ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 556
Hivi obama anakuja lini tanzania?
Mkuu hiyo ni lazima na wanaitumia kama kitambuisho cha chadema.
Kila lililo jema huko ughaibuni, tunaamini yote ni kwa mapenzi mema ya taifa letu na wapenda mabadiliko kiujumla!
Wameishia kunibambikizia zigo la kupeleka computers ahadi ambayo ilitolewa na CHADEMA UK.Mkuu hivi familia ya Mwangosi inapata chochote kwenye hiyo CD, naona viongozi wa Chadema wanapishana kutembeza hiyo CD, mwezi uliopita John Heche alitumwa kuitembeza Ulaya.
Cris inabidi uwe makini jamaa unavyowabomoa siku wakikuoona watakutia sumu.Wameishia kunibambikizia zigo la kupeleka computers ahadi ambayo ilitolewa na CHADEMA UK.
Ningejua alikofikia babu germany ningempelekea hizi computers arudi nazo azipeleke badala ya kubeba picha kwenye mabegi ni bora angebeba computers
Taifa stars wanacheza saa ngapi?
Jahazi inazama huku uchaguzi wa kata 25, katibu kaitosa meli anakimbizia posho.....
Ndugu zangu tumieni kondom.........ukimwi unaua....
Kwani yesu atarudi lini?aise sijui ni lini serikali itaamia dodoma?
Ndugu zangu tumieni kondom.........ukimwi unaua....