumbusi ni mke wake wa ndoa


Usiingilie mambo ya Familiya. Utakuja pata aibu hadharani.

Na ndio maana Binadamu tunaishi katika nyumba zenye kuta nene ili kustiri ya ndani.

Huu ni ukumbi wa SIASA, hivyo ni vyema kama utajadili kuhusiana na siasa. Kama kuna jambo la familiya unataka kuliweka hapa itakuwa siyo sehemu yake. Labda mwambie MODS aongeze ukumbi wa FAMILIYA.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Wala sio kipenzi cha watanzania wewe.nikipenzi cha mke wake

Wasiopenda kudeal na facts siku zote wanakua na vijimaneno vyakishogashoga hivi. Watu wanatoa facts ambazo ndo zinawafanya anakua kipenzi cha waTz wewe unaongea ushoga. Kwahiyo kiwete ndo kipenzi chawaTz bac, wewe unaona inaingia? Huyu nikipenzi cha mafisadi ndomana wanaweza hata kuwaita watu tumbili, mchumia pango, watanzania mtabakia kuwa madalali yaani nawewe ukiwemo ila Mtu mwenye asili ya Kiiringa mhindi Seth anatamba kushikilia serikali yakikwete mfukoni. Baba wa taifa alisema aliwahi kumfunga mzungu aliewahikusema serikali kaiweka mfukoni, sasa huyu anamchekea tu, na hili nalo linaongea ushabiki tu.
 
Kwa nini asilaani kauli ya Kafulila ya kuwasafisha maskofu kuwa hawana kosa kupokea mulungula wakati Bunge liliwaona wana hatia?
 
Yaani kwenye hili jamvi huwa kuna kitu sikielewi!!

LIKITAJWA TU JINA LA DR. SLAA, Lumumba huwa wanapaniki sana sijui kwann!!!!??

Yaani ukija na heading "Dr. Slaa" alafu content ukasema 'anaweza'. Basi page hadi 50!!

Nyota ya mtu haizimishwi kwa chuki!! PAMOJA DR. SLAA
 
Yaani kwenye hili jamvi huwa kuna kitu sikielewi!!

LIKITAJWA TU JINA LA DR. SLAA, Lumumba huwa wanapaniki sana sijui kwann!!!!??

Yaani ukija na heading "Dr. Slaa" alafu content ukasema 'anaweza'. Basi page hadi 50!!

Nyota ya mtu haizimishwi kwa chuki!! PAMOJA DR. SLAA
TWAWEZA walishamaliza kuwa SLAA siyo chaguo la Watanzania tena, nyie ndo mnapambapamba ili asijione mpweke
 
Wasiopenda kudeal na facts siku zote wanakua na vijimaneno vyakishogashoga hivi. Watu wanatoa facts ambazo ndo zinawafanya anakua kipenzi cha waTz wewe unaongea ushoga. Kwahiyo kiwete ndo kipenzi chawaTz bac, wewe unaona inaingia? Huyu nikipenzi cha mafisadi ndomana wanaweza hata kuwaita watu tumbili, mchumia pango, watanzania mtabakia kuwa madalali yaani nawewe ukiwemo ila Mtu mwenye asili ya Kiiringa mhindi Seth anatamba kushikilia serikali yakikwete mfukoni. Baba wa taifa alisema aliwahi kumfunga mzungu aliewahikusema serikali kaiweka mfukoni, sasa huyu anamchekea tu, na hili nalo linaongea ushabiki tu.
Mbona facts zenu zinakuwa zakulazimisha kiasi hiki, kulikoni mpaka mtoe mapovu kiasi hicho?
 
Usiingilie mambo ya Familiya. Utakuja pata aibu hadharani.

Na ndio maana Binadamu tunaishi katika nyumba zenye kuta nene ili kustiri ya ndani.

Huu ni ukumbi wa SIASA, hivyo ni vyema kama utajadili kuhusiana na siasa. Kama kuna jambo la familiya unataka kuliweka hapa itakuwa siyo sehemu yake. Labda mwambie MODS aongeze ukumbi wa FAMILIYA.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Huwezi kumjadili mtu mwenye ndoto ya kuwq rais usijasili mambo yake binafsi, mtakuwa mnafanya makosa makubwa sana
 
Nataka UKAWA wakomalie na majina ya watuhumiwa waliochota fedha za ESCROW kupitia benki ya Stanbink.Huko ndiko kwenye majina ya watu muhimu sana wakiwemo hawa wanaodai kuwa wapinga ufisadi nchini!

cjui itatoka lini hiyo orodha nyngne?, maana orodha ya awali hazfiki ht bilioni 70, hizo bilioni zilizobaki amechukua nani ? 2wajue kwa majina na mgao wao
 
Hoja za kijinga kama hizi hazipaswi kutolewa na watu wazima halafu ziletwe jukwaa la hoja pevu (jf) na mtu anayeheshimika ndani ya saccos aitwaye molemo

Kwa CCM hoja za msingi Ni kumsifia Muhongo na kusema Ile hela haikuwa ya UMMA.........safari ya kuondokana na Ujinga Tanzania Ni ndefu sana kwa staili hii.
 
Wasiopenda kudeal na facts, Kwahiyo kiwete ndo kipenzi chawaTz bac, wewe unaona inaingia? Huyu nikipenzi cha mafisadi ndomana wanaweza hata kuwaita watu tumbili, mchumia pango, watanzania mtabakia kuwa madalali yaani nawewe ukiwemo ila Mtu mwenye asili ya Kiiringa mhindi Seth anatamba kushikilia serikali yakikwete mfukoni.

mkuu umeenda mbali sn.
Kampeni ya kutokomeza Mafisadi na kaugonjwa ka rushwa itakuwa lini?,
 
Ningeshangaa sana babu asingedandia hii hoja muflis, maana siku hizi kaishiwa, anatazama upepo na anadandia.

Babuuu, kalee kijukuu. Haya mambo huyaelewi tena ntashangaa zaidi kama hii hoja haijafanywa ya chademaa.

Ni lazima utakuwa mgonjwa wa akili.
 
mpaka sasa nashindwa kuelewa hili suala ni la kisheria/kiuchumi....au ni kisiasa.......

maana bora tungeanzia kwa singasinga kwanza....ili tujue nani ni nani na kafanya nin...
 
Ningeshangaa sana babu asingedandia hii hoja muflis, maana siku hizi kaishiwa, anatazama upepo na anadandia.

Babuuu, kalee kijukuu. Haya mambo huyaelewi tena ntashangaa zaidi kama hii hoja haijafanywa ya chademaa.


Kwani wanaoibua hoja za uffisadi ni cccm au upinzania mbona haueleweki faiza, utaacha lini ushabiki mitandaoni
 
Yaani kwenye hili jamvi huwa kuna kitu sikielewi!!

LIKITAJWA TU JINA LA DR. SLAA, Lumumba huwa wanapaniki sana sijui kwann!!!!??

Yaani ukija na heading "Dr. Slaa" alafu content ukasema 'anaweza'. Basi page hadi 50!!

Nyota ya mtu haizimishwi kwa chuki!! PAMOJA DR. SLAA

Mkuu wanavyokurupuka na kujadili ndiyo inazidi kumuongezea umaarufu Dr Slaa
 
Kwa nini asilaani kauli ya Kafulila ya kuwasafisha maskofu kuwa hawana kosa kupokea mulungula wakati Bunge liliwaona wana hatia?

Kuna aliyekunyima wewe kulaani?

Mpaka alaani shujaa wa watanzania Dr Slaa?
 
Back
Top Bottom