Dr. Slaa afanya mazungumzo na Balozi wa Marekani

kwa vyovote vile kama marekani akisitisha misaada basi viongozi wetu sio wataoteseka bali ni yule mwananchi wa kijijini. leo mimi na wewe tunaweza kuishi ata kama nchi yetu ikisitishiwa misaada lakini kizazi cha masikini katika taifa letu kitateseka .kwa maslahi ya taifa letu nadhani ni vema tufanye chaguzi huu umepita na tugange yajayo. dr slaa bado ananafasi ya kujijenga kwani yeye ni katibu mkuu wa chama kitachokuwa na wabunge kama 50(+viti vya wakike ,maalum). mimi ni mshabiki wa haki daima lakini sitokuwa tayari kuunga mkono kauli na shinikizo la marekani ata kama kwa lengo zuri. daima naipenda tz na naheshimu tawala zilizopo pia nazikosoa lakini sitokubali kupokea amri ya kuishinikiza serikali yangu toka kwa wakoloni. ni bora nitawaliwe na kiongozi nisiyempenda kuliko kusalimu amri kwa marekani.
daima chaguzi za kibabe zina mwisho lakini uwezi kukwepa mabadiliko. pia tambua kuanguka kwa ccm ghafla kungeweza kuleta magonjwa ya moyo kwa makada wake na ata machafuko. nadhani tupeni kipindi cha kuwaandaa wana CCM kwa miaka 5 ,hapo itakuwa ni wakati ambao ata wao wanajua watashindwa na hakutakuwa na madhara makubwa. CHADEMA tambueni miaka 5 si mingi. msivuruge nchi mtayokuja kuitawala
Sijakuelewa unapodai chaguzi za kibabe zina mwisho kwa hiyo unaposema tuwape muda ina maana tuwasubiri hadi watakaposema sasa leo ndio mwisho wa ubabe, you must be joking.
 
Hujanishawishi bado kujenga mahusiano na CCM?! Tangu lini mjima akawa na uhusiano mwema na bepari?? Yaani napenda maisha yawe magumu zaidi na zaidi kwa miaka mi5 ijayo ili watanzania labda tujifunze kuwa kuikumbatia CCM ni maafa
Usiwe na ushabiki wa Simba na Yanga wapinzani wa leo ni wale walikuwa NCCR ya Mrema ikafa wakahamia CUF leo CHADEMA bado naamini wakivurugwa na ukabila watahama tena Leo CCM ni mabepari JE fujo zenu mnataka Nchi itawalike kijeshi? mnaweza kimbilia Nchi za NJE kama wafanyavyo waSomali
Kura zimepigwa RAIS atalihutubia Bunge, USA na OBAMA hawana ubavu wa kuingilia Demokrasia ya wapiga kura 61% nashauri tusuburi 2115 kweli CCM iakoa pa kukimbilia kama wapinzani wakiungana
 
Mwisho Obama mwenyew mambo yana mwendea kombo ameshindwa kuongoza na hata pata nafasi ya second term, umvi zinazidi kinywaji kwa matatizo ya ndani mwa nchi yake na chama chake, mwacheni kichwa kiendelee kumuuma mwa mambo yake nchi yake
Sizitaki mbichi hizi.
 
Sijakuelewa unapodai chaguzi za kibabe zina mwisho kwa hiyo unaposema tuwape muda ina maana tuwasubiri hadi watakaposema sasa leo ndio mwisho wa ubabe, you must be joking.
ninamaanisha kwa kipindi hiki sasa cha miaka 5 tumetambua ya kuwa chadema wanastahili kutawala . makada wa chama cha mapinduzi wajiandae kwa kila namna kujua ya kuwa 2015 CCM si chama tawala tena, baada ya hapo ndio chadema watatawala kwa kipindi ambacho nao watakubalika na tena nao wajiandae kupisha chama kingine cha siasa. kutakuwa na mzunguko kama wakati wa kudai uhuru wazungu walikuwa wanatuambia ya kuwa bado hatujaweza kujitawala lakini tulivyoweza kufafanua un basi tukapewa uhuru wetu. na chadema wataingia madarakani kwa amani hii ndio sifa ya nchi yetu
 
Acha mawazo urojo! UN kumpongeza JK ni upupu tu kama ule wa kuitunukia tanzania tuzo ya mafanikio ya millenia wakati wamafunzi hawajui kusoma wala kuandika.
hawa na sawa tu na akina redet na sinovet! hawana dira kwa ufidhuli uliopo tanzania.

angalizo: UN tusijisahau kuwa mtendaji na.2 ni kada senior wa CCM hivyo kuhakikisha unga haumwagwi, au kitumbua hakiguswi na mchanga! liwe liwalo atatetea hata pongezi za Ban ki moon zitoke na tibisiii... :(
NDUGU UWE NA UPEO YAANI TU MTU KUFIKA PALE UBALOZI WA USA HAPO UPANGA NA KUKUTANA NA RSO WEWE UNAHINDWA JE ANGEENDA MAREKANI (MAANA MABALOZI WOTE WALIITWA NA J.K. IKULU JUZI) WW UNAANZA ITA WATU UROJO HIVI ANGERUHUSIWA KWENDA WHITE HOUSE WASHNGTON (ELEWA PALE HAKUNA BALOZI) sijui mko wapi?
KWANINI HAMKUBALI MATOKEO?
MIMI NASHAURI KURA ZIRUDIWE KWA DR NA JK
 
MOVE ON ! ELECTIONS ARE OVER ! ITS TIME TO BUILD THE NATION !. TOWENI MAWAZO MGANDO, WAMAREKANI WAMAREKANI...American govt serve the interests of Americans not yours ( get over it!)
 
kwa vyovote vile kama marekani akisitisha misaada basi viongozi wetu sio wataoteseka bali ni yule mwananchi wa kijijini. leo mimi na wewe tunaweza kuishi ata kama nchi yetu ikisitishiwa misaada lakini kizazi cha masikini katika taifa letu kitateseka .kwa maslahi ya taifa letu nadhani ni vema tufanye chaguzi huu umepita na tugange yajayo. dr slaa bado ananafasi ya kujijenga kwani yeye ni katibu mkuu wa chama kitachokuwa na wabunge kama 50(+viti vya wakike ,maalum). mimi ni mshabiki wa haki daima lakini sitokuwa tayari kuunga mkono kauli na shinikizo la marekani ata kama kwa lengo zuri. daima naipenda tz na naheshimu tawala zilizopo pia nazikosoa lakini sitokubali kupokea amri ya kuishinikiza serikali yangu toka kwa wakoloni. ni bora nitawaliwe na kiongozi nisiyempenda kuliko kusalimu amri kwa marekani.
daima chaguzi za kibabe zina mwisho lakini uwezi kukwepa mabadiliko. pia tambua kuanguka kwa ccm ghafla kungeweza kuleta magonjwa ya moyo kwa makada wake na ata machafuko. nadhani tupeni kipindi cha kuwaandaa wana CCM kwa miaka 5 ,hapo itakuwa ni wakati ambao ata wao wanajua watashindwa na hakutakuwa na madhara makubwa. CHADEMA tambueni miaka 5 si mingi. msivuruge nchi mtayokuja kuitawala

hela hizo za misaada huwa haziendi kuwasaidia wananchi wa kawaida hata siku moja; zingekuwa zinafanya hivyo basi tusingekuwa na shule za kata ambamo watoto wanakaa chini. Akina mama wanaojifungua wangekuwa hawalali chini kwenye madispensary. Miaka ya sabini ambapo hela zile zilikuwa zinafanya kazi, tulijionea mashule yakiwa na vifaa kikamilifu, na zahanati zikiwa zimeshehena madawa, mabomba ya maji yakiwa yanasambaa kwa kasi sana huko vijijini. Haya ni wakati huo, leo hii pesa yote ile inashishia kulipana mishahara, posho za safari na posho za vikao na nyingine kuyeyuka kuskojulikana.
 
hela hizo za misaada huwa haziendi kuwasaidia wananchi wa kawaida hata siku moja; zingekuwa zinafanya hivyo basi tusingekuwa na shule za kata ambamo watoto wanakaa chini. Akina mama wanaojifungua wangekuwa hawalali chini kwenye madispensary. Miaka ya sabini ambapo hela zile zilikuwa zinafanya kazi, tulijionea mashule yakiwa na vifaa kikamilifu, na zahanati zikiwa zimeshehena madawa, mabomba ya maji yakiwa yanasambaa kwa kasi sana huko vijijini. Haya ni wakati huo, leo hii pesa yote ile inashishia kulipana mishahara, posho za safari na posho za vikao na nyingine kuyeyuka kuskojulikana.

Kichuguu:

Hata kama serikali inatafanya vizuri, sasa hivi misaada haiendi kwenye sekta za huduma za jamii. Inakwenda kwenye miradi infrastructures. Hivyo forget mambo ya miaka ya 70.
 
hujanishawishi bado kujenga mahusiano na ccm?! Tangu lini mjima akawa na uhusiano mwema na bepari?? Yaani napenda maisha yawe magumu zaidi na zaidi kwa miaka mi5 ijayo ili watanzania labda tujifunze kuwa kuikumbatia ccm ni maafa

wewe ni mtu hatari sana asie na uchungu na watu pamoja na nchi yetu!!!! Yaani unaomba mungu wananchi wapate shida na dhiki ili waichukie serikali yao halafu wewe ulieomba matatizo hayo uje baadae kuomba kura za hawa wananchi ili uingie madarakani!!!!

mtu wa namna hii ni adui kwa taifa anaengoja shida ziendelee kuwepo kwa manufaa yake!!! Kwani huwezi kuchangia maendeleo ya nchi yako bila ya kuwa kiongozi?
watu wengine haki ya mungu wanatia kichefuchefu!!!!
 
nadhani ni wakati wa watanzania kuacha tofauti zetu na kufanya kazi kwa bidii. marekani ni taifa kama mataifa mengine kwahiyo sidhani kwamba wao ndio wanaotupa maelekezo ya kufanya dhidi juu ya nchi yetu.sisi tuko huru na tunajua ya kuwa chaguzi wetu haukuwa huru na haki laikini kwa faida ya taifa letu tuvunje makundi , mbona wao BUSH alipomdhulumu all gore sisi hatukushirikishwa kwenye mahamuzi yao. tusiwe na fikara za kikoloni . tufute tofauti zetu tujenge nchi yetu ni wakati wa kujenga mahusiano mema kwa vyama vyote vya kisiasa

Marekani wangekuwa wapenda demokrasia ya wasingekuwa rafiki wa Hosni Mubarak wa Egypt. Kuwashirikisha katika mambo yetu ya ndani ni kuwapa mwaya wa kupenyeza interests zao.
 
wewe ni mtu hatari sana asie na uchungu na watu pamoja na nchi yetu!!!! Yaani unaomba mungu wananchi wapate shida na dhiki ili waichukie serikali yao halafu wewe ulieomba matatizo hayo uje baadae kuomba kura za hawa wananchi ili uingie madarakani!!!!

mtu wa namna hii ni adui kwa taifa anaengoja shida ziendelee kuwepo kwa manufaa yake!!! Kwani huwezi kuchangia maendeleo ya nchi yako bila ya kuwa kiongozi?
watu wengine haki ya mungu wanatia kichefuchefu!!!!

Wengi wa namna hii wako nje ya nchi. Yakitokea ya kutokea.... hawamo.
 
UN wamempongeza JK hiyo inatosha kabisa
hakumpongeza Kikwete kwa kucahguliwa, amempongeza kwa nchi kuendesha uchaguzi kwa amani.

Marekani kupitia kwa balozi wake tayari wamempongeza JK ilikuwa ijumaa ya wiki iliyopita
Bado hawajatuma salamu zozote. Balozi hatumi salamu kwa niaba ya Obama bila kuwasiliana na Washington DC; na salamu zozote zinazumwa na Obama zitaonyeshwa ama State Dept au White House; hakuna kitu hicho mpaka dakika hii. Sana sana State Dept na White House wamefocus kwenye uchaguzi wa Guinea tu kwa wakati huu.

Marekani wangekuwa wapenda demokrasia ya wasingekuwa rafiki wa Hosni Mubarak wa Egypt. Kuwashirikisha katika mambo yetu ya ndani ni kuwapa mwaya wa kupenyeza interests zao.

Urafiki na Hosni Mubarak ni kutokana na makubaliano ya Camp David yaliyosainiwa na Menachen Begin, Anwar Sadat na kusimamiwa na Rais Carter mwaka 1978. Kwa hiyo kumnayamazia Mubarak kunatokana na haja ya kutii makubaliano hayo.
 
Kichuguu:

Hata kama serikali inatafanya vizuri, sasa hivi misaada haiendi kwenye sekta za huduma za jamii. Inakwenda kwenye miradi infrastructures. Hivyo forget mambo ya miaka ya 70.

Infarastructure zipi; hizi substandard barabara-vichochoro zinazojengwa kwa >40% kickback na kubomoka kabla ya ujenzi kuisha?
 
jamani.. matokeo ya uchaguzi hayakuwa smooth jinsi ambavyo US walitarajia.. imewaacha na maswali mengi. Wanajaribu kupata majibu kabla hawajatoa tamko lao la kuunga mkono uchaguzi huru na wa haki..
 
nadhani ni wakati wa watanzania kuacha tofauti zetu na kufanya kazi kwa bidii. marekani ni taifa kama mataifa mengine kwahiyo sidhani kwamba wao ndio wanaotupa maelekezo ya kufanya dhidi juu ya nchi yetu.sisi tuko huru na tunajua ya kuwa chaguzi wetu haukuwa huru na haki laikini kwa faida ya taifa letu tuvunje makundi , mbona wao BUSH alipomdhulumu all gore sisi hatukushirikishwa kwenye mahamuzi yao. tusiwe na fikara za kikoloni . tufute tofauti zetu tujenge nchi yetu ni wakati wa kujenga mahusiano mema kwa vyama vyote vya kisiasa

Mheshimiwa umesahau kuwa huko huko Marekani ndio rais wetu anaenda kuhemea kibaba kila siku ili tusife njaa kama yeye mwenyewe anavyodai. Kama tungekuwa taifa huru kama unavyotaka tuamini basi tungejifunza kwanza kujitegemea. Kwa ufupi ni kuwa uhuru wa Tanzania ni uhuru wa bendera tu lakini kila kitu tunachofanya kinapangwa na mashirikia ya fedha ya kimataifa (IMF & World Bank) yakiongozwa na Marekani.

Kuhusu tofauti huwezi ukazifuta kwa kuiba kura za wananchi halafu ukawaambia kuwa yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Inabidi Tume ya uchaguzi na serikali iliyopo madarakani wakiri mapungufu katika mchakato mzima wa uchaguzi na wayachukulie hatua za makusudi ili yasije kutokea kwenye uchaguzi ujao.

Haiwezekani wananchi tukawa tunapanga mistari juani kupiga kura za kuchagua viongozi wetu halafu tume ya uchaguzi ambacho ni kikundi kidogo tu cha watu kikawa na maamuzi ya mwisho ya kutangaza mshindi bila kujali kura za wananchi. Kama CCM haitaki Demokrasia ya wananchi kuchagua viongozi wake kwa kupiga kura ni vyema wakaamua kubadilisha mfumo na kutumia utaratibu wa Kichina ili ijulikane kuwa Tanzania hakuna kitu kinachoitwa demokrasia ya vyama vingi. Huu unafiki wa CCM hauna nafasi kwenye karne hii.
 
Wadau kuna jamaa kanihabarisha kuwa leo asubuhi Mh. Dr. Slaa alionekana akipokewa na RSO wa ubalozi wa Marekani pale ubalozini. Bado hajafahamu nini kilizungumzwa katika mkutano huo.

Mwenye habari zaidi atujuze.

By the way, Serikali ya marekani imeshampongeza JK kwa ushindi?

YES, pongezi zimeshatolewa
 
I am not surprised! They are the ones who are proping up dictatorial regimes like Egypt, Uganda, KSA, and elsewhere in the world. Remember that "America has no permanent friend BUT have permanent interests". can you recall, how many died during Mobutu's regime? How about Savimbi. You have not mentioned countless atrocities committed by the Americans in Guatemala, Panama, Hondurus, etc.

There is a smell of American interests in our natural resources this time around. Get prepared brother/sister. They are coming and do not care how you are ruled.
True; they are interested in our uranium. Hatuna pa kukimbilia kwani wana makubaliano na uongozi uliopo juu ya madini haya hivyo hawako tayari kuona wanatoka madarakani.
 
Ninafarijika sana na kila move ya Dr. Slaa.
Naamini rais wetu wa ukweli anatujali sana. Anafahamu tupo nyuma yake ndo maana anajiamini. sisi tunajiamini kwa sababu yake.
Long live Slaa. mjenzi makini wa taifa

NO , I suppose you are shoulder to shoulder.
 
YES, pongezi zimeshatolewa

SIyo za Obama.

Tangu October 31, Obama ametoa pongezi kwa Rais mteule wa Brazil tu, na statement hiyo ilisema hivi:

The White House
Office of the Press Secretary
For Immediate Release
November 01, 2010


Readout of the President's Call with Brazilian President-elect Dilma Rousseff

Earlier this afternoon, President Obama called Dilma Rousseff, President-elect of Brazil, to congratulate her on her historic victory in yesterday's election. He commended the people of Brazil for their faith and commitment to democracy. He also underscored the excellent working relationship between the United States and Brazil, and his commitment to deepening this cooperation and exploring new areas of collaboration. President Obama told President-elect Rousseff that he looks forward to meeting with her soon, and working more closely on areas such as clean energy, global growth, reconstruction assistance for Haiti, collaborative development efforts, and other issues of global importance.
Vinginevyo ameongelea uchaguzi wa Burma na statement yake ilisema hivi

The White House
Office of the Press Secretary
For Immediate Release
November 07, 2010


Statement by President Obama on Burma's November 7 Elections

The November 7 elections in Burma were neither free nor fair, and failed to meet any of the internationally accepted standards associated with legitimate elections. The elections were based on a fundamentally flawed process and demonstrated the regime's continued preference for repression and restriction over inclusion and transparency.

One of the starkest flaws of this exercise was the regime's continued detention of more than 2,100 political prisoners, including Aung San Suu Kyi, thereby denying them any opportunity to participate in the process. The unfair electoral laws and overtly partisan Election Commission ensured that Burma's leading pro-democracy party, the National League for Democracy, was silenced and sidelined. The regime denied the registration of certain ethnic parties, cancelled elections in numerous ethnic areas, and stage-managed the campaign process to ensure that pro-democracy and opposition candidates who did compete faced insurmountable obstacles. Ultimately, elections cannot be credible when the regime rejects dialogue with opponents and represses the most basic freedoms of expression, speech, and assembly.

We will monitor the situation in Burma closely in the weeks and months ahead. The United States will continue to implement a strategy of pressure and engagement in accordance with conditions on the ground in Burma and the actions of the Burmese authorities. We renew our calls for the authorities to: free Aung San Suu Kyi and all other political prisoners immediately and unconditionally, cease systematic violations of human rights, begin to hold human rights violators accountable, and welcome pro-democracy and ethnic minority groups into a long-overdue dialogue. Only genuine, inclusive dialogue can place Burma on the path to a truly representative democracy which upholds human rights and builds a better future for its citizens.
Bado wanafanya tathmini ya uchaguzi wa Tanzania na najua CCM itapata kibondo, kwani nina imani kubwa kuwa Dr ana ushahidi kamili.
 
Back
Top Bottom