Lukos kila nikitafakari mada zako humu jf sikuelewi kuwa we ni binadamu wa aina gani,nikikkuita mjinga haitoshi make ujinga hauna shida kwani mwisho wa siku utaelewa,nikikuita mpumbavu naona ntakuwa nimekusifia,wenda nikuite mwendawazimu.
Manyanyaso ya watz yanajulikana kwa kila binadamu mwelewa.Dr aende ulaya na cd akapatiwe msaada ili autumie vipi kuhusiana na unyanyasaji huo?tumeishawazoea wana ccm kwa mawazo ya kipumbavu mnavyoyatumia kama nusla yenu, japo haitawasaidia hata kidogo,kwa akili zako ndogo unafkiri ni baya lipi watz hawajatendewa ambalo wakitendewa hata wewe utakelwa?wanauwa kila sku,wananyima elimu watz,wanawanyima tiba watz,wanawaibia watz na maovu chungu nzima zinduka acha sifa za mda mfupi hazna msaada wowote wa kudumu kwako.