Simiyu Yetu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 18,949
- 4,643
Mzee slaa kwa kudandia mambo kila jambo analitaka yeye mwisho atazua balaa kizee huyu.
Rais hawezi kuchukua hatua kwa hoja za kijuhama zilizoshinikizwa na wafanyabiashara wapuuzi kamwe hawezi kufanya kosa atachanganya na zile zakwake hawezi kutumia zakuambiwa tu.Wananchi tuko macho... Rais aspowachukulia hatua hao wez 2015 ikulu itakuwa ndoto
Tulia wewe ! hela kazipiga chenge , mapovu unamwaga wewe !Mzee slaa kwa kudandia mambo kila jambo analitaka yeye mwisho atazua balaa kizee huyu.
Mchakato unakuja atapigwa bonge la mweleka tena watanzania kwasasa tunamfanya video huyu mzee akija kwenye mikutano tunakwenda kumwangalia akitoka tunampuuza.
Kazi ipo !Wananchi tuko macho... Rais aspowachukulia hatua hao wez 2015 ikulu itakuwa ndoto