Dr. Slaa aanza ziara ndefu barani Ulaya

Dr. Slaa aanza ziara ndefu barani Ulaya

'Kwanini Slaa haalikwi Ulaya na Marekani'? Great thinker wa JF.
 
Wewe ulitaka asafiri ili akutane na vitu gani?

Huyu kuku ni waziri kule uchina

2.-KINANA-AKIZUNGUMZA-NA-WAZIRI-WA-MAMBO-YA-NJE-WA-CHINA.jpg
 
Kwa uchungu leo sichukui buku saba, yaani Slaa anaenda nje ya nchi kukutana na WATU , naogopa sana naona enzi za CCM sasa zimefikia ukingoni. Yaana anakutana kabisa na watu?

Hapa mjina ni Molemo hajajua nia yako huwenda hata hii atataka akujibu. Huwezi kubishana na kichaa utegemee kufikia conclusion ya maana
 
Hapa mjina ni Molemo hajajua nia yako huwenda hata hii atataka akujibu. Huwezi kubishana na kichaa utegemee kufikia conclusion ya maana

Hebu soma tena ukiwa umetulia, halafu jipime mwenyewe kama na wewe ni mtu katika watu ambao Slaa ulaya anakwenda kukutana nao.
 
Hivi kwa mtu Kama Slaa kwenda Ulaya ni Dili kubwa kweli! Na dhani kwa yeye ni jambo la kawaida sana ambalo halihitaji kutengenezewa thread hapa. Au kwake ndiyo ziara ya kwanza kiofisi?
 
Yaan ukweli huu ni mgumu sana kuumeza, katibu mkuu anasafiri nje ya nchi kukutana na watu?
Yupo yule anayesafiri nje ya nchi kwenda kubembea tuu na mama yeyoo.
Wakuu wamependekeza kuweka bembea za kutosha eneo la jumba kuu kupunguza safari kufuata bembea


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Yupo yule anayesafiri nje ya nchi kwenda kubembea tuu na mama yeyoo.
Wakuu wamependekeza kuweka bembea za kutosha eneo la jumba kuu kupunguza safari kufuata bembea


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Dr Slaa anakwenda ulaya kwa wiki tatu kuonana na watu bana, usituharibie habari nzuri hii kwa ukombozi wa pili.
 
mimi nilifiikir ni zaidi ya nchi moja......
 
Ameenda kwa wafadhili wake Christian Democratic Movement ya Ujerumani.Hili li chama la kidini ni mpango wa shetani
 
have nice journey dr in german.
 
Back
Top Bottom