commonmwananchi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 3,377
- 1,957
Ndicho hicho kilichomtoa babu kutoka mtaa wa Ufipa kwenda kuwaeleza wananchi?.
Hii ni dharau kwa wananchi walioenda kumsikiliza.
Hana ajenda kwa sasa kilichobaki ni kudandia dandia ajenda.
Kwa hiyo anawaambia waichague CHADEMA kwa sababu Rais Kikwete hajatengua uteuzi wa baadhi ya mawaziri.
Kwa hiyo Rais Kikwete akitengua ndiyo wasiichague CHADEMA.
Hoja za kitoto.
Kuna wengine wakizeeka wanazeeka, pia na hekima na busara zao.
Lumumba buku seven.std seven.. . .hivi mkuchika ni kijana.kingunge ni kijana.Mang'ula ni kijana.Anna abdala ni kijana.name engine kina lubuva Damian ni vijana? chande Othman ni kijana?
sometimes muwe mnafikiri kablw ya kuvuka barabarw