Amepatwa na ugonjwa wa kuweweseka maana anajua kuwa yeye ndiye anatakiwa kuachia ngazi.
He is diverting the truth for a short while.
It will backfire for sure
Hao ndio tunaambiwa viongozi vijana! worse than their parents if you ask me!
Amepatwa na ugonjwa wa kuweweseka maana anajua kuwa yeye ndiye anatakiwa kuachia ngazi.
He is diverting the truth for a short while.
It will backfire for sure
Ni kweli maneno hayo yote waziri kasema au mtoa mada kadondoshea chumvi kidogo?
Kama ni kweli, tatizo zito hapo.
anajidai kushangaa nini na wakati anajua kila kitu.
Nchimbi anaugua ugonjwa gani? Hapo kwenye red it is obvious tayari ana conclusion sasa tume ya nini? Kwa nini anatumia kodi ya wananchi kufanya kazi ambayo tayari ana majibu?
This is really discouraging.Hao ndio tunaambiwa viongozi vijana! worse than their parents if you ask me!
Hao ndio tunaambiwa viongozi vijana! worse than their parents if you ask me!
Nadhani Mh Dr Nchimbi:Waziri wa mambo ya ndani Emmanuel Nchimbi ameelezea kushangazwa kwake na ukimya wa mkuu wa jeshi la polisi nchini juu ya sakata la kuuwawa kwa mwandishi wa habari mkoani Iringa.
Waziri Nchimbi amedai kuwa siku moja kabla ya Chadema kufanya mikutano na ufunguzi wa ofisi za chama wilayani Mufindi Dr. Slaa alimtumia 'sms' mkuu huyo wa jeshi la polisi nchini akimtaka ampigie simu haraka pia vinginevyo aandae risasi za kutosha kwa ajili ya kuwaua kwani hawangekuwa tayari kuvumilia uonevu na ukandamizaji unaofanywa na jeshi lake.
Waziri Nchimbi anadai kitendo cha IGP kuendelea kukaa kimya bila kutoa tamko lolote kufuatia kifo cha Mwangosi siku moja baada ya kupokea 'sms' toka kwa Dr. Slaa, na kitendo cha jeshi la polisi kushindwa kumkamata Dr. Slaa kinamuonyesha kwamba yeye (IGP) ni dhaifu sana, ama hajui wajibu wake, na iwapo huko mbeleni Dr. Slaa atakuwa raisi wa nchi atampuuza na kumdharau sana.
MYTAKE:
Kauli ya Waziri Nchimbi dhidi ya IGP Mwema hadharani inaonyesha kuna kutokuelewana baina yao!?
Hizo zote ni porojo vitu muhimu ambavyo vinavyotakiwa kutolewa maelezo ni hivi vifuatavyo:-
1. Amemchukulia hatua gani RPC kwa kuto zuia kifo hicho wakati alikuwepo kwenye tukio na alipewa taarifa na mwandishi mmoja wa habari lakini aridharau?
2. Aliyeua na kujerui polisi mwenzie ni polisi na anajulikana je IGP amechukua hatua gani kwa huyo polisi hadi sasa?
3. Pia tulisikia kauli kwamba IGP alitakiwa awe amekwisha mkamata Dr.Slaa kwani kutokufanya hivyo ni udhaifu na iwapo Dr. Slaa atakuwa Rais hapo baadae atamdharau sana Said Mwema, kwa kauli hii inaonekana waziri moja kwa moja amekubaliana na kushindwa kwa CCM 2015